Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Waziri wa zamani wa Mahakama wa Algeria atiwa mbaroni

    Waziri wa zamani wa Mahakama wa Algeria atiwa mbaroni

    Aug 23, 2019 02:55

    Waziri wa zamani wa Mahakama wa Algeria ametiwa mbaroni kwa tuhuma za uchochezi na kuzuia kutekelezwa uadilifu.

  • SADC yataka Zimbabwe iondolewe vikwazo vya kiuchumi

    SADC yataka Zimbabwe iondolewe vikwazo vya kiuchumi

    Aug 17, 2019 21:53

    Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za kusini mwa Afrika (SADC) imetoa wito kwa jamii ya kimataifa kuiondolea Zimbabwe vikwazo vya kiuchumi.

  • Vyama vya upinzani Algeria vyatoa wito wa uasi wa kiraia

    Vyama vya upinzani Algeria vyatoa wito wa uasi wa kiraia

    Aug 03, 2019 07:37

    Vyama vya upinzani nchini Algeria vimetoa wito wa kufanyika uasi wa kiraia nchini humo.

  • Jeshi Algeria launga mkono kuanza mazungumzo ya kitaifa

    Jeshi Algeria launga mkono kuanza mazungumzo ya kitaifa

    Jul 11, 2019 06:47

    Kamanda wa jeshi la Algeria ametangaza kuwa anaunga mkono kuanza mazungumzo jumuishi ya kitaifa yatakayosimamiwa na shakhia wanaojitegemea.

  • Wapinzani Algeria waafiki kwa mara ya kwanza mpango wa serikali ya muda

    Wapinzani Algeria waafiki kwa mara ya kwanza mpango wa serikali ya muda

    Jul 07, 2019 02:49

    Wapinzani nchini Algeria wamekubali katika mkutano wa mazungumzo yao ya kitaifa kuhusu mpango wa serikali na kuweka masharti katika uwanja huo.

  • Maandamano ya wananchi wa Algeria yaendelea chini ya ulinzi mkali

    Maandamano ya wananchi wa Algeria yaendelea chini ya ulinzi mkali

    Jul 06, 2019 06:26

    Maelfu ya wananchi wa Algeria wanaendelea na maandamano yao ya nchi nzima chini ya ulinzi mkali kushinikiza kufukuzwa serikalini mabaki yote ya utawala wa Abdulaziz Bouteflika, rais wa nchi hiyo aliyelazimika kujiuzulu kutokana na maandamano makubwa ya wananchi.

  • Ijumaa, tarehe 5 Julai, 2019

    Ijumaa, tarehe 5 Julai, 2019

    Jul 04, 2019 21:48

    Leo ni Ijumaa tarehe Pili Dhulqaada 1440 Hijria, sawa na tarehe 5 Julai 2019.

  • Maandamano ya wananchi yailazimisha serikali ya Algeria kuunda tume ya mazungumzo ya kitaifa

    Maandamano ya wananchi yailazimisha serikali ya Algeria kuunda tume ya mazungumzo ya kitaifa

    Jul 04, 2019 05:29

    Baada ya kushadidi maandamano makubwa ya wananchi, rais wa muda wa Algeria amesema kuwa, kumeshaandaliwa mazingira ya kuanza mazungumzo ya kitaifa nchini humo.

  • Waziri mkuu wa zamani Algeria afikishwa kizimbani kwa tuhuma za ufisadi

    Waziri mkuu wa zamani Algeria afikishwa kizimbani kwa tuhuma za ufisadi

    Jun 16, 2019 23:57

    Waziri mkuu wa zamani wa Algeria Ahmed Ouyahia amefikishwa mahakamani mjini Algiers Jumapili kusailiwa kuhusu tuhuma za ufisadi unaohusu mshirika mmoja wa Algeria na shirika la Volkswagen la Ujerumani.

  • Wanafunzi Algeria wakataa kufanya mazungumzo na utawala ulioko  madarakani

    Wanafunzi Algeria wakataa kufanya mazungumzo na utawala ulioko madarakani

    Jun 12, 2019 03:04

    Wananfunzi nchini Algeria jana walifanya maandamano katika mitaa mbalimbali ya Algiers mji mkuu wa nchi hiyo na kutangaza kuwa hawatafanya mazungumzo na utawala ulioko madarakani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS