-
Algeria yautaka Umoja wa Afrika kutekeleze majukumu yake kuhusu Sahara Magharibi
Dec 03, 2020 11:06Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amesema kuwa Algiers inasikitishwa mno na hali ya Sahara Magharibi hususan matukio yaliyoshuhudiwa hivi karibuni na ameutaka Umoja wa Afrika AU utekeleze ipasavyo majukumu yake katika eneo hilo.
-
Viongozi wa kisiasa Algeria wakasirishwa na uingiliaji wa Macron katika masuala ya nchi yao
Nov 24, 2020 13:50Matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kuhusiana na hali ya ndani ya Algeria yamekosolewa vikali na vyama na makundi mbalimbali ya kisiasa ya nchi hiyo
-
Jumatano tarehe 18 Novemba 2020
Nov 18, 2020 04:29Leo ni Jumatano tarehe Pili Mfunguo Saba Rabiuthani 1442 Hijria sawa na Novemba 18 mwaka 2020.
-
Ushiriki mdogo katika kura ya maoni ya katiba nchini Algeria
Nov 03, 2020 02:42Kura ya maoni kuhusu katiba ya Algeria ilifanyika Novemba Mosi ambapo ni Waalgeria wachache sana waliojitokeza katika zoezi hilo. Taarifa zinasema ni takribani asilimi 24 tu ya wananchi walioshiriki katika kura hiyo ya maoni.
-
Waalgeria wanapiga kura ya kupasisha katiba mpya inayobana kipindi cha rais
Nov 01, 2020 07:02Zaidi ya Waalgeria milioni 24 leo wanashiriki katika zoezi la kuipigia kura katiba mpya ya nchi hiyo inayobana kipindi cha uongozi wa rais wa nchi na kulipa Bunge la Mahakama mamlaka makubwa zaidi.
-
Wafaransa walitumia mifupa ya wapigania uhuru wa Algeria kutengenezea sabuni
Oct 31, 2020 04:00Mshauri wa masuala ya historia wa Rais wa Algeria amefichua jinai ambazo Ufaransa ilitenda nchini humo katika enzi za ukoloni.
-
Waalgeria wahimizwa kuipigia kura katiba mpya ya nchi hiyo
Oct 24, 2020 04:21Wananchi wa Algeria wamehimizwa kuipigia kura ya ndio katiba mpya katika zoezi la kura ya maoni lililopangwa kufanyika Novemba Mosi mwaka huu. Serikali imeitaja kura hiyo ya maoni kuwa msingi wa nchi mpya.
-
Kiongozi wa chama cha Kiislamu Algeria: Ukoloni wa Ufaransa umeyafukarisha mataifa ya Afrika
Oct 18, 2020 15:02Kiongozi wa chama kikubwa zaidi cha Kiislamu nchini Algeria amesema, ukoloni wa Ufaransa umeyafukarisha mataifa ya bara la Afrika.
-
Waalgeria warejea tena mitaani, wataka utawala wa kiraia
Oct 06, 2020 08:11Wananchi wa Algeria walifanya maandamano jana katika mji mkuu wa nchi hiyo, Algiers na maeneo mengine ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika wakiadhimisha miaka 32 ya harakati ya kupigania demokrasia nchini humo na kutoa wito wa mabadiliko ya kisiasa.
-
Rais wa Algeria asisitizia udharura wa kuundwa taifa huru la Palestina
Sep 24, 2020 07:11Kwa mara nyingine tena, Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria amesisitiza kuwa, nchi yake iko pamoja na wananchi madhulumu wa Palestina na kwamba itaendelea kusimama nao hadi pale watakapofanikiwa katika malengo yao matukufu.