-
Askari wanne wa jeshi la Tunisia wauawa katika mpaka wa pamoja na Algeria
Feb 04, 2021 04:27Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Tunisia ametangaza kuwa askari wanne wa jeshi la nchi hiyo wameuawa katika mripuko wa bomu la kutegwa ardhini uliotokea kwenye mpaka wa pamoja wa Tunisia na Algeria.
-
Kukataa kuomba radhi Macron kwa jinai ilizofanya Ufaransa enzi za ukoloni nchini Algeria
Jan 22, 2021 10:25Ufaransa, ambayo ilikuwa moja ya madola ya kikoloni, ina faili chafu na la kuaibisha kuhusiana na uvamizi, ukaliaji ardhi kwa mabavu na vitendo vya jinai ilivyofanya mnamo karne ya 20 katika nchi ilizozikoloni hususan Algeria.
-
Macron: Ufaransa haitaiomba radhi Algeria kwa dhulma za enzi za ukoloni
Jan 21, 2021 04:27Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema nchi hiyo ya Ulaya 'haitatubu' wala kuiomba radhi Algeria kutokana na jinai zilizofanywa na Wafaransa katika zama walipoikoloni nchi hiyo ya Kiafrika.
-
Algeria, nchi ya kwanza Afrika kupasisha chanjo ya corona ya Russia
Jan 11, 2021 08:00Algeria imekuwa nchi ya kwanza barani Afrika kupasisha chanjo ya COVID-19 iliyotengenezwa nchini Russia.
-
Wabunge wa Algeria wataka iwe jinai kuanzisha uhusiano na Israel
Jan 09, 2021 02:41Makumi ya wabunge wa Algeria wameandaa muswada wa sheria inayopania kuufanya kuwa ni uhalifu uanzishwaji wa uhusiano wowote wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Waziri Mkuu wa zamani wa Algeria ahukumiwa kifungo miaka 7 jela
Jan 05, 2021 02:44Mahakama nchini Algeria imemhukumu kifungo cha miaka 7 jela Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo kwa kufanya ufisadi katika sekta ya utalii katika mkoa wa Skikda kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Kadhaa wauawa katika makabiliano baina ya Jeshi la Algeria na genge la kigaidi
Jan 04, 2021 15:39Wanamgambo wawili na mwanajeshi mmoja wameuawa katika makabiliano baina ya maafisa usalama na genge moja la kigaidi huko kaskazini magharibi mwa Algeria.
-
Bunge la Algeria lapanga kutunga sheria ya kukufanya ni uhalifu kuanzisha uhusiano na Israel
Dec 27, 2020 02:37Mbunge mmoja nchini Algeria amesema, bunge la nchi hiyo linafikiria kutunga sheria ambayo itakutafsiri kuwa ni uhalifu kuanzisha uhusiano wowote wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel
-
Algeria na Tunisia zazuia ndege ya Israel kutumia anga zao
Dec 23, 2020 12:26Algeria na Tunisia zimeizuia ndege ya utawala wa Kizayuni wa Israel kuruka katika anga zao ili kuonyesha upinzani wao kwa hatua ya baadhi ya nchi za Kiarabu ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala huo haramu.
-
Vyama vya kisiasa Algeria vyakosoa vikali kuanzishwa uhusiano kati ya Morocco na utawala wa Kizayuni
Dec 15, 2020 03:01Vyama vya kisiasa nchini Algeria vimekosoa vikali hatua ya Morocco ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa kitendo hicho ni pigo la kidhalili kwa mataifa ya Algeria, Palestina na Sahara Magharibi.