-
Watu 5 kati ya 23 waidhinishwa kuchuana katika uchaguzi wa urais Algeria
Nov 03, 2019 03:27Tume Huru ya Uchaguzi ya Algeria (NIEMA) imeidhinisha majina matano kati ya wagombea 23 waliotangaza azma zao za kugombea kiti cha urais nchini humo katika uchaguzi uliopangwa kufanyika tarehe 12 Disemba mwaka huu.
-
Jeshi la Algeria lawaonya Wamagharibi dhidi ya kuingilia mambo ya ndani ya nchi hiyo
Oct 01, 2019 07:53Mkuu wa Jeshi la Algeria amezionya nchi za Magharibi dhidi ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo, na kuzitaja nchi hizo kama 'vyama ajinabi vyenye uhasama'.
-
Jeshi la Algeria lachukua hatua za kuzuia maandamano ya wananchi dhidi ya utawala
Sep 19, 2019 07:33Mkuu wa jeshi la Algeria ameamuru kukamatwa mabasi na magari yote ya usafirishaji yanayobeba waandamanaji kueleka katika mji mkuu wa nchi hiyo, Algiers.
-
Algeria yatangaza tarehe ya uchaguzi wa rais
Sep 17, 2019 02:31Rais wa mpito wa Algeria ametangaza Disemba 12 kuwa tarehe ya kufanyika uchaguzi wa rais nchini humo.
-
Rais wa Algeria atoa wito wa kuundwa tume huru ya uchaguzi
Sep 10, 2019 02:38Rais wa muda wa Algeria ametoa wito wa kufanyika mashauriano kwa ajili ya kuunda tume huru ya uchaguzi nchini humo.
-
Makamanda wa jeshi la Algeria waunga mkono uchaguzi wa haraka
Sep 03, 2019 08:06Mkuu wa Jeshi la Algeria kwa mara nyingine ameunga mkono kufanyika uchaguzi wa rais haraka iwezekanavyo nchini humo.
-
Wananchi wa Algeria waandamana wakitaka kutimuliwa mabaki ya utawala wa Bouteflika
Aug 24, 2019 12:09Maelfu ya wananchi wa Algeria wameendelea na maandamano yao ya nchi nzima kushinikiza kufukuzwa serikalini mabaki yote ya utawala wa Abdulaziz Bouteflika, rais wa nchi hiyo aliyelazimika kujiuzulu kutokana na maandamano makubwa ya wananchi.
-
Waziri wa zamani wa Mahakama wa Algeria atiwa mbaroni
Aug 23, 2019 07:25Waziri wa zamani wa Mahakama wa Algeria ametiwa mbaroni kwa tuhuma za uchochezi na kuzuia kutekelezwa uadilifu.
-
SADC yataka Zimbabwe iondolewe vikwazo vya kiuchumi
Aug 18, 2019 02:23Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za kusini mwa Afrika (SADC) imetoa wito kwa jamii ya kimataifa kuiondolea Zimbabwe vikwazo vya kiuchumi.
-
Vyama vya upinzani Algeria vyatoa wito wa uasi wa kiraia
Aug 03, 2019 12:07Vyama vya upinzani nchini Algeria vimetoa wito wa kufanyika uasi wa kiraia nchini humo.