-
Jumapili, tarehe 9 Februari, 2020
Feb 09, 2020 02:41Leo ni Jumapili tarehe 14 Mfunguo Tisa Jamadu th-Thani 1441 Hijria, sawa na tarehe 9 Februari 2020 Miladia.
-
Sisitizo la Iran na Algeria kuhusu msimamo imara dhidi ya 'Muamala wa Karne'
Feb 05, 2020 07:26Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Algeria wamesisitiza kuhusu ulazima wa kuchukuliwa msimamo imara pamoja na kuwepo mshikamano wa Ulimwengu wa Kiislamu katika kukabliana na njama ya Kimarekani-Kizayuni iliyopewa jina la 'Muamala wa Karne'.
-
Tunisia na Algeria zatangaza vita na mpango wa Trump wa Muamala wa Karne
Jan 30, 2020 07:11Nchi za Algeria na Tunisia zimelaani hatua ya rais wa Marekani, Donald Trump ya kuanzisha vurugu jipya duniani kupitia mpango wake wa kidhulma wa Muamala wa Karne na zimetangaza kuwa ziko pamoja na taifa la Palestina katika kupigania haki zake zote ikiwemo suala la kuundwa nchi huru ya Palestina.
-
Ujerumani: Wasioheshimu usimamishaji vita Libya wasusiwe
Jan 24, 2020 06:12Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumaini amesema katika kikao cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi zinazopakana na Libya huko Algiers, mji mkuu wa Algeria kwamba, wale wote wasioheshimu usitishaji vita nchini Libya inabidi wawekewe vikwazo za Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi zinazopakana na Libya wakutana Algeria
Jan 23, 2020 07:41Algeria leo itakuwa mwenyeji wa kikao cha mawaziri wa mambo ya nje wa nchi zinazopakana na Libya kitakachojadili mgogoro unaoendelea nchini humo.
-
Jumamosi, 11 Januari, 2020
Jan 11, 2020 04:51Leo ni Jumamosi tarehe 15 Mfunguo Nane Jamadul-Awwal 1441 Hijria inayosadifiana na tarehe 11 Januari 2020 Miladia.
-
Maelfu ya Waalgeria waandamana baada ya rais mpya wa nchi hiyo kuapishwa
Dec 21, 2019 07:39Makumi ya maelfu ya watu waliandamana jana nchini Algeria baada ya Sala ya Ijumaa kupinga kuchaguliwa rais mpya wa nchi hiyo Abdelmajid Tebboune, ambaye tayari ameshatawazwa kushika wadhifa huo, huku harakati ya umma iliyopinga kufanyika uchaguzi wa rais ikitafakari wito wa kufanya mazungumzo uliotolewa na kiongozi huyo.
-
Mustakbali wa Algeria baada ya kuapishwa rais mpya
Dec 21, 2019 07:31Baada ya kupita miezi mingi ya mgogoro wa kisiasa na maandamano ya wananchi, hatimaye uchaguzi wa rais umefanyika nchini Algeria na Abdelmadjid Tebboune amechaguliwa kuwa rais wa nchi hiyo kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.
-
Tebboune aapishwa kuwa rais mpya wa Algeria
Dec 19, 2019 13:19Abdelmajid Tebboune ameapishwa leo Alkhamisi kuwa rais wa Algeria, huku harakati ya upinzani ya Hirak ikiendelea kujadili ombi la kiongozi huyo la kufanya mazungumzo.
-
Kutangazwa matokeo ya uchaguzi wa rais Algeria katika kivuli cha maandamano ya upinzani
Dec 14, 2019 11:07Uchaguzi wa Rais Algeria umefanyika katika anga iliyogubikwa na ukosefu wa amani na usalama. Ripoti zinasema nusu ya watu waliotimiza masharti ya kupiga kura ndio walioshiriki kwenye zoezi hilo.