-
Algeria na Libya zakubaliana kufunguliwa tena ubalozi wa Algeria huko Tripoli
Sep 18, 2021 02:31Rais wa Algeria na Naibu Mkuu wa Baraza la Uongozi la Libya wamekubaliana kufungua tena ubalozi wa Algeria huko Tripoli mji mkuu wa Libya.
-
Algeria yasisitiza udharura wa kuwatetea Wapalestina, Libya na Syria
Sep 09, 2021 11:09Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Algeria imetilia mkazo msimamo wake wa kuendelea kutetea taifa la Palestina na kupinga uingiliaji wa nchi za kigeni katika masuala ya ndani ya Syria na Libya.
-
Spika wa Bunge la Algeria: Kulikuwa na ulazima wa kuvunja uhusiano na Morocco
Sep 04, 2021 07:41Spika wa Bunge la Algeria amesema, lilikuwa jambo lenye ulazima kwa nchi hiyo kuvunja uhusiano wake wa kidiplomasia na Morocco.
-
Algeria: Hatua za Morocco zimevuruga uhusiano wa pande mbili
Sep 03, 2021 06:57Jeshi la Algeria limetangaza kuwa, hatua iliyochukuliwa hivi karibuni na serikali ya Algiers ya kukata uhusiano wake wa kidiplomasia na Rabat ilikuwa uamuzi wa kiutawala na matokeo ya uchokozi wa Morocco.
-
Tahadhari kuhusu hujuma za kimtandao za utawala wa Kizayuni dhidi ya Algeria
Aug 31, 2021 03:42Taasisi ya Utafiti ya Magharibi mwa Asia na Kaskazini mwa Afrika ya Uadilifu na Usawa imetoa taarifa ikitahadharisha kuhusu hujuma kubwa za kimtandao za utawala wa Kizayuni dhidi ya Algeria.
-
Algeria: Makundi yenye uhusiano na Morocco na Israel ndiyo yaliyohusika na moto wa misituni
Aug 20, 2021 00:05Algeria imeuhusisha moto mbaya uliotokea hivi karibuni nchini humo na makundi mawili ambavyo nmayatambua kuwa ni magenge ya "kigaidi", na kusema kuwa moja ya kati ya makundi hayo liungwa mkono na Morocco na Israeli.
-
Rais wa Algeria: Tunatazama upya uhusiano wetu na Morocco
Aug 19, 2021 08:00Rais Abdelmajid Tebboune wa Algeria amesema kuwa, nchi hiyo inatazama upya uhusiano wake na nchi ya Morocco. Rais wa Algeria amesema kuwa, nchi hiyo imefikia uamuzi huo baada ya hatua za hivi karibuni za Morocco ambazo ni za chuki na hasama dhidi ya nchi yetu.
-
Wahanga wa moto wa msituni Algeria waongezeka, wafikia 90
Aug 16, 2021 02:38Maafisa husika nchini Algeria wametangaza kuwqa idadi idadi ya wahanga wa moto mkubwa ulioikumba misitu nchini humo inazidi kuongezeka.
-
Iran yatoa mkono wa pole kwa taifa la Algeria kufuatia makumi kuuawa na moto misituni
Aug 12, 2021 08:11Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameeleza masikitiko yake baada ya moto mkubwa unaoendelea kuteketeza misitu nchini Algeria, kuua makumi ya watu na kuwaacha wengine wengi bila makazi.
-
Moto wauawa watu 7 katika misitu ya Algeria
Aug 11, 2021 03:46Kwa akali watu saba wamepoteza maisha baada ya moto mkubwa kuteketeza misitu katika mkoa wa Tizi Ouzou nchini Algeria.