-
Algeria yalitaka Baraza la Usalama la UN kuwahami Wapalestina katika Msikiti wa al Aqsa
May 10, 2021 08:05Wizara ya Mambo Nchi za Nje ya Algeria imelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa liwahami na kuwalinda Wapalestina wanaofanya itikafu ndani ya Msikiti wa al Aqsa.
-
'Maulamaa wa Algeria waendeshe Jihadi ili kutokomeza mabaki ya utamaduni wa Kifaransa'
May 06, 2021 21:54Mkuu wa Baraza Kuu la Kiislamu la Algeria lillo chini ya ofisi ya rais wa nchi hiyo amesema, Maulamaa wa Kiislamu wa nchi hiyo inapasa waendeleze jihadi ya kielimu na kitaifa kwa ajili ya kung'oa na kutokomeza mabaki ya utamaduni wa Kifaransa.
-
Alkhamisi, 22 Aprili, 2021
Apr 21, 2021 22:20Leo ni Alkhamisi tarehe 9 Ramadhani 1442 Hijria sawa na Aprili 22 mwaka 2021.
-
Usalama wa kikanda; ajenda ya mazungumzo ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Algeria na Libya
Apr 20, 2021 03:29Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria jana Jumatatu alikutana na mwenzake wa Libya na kufanya mazungumzo kuhusu usalama wa kikanda na kuziunga mkono pande za Libya kwa lengo la kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.
-
Mshauri wa Rais wa Algeria: Ufaransa ilieneza ujinga nchini zama za ukoloni
Apr 19, 2021 06:51Mshauri wa Rais wa Algeria amesema kuwa Ufaransa ilifanya kazi ya kueneza ujinga wa kutojua kusoma na kuandika wakati wa ukoloni wa nchi hiyo nchini Algeria.
-
Maelfu waandamana dhidi ya serikali nchini Algeria
Apr 17, 2021 01:33Maelfu ya watu wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya Algeria wakitaka kuachiwa huru wanaharakati wa kisiasa na kutoa wito wa kususiwa uchaguzi mkuu wa mapema wa Bunge nchini humo.
-
Algeria: Ufaransa itaendelea milele kuwa adui wa taifa letu
Apr 10, 2021 23:07Waziri wa Kazi wa Algeria ametoa taarifa rasmi na huku akiashiria ripoti zilizofichua kwamba Ufaransa ilifanya majaribio ya nyuklia katika ardhi ya Algeria amesema, mkoloni huyo wa Ulaya ataendelea daima na milele kuwa adui wa taifa letu, kama ambavyo hivi sasa pia Ufaransa ni adui mkongwe na wa zamani sana wa Algeria.
-
Kuendelea mgogoro nchini Algeria; kususiwa uchaguzi wa Bunge na vyama vya siasa
Apr 06, 2021 22:04Mgogoro wa kisiasa nchini Algeria ungali unaendelea kufukuta kwani licha ya juhudi za serikali za kutuliza hali ya mambo na kuitisha uchaguzi wa Bunge wa mapema, lakini vyama vinne vya siasa vya nchi hiyo vimetangaza kususia uchaguzi huo.
-
Mtetemeko mkubwa wa ardhi waikumba Algeria mapema leo afajiri
Mar 18, 2021 03:44Mtetemeko mkubwa wa ardhi wenye ukubwa wa daraja 6 kwa kipimo cha rishta umetokea katika eneo la kaskazini mashariki mwa mji wa Bejaia, katika umbali wa kilomita 10 chini ya ardhi huko Algeria.
-
Maandamano yafanyika nchini Algeria kwa wiki ya pili mfululizo
Mar 07, 2021 04:51Maelfu ya raia wa Algeria wamefanya maandamano kwa wiki ya pili mfululizo kulalamikia siasa za serikali ya nchi hiyo.