Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Kuvunjwa Bunge na mwanzo wa kipindi kipya cha kisiasa nchini Algeria

    Kuvunjwa Bunge na mwanzo wa kipindi kipya cha kisiasa nchini Algeria

    Feb 20, 2021 06:47

    Katika miaka ya karibuni Algeria imekumbwa na misukosuko na matukio mengi ya kisiasa. Tukio la karibuni kabisa nihatua ya Rais Abdelmadjid Tebboune wa nchi hiyo ya kulivunja Bunge na kuitisha uchaguzi wa mapema. Tebboune alitangaza hatua hiyo Alkhamisi iliyopita katika hotuba yake kwa taifa iliyotolewa kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Taifa ya Shahidi.

  • Bunge la Algeria lavunjwa; rais aitisha uchaguzi

    Bunge la Algeria lavunjwa; rais aitisha uchaguzi

    Feb 19, 2021 03:37

    Rais wa Algeria ameagiza kuvunjwa bunge la nchi hiyo. Rais Abdul Majid Tebboune wa Algeria jana usiku alisema kuwa amelivunja bunge ili kuendesha uchaguzi pasina ufisadi na kuandaa fursa za ajira kwa ajili ya nguvu kazi ya vijana nchini humo.

  • Maelfu ya wapinzani waandamana Algeria kuunga mkono harakati ya Hirak

    Maelfu ya wapinzani waandamana Algeria kuunga mkono harakati ya Hirak

    Feb 17, 2021 04:28

    Maelfu ya watu waliandamana jana katika mji wa Kherrata nchini Algeria kuunga mkono Harakati ya Hirak ambayo ilimuondoa madarakani rais mkongwe Abduaziz Bouteflika mwaka 2019. Maandamano hayo yalisitishwa baada ya kuanza maambukizi ya COVID-19 mwaka jana.

  • Askari wanne wa jeshi la Tunisia wauawa katika mpaka wa pamoja na Algeria

    Askari wanne wa jeshi la Tunisia wauawa katika mpaka wa pamoja na Algeria

    Feb 04, 2021 00:57

    Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Tunisia ametangaza kuwa askari wanne wa jeshi la nchi hiyo wameuawa katika mripuko wa bomu la kutegwa ardhini uliotokea kwenye mpaka wa pamoja wa Tunisia na Algeria.

  • Kukataa kuomba radhi Macron kwa jinai ilizofanya Ufaransa enzi za ukoloni nchini Algeria

    Kukataa kuomba radhi Macron kwa jinai ilizofanya Ufaransa enzi za ukoloni nchini Algeria

    Jan 22, 2021 06:55

    Ufaransa, ambayo ilikuwa moja ya madola ya kikoloni, ina faili chafu na la kuaibisha kuhusiana na uvamizi, ukaliaji ardhi kwa mabavu na vitendo vya jinai ilivyofanya mnamo karne ya 20 katika nchi ilizozikoloni hususan Algeria.

  • Macron: Ufaransa haitaiomba radhi Algeria kwa dhulma za enzi za ukoloni

    Macron: Ufaransa haitaiomba radhi Algeria kwa dhulma za enzi za ukoloni

    Jan 21, 2021 00:57

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema nchi hiyo ya Ulaya 'haitatubu' wala kuiomba radhi Algeria kutokana na jinai zilizofanywa na Wafaransa katika zama walipoikoloni nchi hiyo ya Kiafrika.

  • Algeria, nchi ya kwanza Afrika kupasisha chanjo ya corona ya Russia

    Algeria, nchi ya kwanza Afrika kupasisha chanjo ya corona ya Russia

    Jan 11, 2021 04:30

    Algeria imekuwa nchi ya kwanza barani Afrika kupasisha chanjo ya COVID-19 iliyotengenezwa nchini Russia.

  • Wabunge wa Algeria wataka iwe jinai kuanzisha uhusiano na Israel

    Wabunge wa Algeria wataka iwe jinai kuanzisha uhusiano na Israel

    Jan 08, 2021 23:11

    Makumi ya wabunge wa Algeria wameandaa muswada wa sheria inayopania kuufanya kuwa ni uhalifu uanzishwaji wa uhusiano wowote wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Waziri Mkuu wa zamani wa Algeria ahukumiwa kifungo miaka 7 jela

    Waziri Mkuu wa zamani wa Algeria ahukumiwa kifungo miaka 7 jela

    Jan 04, 2021 23:14

    Mahakama nchini Algeria imemhukumu kifungo cha miaka 7 jela Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo kwa kufanya ufisadi katika sekta ya utalii katika mkoa wa Skikda kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Kadhaa wauawa katika makabiliano baina ya Jeshi la Algeria na genge la kigaidi

    Kadhaa wauawa katika makabiliano baina ya Jeshi la Algeria na genge la kigaidi

    Jan 04, 2021 12:09

    Wanamgambo wawili na mwanajeshi mmoja wameuawa katika makabiliano baina ya maafisa usalama na genge moja la kigaidi huko kaskazini magharibi mwa Algeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS