Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Rais wa Ufaransa awaomba radhi wananchi wa Algeria

    Rais wa Ufaransa awaomba radhi wananchi wa Algeria

    Sep 21, 2021 22:59

    Hatimaye baada ya kupita miongo mingi tangu Wafaransa watende jinai nchini Algeria na katika hali ambayo, kumekuwa kukifichuliwa nyaraka mpya za jinai hizo, Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amewaomba radhi wananchi wa Algeria na kuahidi kupasishwa sheria katika siku za usoni ambayo itatoa fidia kwa nchi hiyo ya Kiafrika.

  • Rais Macron awaomba radhi Waislamu wa Algeria kwa jinai zilizofanywa na nchi yake nchini humo

    Rais Macron awaomba radhi Waislamu wa Algeria kwa jinai zilizofanywa na nchi yake nchini humo

    Sep 20, 2021 22:11

    Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron jana Jumatatu aliwaomba radhi Waislamu wa Algeria kutokana na jinai ilizofanywa na Ufaransa katika nchi hiyo.

  • Jumapili, 19 Septemba, 2021

    Jumapili, 19 Septemba, 2021

    Sep 18, 2021 21:51

    Leo ni Jumapili mwezi 12 Mfunguo Tano Safar 1443 Hijria, sawa na tarehe 19 Septemba 2021 Miladia.

  • Algeria na Libya zakubaliana kufunguliwa tena ubalozi wa Algeria huko Tripoli

    Algeria na Libya zakubaliana kufunguliwa tena ubalozi wa Algeria huko Tripoli

    Sep 17, 2021 22:01

    Rais wa Algeria na Naibu Mkuu wa Baraza la Uongozi la Libya wamekubaliana kufungua tena ubalozi wa Algeria huko Tripoli mji mkuu wa Libya.

  • Algeria yasisitiza udharura wa kuwatetea Wapalestina, Libya na Syria

    Algeria yasisitiza udharura wa kuwatetea Wapalestina, Libya na Syria

    Sep 09, 2021 06:39

    Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Algeria imetilia mkazo msimamo wake wa kuendelea kutetea taifa la Palestina na kupinga uingiliaji wa nchi za kigeni katika masuala ya ndani ya Syria na Libya.

  • Spika wa Bunge la Algeria: Kulikuwa na ulazima wa kuvunja uhusiano na Morocco

    Spika wa Bunge la Algeria: Kulikuwa na ulazima wa kuvunja uhusiano na Morocco

    Sep 04, 2021 03:11

    Spika wa Bunge la Algeria amesema, lilikuwa jambo lenye ulazima kwa nchi hiyo kuvunja uhusiano wake wa kidiplomasia na Morocco.

  • Algeria: Hatua za Morocco zimevuruga uhusiano wa pande mbili

    Algeria: Hatua za Morocco zimevuruga uhusiano wa pande mbili

    Sep 03, 2021 02:27

    Jeshi la Algeria limetangaza kuwa, hatua iliyochukuliwa hivi karibuni na serikali ya Algiers ya kukata uhusiano wake wa kidiplomasia na Rabat ilikuwa uamuzi wa kiutawala na matokeo ya uchokozi wa Morocco.

  • Tahadhari kuhusu hujuma za kimtandao za utawala wa Kizayuni dhidi ya Algeria

    Tahadhari kuhusu hujuma za kimtandao za utawala wa Kizayuni dhidi ya Algeria

    Aug 30, 2021 23:12

    Taasisi ya Utafiti ya Magharibi mwa Asia na Kaskazini mwa Afrika ya Uadilifu na Usawa imetoa taarifa ikitahadharisha kuhusu hujuma kubwa za kimtandao za utawala wa Kizayuni dhidi ya Algeria.

  • Algeria: Makundi yenye uhusiano na Morocco na Israel ndiyo yaliyohusika na moto wa misituni

    Algeria: Makundi yenye uhusiano na Morocco na Israel ndiyo yaliyohusika na moto wa misituni

    Aug 19, 2021 19:35

    Algeria imeuhusisha moto mbaya uliotokea hivi karibuni nchini humo na makundi mawili ambavyo nmayatambua kuwa ni magenge ya "kigaidi", na kusema kuwa moja ya kati ya makundi hayo liungwa mkono na Morocco na Israeli.

  • Rais wa Algeria: Tunatazama upya uhusiano wetu na Morocco

    Rais wa Algeria: Tunatazama upya uhusiano wetu na Morocco

    Aug 19, 2021 03:30

    Rais Abdelmajid Tebboune wa Algeria amesema kuwa, nchi hiyo inatazama upya uhusiano wake na nchi ya Morocco. Rais wa Algeria amesema kuwa, nchi hiyo imefikia uamuzi huo baada ya hatua za hivi karibuni za Morocco ambazo ni za chuki na hasama dhidi ya nchi yetu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS