-
Bunge la Algeria lapanga kutunga sheria ya kukufanya ni uhalifu kuanzisha uhusiano na Israel
Dec 26, 2020 23:07Mbunge mmoja nchini Algeria amesema, bunge la nchi hiyo linafikiria kutunga sheria ambayo itakutafsiri kuwa ni uhalifu kuanzisha uhusiano wowote wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel
-
Algeria na Tunisia zazuia ndege ya Israel kutumia anga zao
Dec 23, 2020 08:56Algeria na Tunisia zimeizuia ndege ya utawala wa Kizayuni wa Israel kuruka katika anga zao ili kuonyesha upinzani wao kwa hatua ya baadhi ya nchi za Kiarabu ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala huo haramu.
-
Vyama vya kisiasa Algeria vyakosoa vikali kuanzishwa uhusiano kati ya Morocco na utawala wa Kizayuni
Dec 14, 2020 23:31Vyama vya kisiasa nchini Algeria vimekosoa vikali hatua ya Morocco ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa kitendo hicho ni pigo la kidhalili kwa mataifa ya Algeria, Palestina na Sahara Magharibi.
-
Algeria yautaka Umoja wa Afrika kutekeleze majukumu yake kuhusu Sahara Magharibi
Dec 03, 2020 07:36Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amesema kuwa Algiers inasikitishwa mno na hali ya Sahara Magharibi hususan matukio yaliyoshuhudiwa hivi karibuni na ameutaka Umoja wa Afrika AU utekeleze ipasavyo majukumu yake katika eneo hilo.
-
Viongozi wa kisiasa Algeria wakasirishwa na uingiliaji wa Macron katika masuala ya nchi yao
Nov 24, 2020 10:20Matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kuhusiana na hali ya ndani ya Algeria yamekosolewa vikali na vyama na makundi mbalimbali ya kisiasa ya nchi hiyo
-
Jumatano tarehe 18 Novemba 2020
Nov 18, 2020 00:59Leo ni Jumatano tarehe Pili Mfunguo Saba Rabiuthani 1442 Hijria sawa na Novemba 18 mwaka 2020.
-
Ushiriki mdogo katika kura ya maoni ya katiba nchini Algeria
Nov 02, 2020 23:12Kura ya maoni kuhusu katiba ya Algeria ilifanyika Novemba Mosi ambapo ni Waalgeria wachache sana waliojitokeza katika zoezi hilo. Taarifa zinasema ni takribani asilimi 24 tu ya wananchi walioshiriki katika kura hiyo ya maoni.
-
Waalgeria wanapiga kura ya kupasisha katiba mpya inayobana kipindi cha rais
Nov 01, 2020 03:32Zaidi ya Waalgeria milioni 24 leo wanashiriki katika zoezi la kuipigia kura katiba mpya ya nchi hiyo inayobana kipindi cha uongozi wa rais wa nchi na kulipa Bunge la Mahakama mamlaka makubwa zaidi.
-
Wafaransa walitumia mifupa ya wapigania uhuru wa Algeria kutengenezea sabuni
Oct 31, 2020 00:30Mshauri wa masuala ya historia wa Rais wa Algeria amefichua jinai ambazo Ufaransa ilitenda nchini humo katika enzi za ukoloni.
-
Waalgeria wahimizwa kuipigia kura katiba mpya ya nchi hiyo
Oct 24, 2020 00:51Wananchi wa Algeria wamehimizwa kuipigia kura ya ndio katiba mpya katika zoezi la kura ya maoni lililopangwa kufanyika Novemba Mosi mwaka huu. Serikali imeitaja kura hiyo ya maoni kuwa msingi wa nchi mpya.