Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Askari wanne wa jeshi la Tunisia wauawa katika mpaka wa pamoja na Algeria

    Askari wanne wa jeshi la Tunisia wauawa katika mpaka wa pamoja na Algeria

    Feb 04, 2021 04:27

    Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Tunisia ametangaza kuwa askari wanne wa jeshi la nchi hiyo wameuawa katika mripuko wa bomu la kutegwa ardhini uliotokea kwenye mpaka wa pamoja wa Tunisia na Algeria.

  • Kukataa kuomba radhi Macron kwa jinai ilizofanya Ufaransa enzi za ukoloni nchini Algeria

    Kukataa kuomba radhi Macron kwa jinai ilizofanya Ufaransa enzi za ukoloni nchini Algeria

    Jan 22, 2021 10:25

    Ufaransa, ambayo ilikuwa moja ya madola ya kikoloni, ina faili chafu na la kuaibisha kuhusiana na uvamizi, ukaliaji ardhi kwa mabavu na vitendo vya jinai ilivyofanya mnamo karne ya 20 katika nchi ilizozikoloni hususan Algeria.

  • Macron: Ufaransa haitaiomba radhi Algeria kwa dhulma za enzi za ukoloni

    Macron: Ufaransa haitaiomba radhi Algeria kwa dhulma za enzi za ukoloni

    Jan 21, 2021 04:27

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema nchi hiyo ya Ulaya 'haitatubu' wala kuiomba radhi Algeria kutokana na jinai zilizofanywa na Wafaransa katika zama walipoikoloni nchi hiyo ya Kiafrika.

  • Algeria, nchi ya kwanza Afrika kupasisha chanjo ya corona ya Russia

    Algeria, nchi ya kwanza Afrika kupasisha chanjo ya corona ya Russia

    Jan 11, 2021 08:00

    Algeria imekuwa nchi ya kwanza barani Afrika kupasisha chanjo ya COVID-19 iliyotengenezwa nchini Russia.

  • Wabunge wa Algeria wataka iwe jinai kuanzisha uhusiano na Israel

    Wabunge wa Algeria wataka iwe jinai kuanzisha uhusiano na Israel

    Jan 09, 2021 02:41

    Makumi ya wabunge wa Algeria wameandaa muswada wa sheria inayopania kuufanya kuwa ni uhalifu uanzishwaji wa uhusiano wowote wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Waziri Mkuu wa zamani wa Algeria ahukumiwa kifungo miaka 7 jela

    Waziri Mkuu wa zamani wa Algeria ahukumiwa kifungo miaka 7 jela

    Jan 05, 2021 02:44

    Mahakama nchini Algeria imemhukumu kifungo cha miaka 7 jela Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo kwa kufanya ufisadi katika sekta ya utalii katika mkoa wa Skikda kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Kadhaa wauawa katika makabiliano baina ya Jeshi la Algeria na genge la kigaidi

    Kadhaa wauawa katika makabiliano baina ya Jeshi la Algeria na genge la kigaidi

    Jan 04, 2021 15:39

    Wanamgambo wawili na mwanajeshi mmoja wameuawa katika makabiliano baina ya maafisa usalama na genge moja la kigaidi huko kaskazini magharibi mwa Algeria.

  • Bunge la Algeria lapanga kutunga sheria ya kukufanya ni uhalifu kuanzisha uhusiano na Israel

    Bunge la Algeria lapanga kutunga sheria ya kukufanya ni uhalifu kuanzisha uhusiano na Israel

    Dec 27, 2020 02:37

    Mbunge mmoja nchini Algeria amesema, bunge la nchi hiyo linafikiria kutunga sheria ambayo itakutafsiri kuwa ni uhalifu kuanzisha uhusiano wowote wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel

  • Algeria na Tunisia zazuia ndege ya Israel kutumia anga zao

    Algeria na Tunisia zazuia ndege ya Israel kutumia anga zao

    Dec 23, 2020 12:26

    Algeria na Tunisia zimeizuia ndege ya utawala wa Kizayuni wa Israel kuruka katika anga zao ili kuonyesha upinzani wao kwa hatua ya baadhi ya nchi za Kiarabu ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala huo haramu.

  • Vyama vya kisiasa Algeria vyakosoa vikali kuanzishwa uhusiano kati ya Morocco na utawala wa Kizayuni

    Vyama vya kisiasa Algeria vyakosoa vikali kuanzishwa uhusiano kati ya Morocco na utawala wa Kizayuni

    Dec 15, 2020 03:01

    Vyama vya kisiasa nchini Algeria vimekosoa vikali hatua ya Morocco ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa kitendo hicho ni pigo la kidhalili kwa mataifa ya Algeria, Palestina na Sahara Magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS