Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Watu 5 kati ya 23 waidhinishwa kuchuana katika uchaguzi wa urais Algeria

    Watu 5 kati ya 23 waidhinishwa kuchuana katika uchaguzi wa urais Algeria

    Nov 03, 2019 03:27

    Tume Huru ya Uchaguzi ya Algeria (NIEMA) imeidhinisha majina matano kati ya wagombea 23 waliotangaza azma zao za kugombea kiti cha urais nchini humo katika uchaguzi uliopangwa kufanyika tarehe 12 Disemba mwaka huu.

  • Jeshi la Algeria lawaonya Wamagharibi dhidi ya kuingilia mambo ya ndani ya nchi hiyo

    Jeshi la Algeria lawaonya Wamagharibi dhidi ya kuingilia mambo ya ndani ya nchi hiyo

    Oct 01, 2019 07:53

    Mkuu wa Jeshi la Algeria amezionya nchi za Magharibi dhidi ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo, na kuzitaja nchi hizo kama 'vyama ajinabi vyenye uhasama'.

  • Jeshi la Algeria lachukua hatua za kuzuia maandamano ya wananchi dhidi ya utawala

    Jeshi la Algeria lachukua hatua za kuzuia maandamano ya wananchi dhidi ya utawala

    Sep 19, 2019 07:33

    Mkuu wa jeshi la Algeria ameamuru kukamatwa mabasi na magari yote ya usafirishaji yanayobeba waandamanaji kueleka katika mji mkuu wa nchi hiyo, Algiers.

  • Algeria yatangaza tarehe ya uchaguzi wa rais

    Algeria yatangaza tarehe ya uchaguzi wa rais

    Sep 17, 2019 02:31

    Rais wa mpito wa Algeria ametangaza Disemba 12 kuwa tarehe ya kufanyika uchaguzi wa rais nchini humo.

  • Rais wa Algeria atoa wito wa kuundwa tume huru ya uchaguzi

    Rais wa Algeria atoa wito wa kuundwa tume huru ya uchaguzi

    Sep 10, 2019 02:38

    Rais wa muda wa Algeria ametoa wito wa kufanyika mashauriano kwa ajili ya kuunda tume huru ya uchaguzi nchini humo.

  • Makamanda wa jeshi la Algeria waunga mkono uchaguzi wa haraka

    Makamanda wa jeshi la Algeria waunga mkono uchaguzi wa haraka

    Sep 03, 2019 08:06

    Mkuu wa Jeshi la Algeria kwa mara nyingine ameunga mkono kufanyika uchaguzi wa rais haraka iwezekanavyo nchini humo.

  • Wananchi wa Algeria waandamana wakitaka kutimuliwa mabaki ya utawala wa Bouteflika

    Wananchi wa Algeria waandamana wakitaka kutimuliwa mabaki ya utawala wa Bouteflika

    Aug 24, 2019 12:09

    Maelfu ya wananchi wa Algeria wameendelea na maandamano yao ya nchi nzima kushinikiza kufukuzwa serikalini mabaki yote ya utawala wa Abdulaziz Bouteflika, rais wa nchi hiyo aliyelazimika kujiuzulu kutokana na maandamano makubwa ya wananchi.

  • Waziri wa zamani wa Mahakama wa Algeria atiwa mbaroni

    Waziri wa zamani wa Mahakama wa Algeria atiwa mbaroni

    Aug 23, 2019 07:25

    Waziri wa zamani wa Mahakama wa Algeria ametiwa mbaroni kwa tuhuma za uchochezi na kuzuia kutekelezwa uadilifu.

  • SADC yataka Zimbabwe iondolewe vikwazo vya kiuchumi

    SADC yataka Zimbabwe iondolewe vikwazo vya kiuchumi

    Aug 18, 2019 02:23

    Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za kusini mwa Afrika (SADC) imetoa wito kwa jamii ya kimataifa kuiondolea Zimbabwe vikwazo vya kiuchumi.

  • Vyama vya upinzani Algeria vyatoa wito wa uasi wa kiraia

    Vyama vya upinzani Algeria vyatoa wito wa uasi wa kiraia

    Aug 03, 2019 12:07

    Vyama vya upinzani nchini Algeria vimetoa wito wa kufanyika uasi wa kiraia nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS