-
Jumapili, Juni 14, 2020
Jun 14, 2020 02:41Leo ni Jumapili tarehe 22 Mfunguo Mosi Shawwal 1441 Hijria sawa na Juni 14 mwaka 2020 Milaadia.
-
Algeria: Tutaendelea na upatanishi hadi kutatuliwa mzozo wa Libya
Jun 02, 2020 07:30Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amesema kuwa, nchi yake itaendeleza juhudi za kupunguza mizozo na kuzikinaisha pande nyingine nchini Libya ili zishiriki mazungumzo ya kisiasa ya kutatua mzozo wa nchi hiyo.
-
Algeria: Hamaki za wengine hazitotufanya tuvunje uhusiano wetu na China
May 14, 2020 07:52Msemaji wa Ikulu ya Algeria amesema kuwa, uhusiano wa nchi yake na China ni mzuri, uko wazi na ni wa kipekee, hivyo hamaki za wengine haziishughulishi Algiers na itaendeleza uhusiano wake huo na China kama kawaida.
-
Rais wa Algeria: Kupita zama hakuwezi kuifanya historia isahau jinai za dola koloni la Ufaransa
May 08, 2020 11:26Rais Abdelmajid Tebboune wa Algeria amesema kuwa, nusu ya wakazi wa nchi hiyo waliuawa katika jinai kubwa ya umwagaji damu iliyofanywa na Ufaransa katika kipindi cha ukoloni; na kupita zama katu hakuwezi kufuta jinai hizo katika kurasa za historia.
-
Algeria: Utatuzi wa mgogoro wa Libya bila kutushirikisha sisi, ni jambo lisilowezekana
May 02, 2020 11:08Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria sambamba na kusisitizia nafasi ya nchi yake katika utatuzi wa mzozo wa Libya amesema kuwa, katika kukaribia kupatiwa njia za ufumbuzi mgogoro wa Libya na kuanza kwa mwenendo wa kisiasa, serikali ya Algiers imekuwa ikishiriki katika mwenendo huo.
-
Corona imeua watu karibu 800 hadi sasa barani Afrika
Apr 14, 2020 12:35Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Umoja wa Afrika kimesema takriban watu 800 wamepoteza maisha kutokana na ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya Corona barani Afrika.
-
Waziri wa zamani wa Algeria kuwa mjumbe maalumu wa UN nchini Libya
Mar 12, 2020 07:56Waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Algeria ametangazwa kuwa chaguo la baadae la kushika nafasi ya mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya.
-
Algeria yataka Syria irejeshwe katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu
Feb 23, 2020 01:16Rais wa Algeria ametoa wito wa kurejeshwa Syria katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu.
-
Kuidhinishwa na Bunge Baraza jipya la Mawaziri nchini Algeria
Feb 16, 2020 08:12Katika hali ambayo, malalamiko na maandamano ya wananchi wa Algeria yanaendelea kushuhudiwa, Wabunge wa nchi hiyo wamepasisha kwa wingi wa kura majina ya Baraza la Mawaziri yaliyopendekezwa na Waziri Mkuu Abdul-Aziz Djerad na kwa msingi huo kulipatia kura ya kuwa na imani nalo baraza lake hilo.
-
Algeria yataka Syria irejeshwe kwenye Jumuiya ya Nchi za Kiarabu
Feb 14, 2020 07:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria ameziasa nchi za Kiarabu ziharakishe mchakato wa kuirejesha Syria katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League).