Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Jumapili, Juni 14, 2020

    Jumapili, Juni 14, 2020

    Jun 14, 2020 02:41

    Leo ni Jumapili tarehe 22 Mfunguo Mosi Shawwal 1441 Hijria sawa na Juni 14 mwaka 2020 Milaadia.

  • Algeria: Tutaendelea na upatanishi hadi kutatuliwa mzozo wa Libya

    Algeria: Tutaendelea na upatanishi hadi kutatuliwa mzozo wa Libya

    Jun 02, 2020 07:30

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amesema kuwa, nchi yake itaendeleza juhudi za kupunguza mizozo na kuzikinaisha pande nyingine nchini Libya ili zishiriki mazungumzo ya kisiasa ya kutatua mzozo wa nchi hiyo.

  • Algeria: Hamaki za wengine hazitotufanya tuvunje uhusiano wetu na China

    Algeria: Hamaki za wengine hazitotufanya tuvunje uhusiano wetu na China

    May 14, 2020 07:52

    Msemaji wa Ikulu ya Algeria amesema kuwa, uhusiano wa nchi yake na China ni mzuri, uko wazi na ni wa kipekee, hivyo hamaki za wengine haziishughulishi Algiers na itaendeleza uhusiano wake huo na China kama kawaida.

  • Rais wa Algeria: Kupita zama hakuwezi kuifanya historia isahau jinai za dola koloni la Ufaransa

    Rais wa Algeria: Kupita zama hakuwezi kuifanya historia isahau jinai za dola koloni la Ufaransa

    May 08, 2020 11:26

    Rais Abdelmajid Tebboune wa Algeria amesema kuwa, nusu ya wakazi wa nchi hiyo waliuawa katika jinai kubwa ya umwagaji damu iliyofanywa na Ufaransa katika kipindi cha ukoloni; na kupita zama katu hakuwezi kufuta jinai hizo katika kurasa za historia.

  • Algeria: Utatuzi wa mgogoro wa Libya bila kutushirikisha sisi, ni jambo lisilowezekana

    Algeria: Utatuzi wa mgogoro wa Libya bila kutushirikisha sisi, ni jambo lisilowezekana

    May 02, 2020 11:08

    Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria sambamba na kusisitizia nafasi ya nchi yake katika utatuzi wa mzozo wa Libya amesema kuwa, katika kukaribia kupatiwa njia za ufumbuzi mgogoro wa Libya na kuanza kwa mwenendo wa kisiasa, serikali ya Algiers imekuwa ikishiriki katika mwenendo huo.

  • Corona imeua watu karibu 800 hadi sasa barani Afrika

    Corona imeua watu karibu 800 hadi sasa barani Afrika

    Apr 14, 2020 12:35

    Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Umoja wa Afrika kimesema takriban watu 800 wamepoteza maisha kutokana na ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya Corona barani Afrika.

  • Waziri wa zamani wa Algeria kuwa mjumbe maalumu wa UN nchini Libya

    Waziri wa zamani wa Algeria kuwa mjumbe maalumu wa UN nchini Libya

    Mar 12, 2020 07:56

    Waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Algeria ametangazwa kuwa chaguo la baadae la kushika nafasi ya mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya.

  • Algeria yataka Syria irejeshwe katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Algeria yataka Syria irejeshwe katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Feb 23, 2020 01:16

    Rais wa Algeria ametoa wito wa kurejeshwa Syria katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu.

  • Kuidhinishwa na Bunge Baraza jipya la Mawaziri nchini Algeria

    Kuidhinishwa na Bunge Baraza jipya la Mawaziri nchini Algeria

    Feb 16, 2020 08:12

    Katika hali ambayo, malalamiko na maandamano ya wananchi wa Algeria yanaendelea kushuhudiwa, Wabunge wa nchi hiyo wamepasisha kwa wingi wa kura majina ya Baraza la Mawaziri yaliyopendekezwa na Waziri Mkuu Abdul-Aziz Djerad na kwa msingi huo kulipatia kura ya kuwa na imani nalo baraza lake hilo.

  • Algeria yataka Syria irejeshwe kwenye Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Algeria yataka Syria irejeshwe kwenye Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Feb 14, 2020 07:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria ameziasa nchi za Kiarabu ziharakishe mchakato wa kuirejesha Syria katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS