-
Jumamosi, 19 Septemba, 2020
Sep 19, 2020 04:47Leo ni Jumamosi tarehe Mosi Mfunguo Tano Safar 1442 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 19 Septemba 2020 Miladia.
-
Jeshi la Algeria laruhusiwa kuhudumu nje ya mipaka ya nchi hiyo
Sep 09, 2020 02:28Jeshi la Algeria limeruhusiwa kuhudumu nje ya mipaka ya nchi hiyo kufuatia marakebisho yaliyofanyika katika katiba ya nchi hiyo.
-
Algeria: Kuitetea na kuiunga mkono Palestina ni katika sera zetu za nje
Aug 25, 2020 03:31Msemaji wa serikali ya Algeria amesema kusimama na wananchi wa Palestina, kuwatetea na kuwaunga mkono nio katika sera za nje zilizopewa kipaumbele na taifa hilo la Kiarabu la kaskazini mwa Afrika.
-
Jumuiya ya Maulamaa Algeria: Kuanzisha uhusiano na Israel ni haramu
Aug 17, 2020 13:19Jumuiya ya Maulamaa wa Algeria imesema, ni haramu kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala ghasibu wa Kizayuni wa Israel.
-
Algeria yakosoa misimamo ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusiana na Libya na Syria
Jul 13, 2020 04:08Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amekosoa misimamo ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusiana na Libya na Syria.
-
Rais wa Ageria: Libya itakuwa Somalia mpya barani Afrika
Jul 05, 2020 09:19Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria amesema kuwa, hali inayoshuhudiwa sasa nchini Libya inafanana na ile ya Syria kutokana na nchi kadhaa kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.
-
Waziri Mkuu wa Libya aonana na Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria
Jun 21, 2020 03:44Waziri Mkuu wa Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya Fayez al Sarraj ameonana na Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria na pande mbili zimejadiliana njia za upatanishi na jinsi ya kutatua mgogoro wa Libya.
-
Jumamosi tarehe 20 Juni 2020
Jun 20, 2020 04:27Leo ni Jumamosi tarehe 28 Shawwal 1441 Hijria sawa na Juni 20 mwaka 2020.
-
Misri kufungua viwanja vya ndege Julai, Algeria yalegeza sheria za kudhibiti corona
Jun 16, 2020 04:55Misri imetangaza kuwa itafungua viwanja vyake vyote vya ndege kuanzia Julai Mosi, baada ya kuvifunga kwa miezi kadhaa sasa kutokana na maambukizi ya virusi vya corona.
-
Algeria: Kutwaliwa eneo la Ukingo wa Magharibi ni mpango batili na wa kiadui
Jun 14, 2020 06:28Serikali ya Algeria imetangaza kuwa, mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kulitwaa eneo la Palestina la Ukingo wa Magharibini batili na wa kiuhasama si kwa taifa la Palestina pekee bali kwa nchi zote za Waislamu.