Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

al shabab

  • Shambulio la kundi la kigaidi la as-Shabaab dhidi ya askari wa kulinda amani nchini Somalia

    Shambulio la kundi la kigaidi la as-Shabaab dhidi ya askari wa kulinda amani nchini Somalia

    May 05, 2022 05:30

    Jeshi la Burundi limetangaza kuwa askari wake 10 wa kulinda amani wanaohudumu nchini Somalia chini ya mwavuli wa Umoja wa Afrika wameuawa katika shambulio lililotekelezwa na kundi la kigaidi la as-Shabaab katika kambi ya askari wa umoja huo.

  • Watu 3 wauliwa katika shambulio la al Shabab katika kambi ya AU Somalia

    Watu 3 wauliwa katika shambulio la al Shabab katika kambi ya AU Somalia

    May 04, 2022 08:12

    Kundi la wanamgambo wa al Shabab lenye makao yake nchini Somalia limeishambulia kambi ya wanajeshi wa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Afrika (AU) katika mkoa wa Shabelle katikati ya Somalia.

  • Magaidi 7 wa al-Shabaab waangamizwa na jeshi la Somalia eneo la Mudug

    Magaidi 7 wa al-Shabaab waangamizwa na jeshi la Somalia eneo la Mudug

    Apr 04, 2022 11:23

    Kikosi maalumu cha Danab cha Jeshi la Taifa la Somalia (SNA) kimefanikiwa kuwaangamiza wanachama saba wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katikati ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Magaidi 2 wa al-Shabaab wauawa wakijaribu kushambulia uwanja wa ndege Somalia

    Magaidi 2 wa al-Shabaab wauawa wakijaribu kushambulia uwanja wa ndege Somalia

    Mar 24, 2022 03:30

    Wanachama wawili wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la al-Shabaab wameangamizwa walipojaribu kushambulia Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Aden Adde katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Watu 14 wauawa baada ya gaidi kujiripua kwa bomu Somalia

    Watu 14 wauawa baada ya gaidi kujiripua kwa bomu Somalia

    Feb 20, 2022 07:58

    Kwa akali watu 14 wamepoteza maisha baada ya gaidi aliyekuwa amejifunga bomu kujiripua katika eneo lenye shughuli nyingi katikati mwa Somalia.

  • Magaidi 20 wa al-Shabaab waangamizwa na askari wa AMISOM, Somalia

    Magaidi 20 wa al-Shabaab waangamizwa na askari wa AMISOM, Somalia

    Feb 18, 2022 03:09

    Wanachama zaidi ya 20 wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya askari wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM).

  • Jeshi la Somalia lakomboa miji, vijiji 10 vilivyokuwa vimetwaliwa na al-Shabaab

    Jeshi la Somalia lakomboa miji, vijiji 10 vilivyokuwa vimetwaliwa na al-Shabaab

    Jan 26, 2022 12:16

    Jeshi la Taifa la Somalia limefanikiwa kukomboa miji na vijiji kadhaa vya nchi hiyo vilivyokuwa vimetekwa na wapiganaji wa kundi la kigaidi la al-Shabaab.

  • Magaidi 17 wa kundi la al-Shabab waangamizwa na jeshi katikati mwa Somalia

    Magaidi 17 wa kundi la al-Shabab waangamizwa na jeshi katikati mwa Somalia

    Jan 08, 2022 07:10

    Wanachama 17 wa kundi la kigaidi la al-Shabab la Somalia wameangamizwa na jeshi katikati mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika kufuatia opesheni ya kijeshi dhidi ya wapiganaji hao.

  • Askari polisi wanne wa Kenya wauawa, magaidi wa Ash-Shabaab washukiwa kuhusika

    Askari polisi wanne wa Kenya wauawa, magaidi wa Ash-Shabaab washukiwa kuhusika

    Jan 08, 2022 03:24

    Maafisa wanne wa polisi ya Kenya wameuawa katika shambulio la kuvizia katika eneo la pwani ya nchi hiyo linalopakana na Somalia, amblo hulengwa mara kwa mara na wanamgambo wa kundi la kigaidi la Ash-Shabaab.

  • Watu 6 wauawa katika shambulio la al-Shabaab Lamu, Kenya

    Watu 6 wauawa katika shambulio la al-Shabaab Lamu, Kenya

    Jan 03, 2022 11:04

    Kwa akali watu sita wameuawa katika shambulio la kundi la kigaidi la al-Shabaab katika kaunti ya Lamu, Pwani ya Kenya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS