Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Maandamano yashtadi Algeria licha ya kutangazwa mshindi wa urais

    Maandamano yashtadi Algeria licha ya kutangazwa mshindi wa urais

    Dec 14, 2019 07:31

    Wananchi wa Algeria wameendelea kufanya maandamano katika barabara za miji mikubwa ya nchi hiyo ukiwemo mji mkuu Algiers, licha ya mshindi wa uchaguzi wa rais uliofanyika hivi karibuni kutangazwa.

  • Matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais Algeria, Abdelmadjid Tebboune anaongoza

    Matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais Algeria, Abdelmadjid Tebboune anaongoza

    Dec 13, 2019 12:01

    Matokeo ya awali ya uchagauzi wa rais nchini Algeria yanaonesha kuwa waziri mkuu wa zamani wa nchi hiyo Abdelmadjid Tebboune anaongoza baada ya kuwapiku wagombea wenzake wanne.

  • Waandamanaji Algeria wataka kufutwa uchaguzi wa leo Alhamisi

    Waandamanaji Algeria wataka kufutwa uchaguzi wa leo Alhamisi

    Dec 12, 2019 03:12

    Umati mkubwa wa wananchi wa Algeria jana walikusanyika katikati mwa mji mkuu wa nchi hiyo Algiers wakitaka kusitishwa uchaguzi wa Rais uliopangwa kufanyika leo Alhamisi. Waandamanaji hao walikuwa wakipiga nara hawatapiga kura leo katika uchaguzi huo wa Rais walioutaja kama mchezo wa kimaonyesho.

  • Mahakama ya Algeria yawahukumu kifungo jela mawaziri wakuu wawili wa zamani

    Mahakama ya Algeria yawahukumu kifungo jela mawaziri wakuu wawili wa zamani

    Dec 10, 2019 12:02

    Mahakama ya Sidi M'Hamed katika mji mkuu wa Algeria, Algiers imewahukumu vifungo vya muda mrefu jela mawaziri wakuu wawili wa zamani wa nchi hiyo baada ya kupatikana na hatia zinazohusiana na ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma.

  • Algeria yaendelea kushuhudia maandamano sambamba na kukaribia kufanyika uchaguzi wa Rais

    Algeria yaendelea kushuhudia maandamano sambamba na kukaribia kufanyika uchaguzi wa Rais

    Nov 30, 2019 11:16

    Mji mkuu wa Algeria, Algiers na miji mingine ya nchi hiyo imeendelea kushuhudia maandamano makubwa ya wapinzani zikiwa zimebakia siku chache kabla ya kufanyika uchaguzi wa Rais nchini humo.

  • Algeria yalaani taarifa ya Bunge la Ulaya, yasema inaingilia masuala yake ya ndani

    Algeria yalaani taarifa ya Bunge la Ulaya, yasema inaingilia masuala yake ya ndani

    Nov 29, 2019 09:25

    Serikali ya Algeria imelaani vikali taarifa iliyotolewa na Bunge la Ulaya kuhusu hali ya ndani ya nchi hiyo ikisisitiza kuwa hatua hiyo ni kuingilia masuala ya ndani ya nchi nyingine.

  • Uchaguzi wa rais Algeria kufanyika bila kuhudhuriwa na waangalizi wa kimataifa

    Uchaguzi wa rais Algeria kufanyika bila kuhudhuriwa na waangalizi wa kimataifa

    Nov 27, 2019 03:43

    Msemaji wa Tume Huru ya Uchaguzi ya Algeria amesema, hakutakuwepo na waangalizi wa kimataifa katika uchaguzi wa rais wa nchi hiyo uliopangwa kufanyika tarehe 12 ya mwezi ujao wa Desemba.

  • Polisi Algeria yawatia mbaroni makumi ya watu wanaopinga kufanyika uchaguzi wa rais

    Polisi Algeria yawatia mbaroni makumi ya watu wanaopinga kufanyika uchaguzi wa rais

    Nov 24, 2019 08:03

    Askari usalama nchini Algeria wamewatia mbaroni watu wasiopungua 30 wanaopinga kufanyika uchaguzi wa rais nchini humo. Watu hao wamekamatwa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Algiers.

  • Algeria wazidi kuandamana kupinga uchaguzi unaowashirikisha watu wa Bouteflika

    Algeria wazidi kuandamana kupinga uchaguzi unaowashirikisha watu wa Bouteflika

    Nov 16, 2019 03:18

    Barabara za Algeria zimeendelea kushuhudia maandamano makubwa ya wananchi kwa wiki ya 37 wanaolalamikia mfumo wa utawala wa nchi hiyo na kutofuatiliwa mafisadi wa utawala wa Abdelaziz Bouteflika.

  • Mgombea urais Algeria: Syria inabidi irejee Arab League

    Mgombea urais Algeria: Syria inabidi irejee Arab League

    Nov 12, 2019 02:58

    Abdel Qadir bin Qrina, mgombea urais katika uchaguzi ujao wa Algeria amesema kuwa iwapo atashinda uchaguzi huo, basi atafanya juhudi kuhakikisha Syria inarudi kwenye Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS