-
Marekani imewakabidhi silaha magaidi Syria
Apr 09, 2016 22:35Tovuti moja ya habari imefichua kuwa Marekani hadi sasa imeshatoa msaada wa tani elfu tatu za silaha kwa magaidi wa Al Qaeda na washirika wao nchini Syria.
-
Magaidi wa Al Qaeda walilewa kabla ya kuvamia Kodivaa
Mar 15, 2016 11:47Magaidi wa Al Qaeda waliingia katika baa moja na kunywa pombe kabla ya kuanza kufyatua risasi kiholela katika eneo la kitalii kwenye ufukwe wa bahari nchini Ivory Coast ambapo watu wasiopungua 18 waliuawa katika mji wa Grand-Bassam.