-
Kiongozi wa chama cha Kiislamu Algeria: Ukoloni wa Ufaransa umeyafukarisha mataifa ya Afrika
Oct 18, 2020 11:32Kiongozi wa chama kikubwa zaidi cha Kiislamu nchini Algeria amesema, ukoloni wa Ufaransa umeyafukarisha mataifa ya bara la Afrika.
-
Waalgeria warejea tena mitaani, wataka utawala wa kiraia
Oct 06, 2020 04:41Wananchi wa Algeria walifanya maandamano jana katika mji mkuu wa nchi hiyo, Algiers na maeneo mengine ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika wakiadhimisha miaka 32 ya harakati ya kupigania demokrasia nchini humo na kutoa wito wa mabadiliko ya kisiasa.
-
Rais wa Algeria asisitizia udharura wa kuundwa taifa huru la Palestina
Sep 24, 2020 03:41Kwa mara nyingine tena, Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria amesisitiza kuwa, nchi yake iko pamoja na wananchi madhulumu wa Palestina na kwamba itaendelea kusimama nao hadi pale watakapofanikiwa katika malengo yao matukufu.
-
Jumamosi, 19 Septemba, 2020
Sep 19, 2020 00:17Leo ni Jumamosi tarehe Mosi Mfunguo Tano Safar 1442 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 19 Septemba 2020 Miladia.
-
Jeshi la Algeria laruhusiwa kuhudumu nje ya mipaka ya nchi hiyo
Sep 08, 2020 21:58Jeshi la Algeria limeruhusiwa kuhudumu nje ya mipaka ya nchi hiyo kufuatia marakebisho yaliyofanyika katika katiba ya nchi hiyo.
-
Algeria: Kuitetea na kuiunga mkono Palestina ni katika sera zetu za nje
Aug 24, 2020 23:01Msemaji wa serikali ya Algeria amesema kusimama na wananchi wa Palestina, kuwatetea na kuwaunga mkono nio katika sera za nje zilizopewa kipaumbele na taifa hilo la Kiarabu la kaskazini mwa Afrika.
-
Jumuiya ya Maulamaa Algeria: Kuanzisha uhusiano na Israel ni haramu
Aug 17, 2020 08:49Jumuiya ya Maulamaa wa Algeria imesema, ni haramu kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala ghasibu wa Kizayuni wa Israel.
-
Algeria yakosoa misimamo ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusiana na Libya na Syria
Jul 12, 2020 23:38Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amekosoa misimamo ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusiana na Libya na Syria.
-
Rais wa Ageria: Libya itakuwa Somalia mpya barani Afrika
Jul 05, 2020 04:49Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria amesema kuwa, hali inayoshuhudiwa sasa nchini Libya inafanana na ile ya Syria kutokana na nchi kadhaa kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.
-
Waziri Mkuu wa Libya aonana na Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria
Jun 20, 2020 23:14Waziri Mkuu wa Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya Fayez al Sarraj ameonana na Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria na pande mbili zimejadiliana njia za upatanishi na jinsi ya kutatua mgogoro wa Libya.