Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Algeria yautaka Umoja wa Afrika kutekeleze majukumu yake kuhusu Sahara Magharibi

    Algeria yautaka Umoja wa Afrika kutekeleze majukumu yake kuhusu Sahara Magharibi

    Dec 03, 2020 11:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amesema kuwa Algiers inasikitishwa mno na hali ya Sahara Magharibi hususan matukio yaliyoshuhudiwa hivi karibuni na ameutaka Umoja wa Afrika AU utekeleze ipasavyo majukumu yake katika eneo hilo.

  • Viongozi wa kisiasa Algeria wakasirishwa na uingiliaji wa Macron katika masuala ya nchi yao

    Viongozi wa kisiasa Algeria wakasirishwa na uingiliaji wa Macron katika masuala ya nchi yao

    Nov 24, 2020 13:50

    Matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kuhusiana na hali ya ndani ya Algeria yamekosolewa vikali na vyama na makundi mbalimbali ya kisiasa ya nchi hiyo

  • Jumatano tarehe 18 Novemba 2020

    Jumatano tarehe 18 Novemba 2020

    Nov 18, 2020 04:29

    Leo ni Jumatano tarehe Pili Mfunguo Saba Rabiuthani 1442 Hijria sawa na Novemba 18 mwaka 2020.

  • Ushiriki mdogo katika kura ya maoni ya katiba nchini Algeria

    Ushiriki mdogo katika kura ya maoni ya katiba nchini Algeria

    Nov 03, 2020 02:42

    Kura ya maoni kuhusu katiba ya Algeria ilifanyika Novemba Mosi ambapo ni Waalgeria wachache sana waliojitokeza katika zoezi hilo. Taarifa zinasema ni takribani asilimi 24 tu ya wananchi walioshiriki katika kura hiyo ya maoni.

  • Waalgeria wanapiga kura ya kupasisha katiba mpya inayobana kipindi cha rais

    Waalgeria wanapiga kura ya kupasisha katiba mpya inayobana kipindi cha rais

    Nov 01, 2020 07:02

    Zaidi ya Waalgeria milioni 24 leo wanashiriki katika zoezi la kuipigia kura katiba mpya ya nchi hiyo inayobana kipindi cha uongozi wa rais wa nchi na kulipa Bunge la Mahakama mamlaka makubwa zaidi.

  • Wafaransa walitumia mifupa ya wapigania uhuru wa Algeria kutengenezea sabuni

    Wafaransa walitumia mifupa ya wapigania uhuru wa Algeria kutengenezea sabuni

    Oct 31, 2020 04:00

    Mshauri wa masuala ya historia wa Rais wa Algeria amefichua jinai ambazo Ufaransa ilitenda nchini humo katika enzi za ukoloni.

  • Waalgeria wahimizwa kuipigia kura katiba mpya ya nchi hiyo

    Waalgeria wahimizwa kuipigia kura katiba mpya ya nchi hiyo

    Oct 24, 2020 04:21

    Wananchi wa Algeria wamehimizwa kuipigia kura ya ndio katiba mpya katika zoezi la kura ya maoni lililopangwa kufanyika Novemba Mosi mwaka huu. Serikali imeitaja kura hiyo ya maoni kuwa msingi wa nchi mpya.

  • Kiongozi wa chama cha Kiislamu Algeria: Ukoloni wa Ufaransa umeyafukarisha mataifa ya Afrika

    Kiongozi wa chama cha Kiislamu Algeria: Ukoloni wa Ufaransa umeyafukarisha mataifa ya Afrika

    Oct 18, 2020 15:02

    Kiongozi wa chama kikubwa zaidi cha Kiislamu nchini Algeria amesema, ukoloni wa Ufaransa umeyafukarisha mataifa ya bara la Afrika.

  • Waalgeria warejea tena mitaani, wataka utawala wa kiraia

    Waalgeria warejea tena mitaani, wataka utawala wa kiraia

    Oct 06, 2020 08:11

    Wananchi wa Algeria walifanya maandamano jana katika mji mkuu wa nchi hiyo, Algiers na maeneo mengine ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika wakiadhimisha miaka 32 ya harakati ya kupigania demokrasia nchini humo na kutoa wito wa mabadiliko ya kisiasa.

  • Rais wa Algeria asisitizia udharura wa kuundwa taifa huru la Palestina

    Rais wa Algeria asisitizia udharura wa kuundwa taifa huru la Palestina

    Sep 24, 2020 07:11

    Kwa mara nyingine tena, Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria amesisitiza kuwa, nchi yake iko pamoja na wananchi madhulumu wa Palestina na kwamba itaendelea kusimama nao hadi pale watakapofanikiwa katika malengo yao matukufu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS