-
Jeshi Algeria launga mkono kuanza mazungumzo ya kitaifa
Jul 11, 2019 11:17Kamanda wa jeshi la Algeria ametangaza kuwa anaunga mkono kuanza mazungumzo jumuishi ya kitaifa yatakayosimamiwa na shakhia wanaojitegemea.
-
Wapinzani Algeria waafiki kwa mara ya kwanza mpango wa serikali ya muda
Jul 07, 2019 07:19Wapinzani nchini Algeria wamekubali katika mkutano wa mazungumzo yao ya kitaifa kuhusu mpango wa serikali na kuweka masharti katika uwanja huo.
-
Maandamano ya wananchi wa Algeria yaendelea chini ya ulinzi mkali
Jul 06, 2019 10:56Maelfu ya wananchi wa Algeria wanaendelea na maandamano yao ya nchi nzima chini ya ulinzi mkali kushinikiza kufukuzwa serikalini mabaki yote ya utawala wa Abdulaziz Bouteflika, rais wa nchi hiyo aliyelazimika kujiuzulu kutokana na maandamano makubwa ya wananchi.
-
Ijumaa, tarehe 5 Julai, 2019
Jul 05, 2019 02:18Leo ni Ijumaa tarehe Pili Dhulqaada 1440 Hijria, sawa na tarehe 5 Julai 2019.
-
Maandamano ya wananchi yailazimisha serikali ya Algeria kuunda tume ya mazungumzo ya kitaifa
Jul 04, 2019 09:59Baada ya kushadidi maandamano makubwa ya wananchi, rais wa muda wa Algeria amesema kuwa, kumeshaandaliwa mazingira ya kuanza mazungumzo ya kitaifa nchini humo.
-
Waziri mkuu wa zamani Algeria afikishwa kizimbani kwa tuhuma za ufisadi
Jun 17, 2019 04:27Waziri mkuu wa zamani wa Algeria Ahmed Ouyahia amefikishwa mahakamani mjini Algiers Jumapili kusailiwa kuhusu tuhuma za ufisadi unaohusu mshirika mmoja wa Algeria na shirika la Volkswagen la Ujerumani.
-
Wanafunzi Algeria wakataa kufanya mazungumzo na utawala ulioko madarakani
Jun 12, 2019 07:34Wananfunzi nchini Algeria jana walifanya maandamano katika mitaa mbalimbali ya Algiers mji mkuu wa nchi hiyo na kutangaza kuwa hawatafanya mazungumzo na utawala ulioko madarakani.
-
Jumapili, tarehe 9 Juni, 2019
Jun 09, 2019 03:02Leo ni Jumapili tarehe 5 Shawwal 1440 Hijiria, sawa na tarehe 9 Juni 2019 Miladia.
-
Maelfu waandamana Algeria wasema ,'Nyote Ondokeni'
Jun 08, 2019 07:41Maelfu ya watu wameandamana katika mji mkuu wa Algeria, Algiers wakitaka rais wa mpito Abdlekader Bensalah aondoke baada ya sisitizo lake kuwa atabakia madarakani hadi rais mpya achaguliwe.
-
Wananchi Algeria waendelea na maandamano; wataka kukabidhiwa madaraka kwa amani
May 25, 2019 04:10Maelfu ya wananchi wa Algeria jana Ijumaa waliendelea kuandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo Algiers na katika miji mingine ya nchi hiyo wakitaka kukabidhiwa kwa amani madaraka nchini.