-
Rais wa Ufaransa awaomba radhi wananchi wa Algeria
Sep 21, 2021 22:59Hatimaye baada ya kupita miongo mingi tangu Wafaransa watende jinai nchini Algeria na katika hali ambayo, kumekuwa kukifichuliwa nyaraka mpya za jinai hizo, Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amewaomba radhi wananchi wa Algeria na kuahidi kupasishwa sheria katika siku za usoni ambayo itatoa fidia kwa nchi hiyo ya Kiafrika.
-
Rais Macron awaomba radhi Waislamu wa Algeria kwa jinai zilizofanywa na nchi yake nchini humo
Sep 20, 2021 22:11Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron jana Jumatatu aliwaomba radhi Waislamu wa Algeria kutokana na jinai ilizofanywa na Ufaransa katika nchi hiyo.
-
Jumapili, 19 Septemba, 2021
Sep 18, 2021 21:51Leo ni Jumapili mwezi 12 Mfunguo Tano Safar 1443 Hijria, sawa na tarehe 19 Septemba 2021 Miladia.
-
Algeria na Libya zakubaliana kufunguliwa tena ubalozi wa Algeria huko Tripoli
Sep 17, 2021 22:01Rais wa Algeria na Naibu Mkuu wa Baraza la Uongozi la Libya wamekubaliana kufungua tena ubalozi wa Algeria huko Tripoli mji mkuu wa Libya.
-
Algeria yasisitiza udharura wa kuwatetea Wapalestina, Libya na Syria
Sep 09, 2021 06:39Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Algeria imetilia mkazo msimamo wake wa kuendelea kutetea taifa la Palestina na kupinga uingiliaji wa nchi za kigeni katika masuala ya ndani ya Syria na Libya.
-
Spika wa Bunge la Algeria: Kulikuwa na ulazima wa kuvunja uhusiano na Morocco
Sep 04, 2021 03:11Spika wa Bunge la Algeria amesema, lilikuwa jambo lenye ulazima kwa nchi hiyo kuvunja uhusiano wake wa kidiplomasia na Morocco.
-
Algeria: Hatua za Morocco zimevuruga uhusiano wa pande mbili
Sep 03, 2021 02:27Jeshi la Algeria limetangaza kuwa, hatua iliyochukuliwa hivi karibuni na serikali ya Algiers ya kukata uhusiano wake wa kidiplomasia na Rabat ilikuwa uamuzi wa kiutawala na matokeo ya uchokozi wa Morocco.
-
Tahadhari kuhusu hujuma za kimtandao za utawala wa Kizayuni dhidi ya Algeria
Aug 30, 2021 23:12Taasisi ya Utafiti ya Magharibi mwa Asia na Kaskazini mwa Afrika ya Uadilifu na Usawa imetoa taarifa ikitahadharisha kuhusu hujuma kubwa za kimtandao za utawala wa Kizayuni dhidi ya Algeria.
-
Algeria: Makundi yenye uhusiano na Morocco na Israel ndiyo yaliyohusika na moto wa misituni
Aug 19, 2021 19:35Algeria imeuhusisha moto mbaya uliotokea hivi karibuni nchini humo na makundi mawili ambavyo nmayatambua kuwa ni magenge ya "kigaidi", na kusema kuwa moja ya kati ya makundi hayo liungwa mkono na Morocco na Israeli.
-
Rais wa Algeria: Tunatazama upya uhusiano wetu na Morocco
Aug 19, 2021 03:30Rais Abdelmajid Tebboune wa Algeria amesema kuwa, nchi hiyo inatazama upya uhusiano wake na nchi ya Morocco. Rais wa Algeria amesema kuwa, nchi hiyo imefikia uamuzi huo baada ya hatua za hivi karibuni za Morocco ambazo ni za chuki na hasama dhidi ya nchi yetu.