-
Uturuki: UAE inataka kuchochea uasi dhidi ya serikali za Afrika
Jun 19, 2020 23:30Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki ameutuhumu Umoja wa Falme za Kiarabu kuwa unapania kuchochea harakati za uasi dhidi ya serikali katika nchi za Afrika.
-
Indhari kuhusu ongezeko la kasi la maambukizi ya COVID-19 barani Afrika
Jun 16, 2020 00:27Mtaalamu mmoja amebainisha wasi wasi wake kuhusu ongezeko la maamubukizi ya ugonjwa wa COVID-19 barani Afrika.
-
UN: Athari za corona kuua watoto 50,000 Afrika Kaskazini na Asia Magharibi
Jun 15, 2020 10:40Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, yumkini athari za ugonjwa wa COVID-19 zikaua makumi ya maelfu ya watoto katika nchi za kaskazini mwa Afrika na Asia Magharibi.
-
Nchi 43 za Afrika zafunga mipaka zikihofia wimbi la pili la corona
Jun 14, 2020 22:39Nchi 43 za Afrika zimefunga mipaka yao kutokana na kasi ya juu ya maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 (corona) barani humo.
-
Mazungumzo kuhusu ubaguzi wa kizazi; mwito wa nchi za Afrika kwa Baraza la Haki za Binadamu
Jun 13, 2020 23:14Kuuliwa kikatili Mmarekani Mwafrika, Geroge Floyd, kulikofanywa na polisi mzungu tarehe 25 Mei huko Minneapolis, katika jimbo la Minnesota nchini Marekani si tu kumezusha wimbi kubwa la maandamano ndani ya nchi hiyo, bali dunia nzima imeripuka kwa maandamano ya kushinikiza mapambano ya kweli dhidi ya ubaguzi wa rangi na ukatili wa jeshi la polisi la Marekani.
-
Nchi za Afrika zataka Baraza la Haki za Binadamu la UN lijadili ubaguzi
Jun 13, 2020 08:09Nchi za Afrika zimetoa mwito wa kufanyika mkutano wa dharura wa kujadili ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi ya Marekani katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa.
-
Vikosi vya Usalama vimeua watu 200 eneo la Sahel barani Afrika
Jun 10, 2020 07:34Vikosi vya ulinzi na usalama katika ukanda wa Sahel barani Afrika vimeua raia 200 kati ya mwezi Februari na Aprili mwaka huu.
-
Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yatwaa ngome kuu ya Haftar magharibi mwa Libya
Jun 05, 2020 08:07Jeshi la Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya limetangaza kuwa limetwaa ngome kuu ya mwisho ya wapiganaji wa jenerali muasi, Khalif Haftar huko magharibi mwa Libya.
-
Hali ya maambukizi ya corona nchini Senegal inatia wasiwasi
Jun 01, 2020 03:05Hali ya maambukizi ya virusi vya corona nchini Senegal khususan katika mji mkuu wa nchi hiyo imewapelekea maafisa wa afya na tiba wa nchi hiyo kubainisha wasiwasi wao.
-
AU yalaani ukatili wa polisi ya Marekani dhidi ya raia weusi
May 30, 2020 03:44Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amelaani vikali mauaji ya raia mweusi nchini Marekani katika jimbo la Minnesota, licha ya kuwa hakuwa na silaha yoyote.