-
Jumapili, tarehe 9 Juni, 2019
Jun 08, 2019 22:32Leo ni Jumapili tarehe 5 Shawwal 1440 Hijiria, sawa na tarehe 9 Juni 2019 Miladia.
-
Maelfu waandamana Algeria wasema ,'Nyote Ondokeni'
Jun 08, 2019 03:11Maelfu ya watu wameandamana katika mji mkuu wa Algeria, Algiers wakitaka rais wa mpito Abdlekader Bensalah aondoke baada ya sisitizo lake kuwa atabakia madarakani hadi rais mpya achaguliwe.
-
Wananchi Algeria waendelea na maandamano; wataka kukabidhiwa madaraka kwa amani
May 24, 2019 23:40Maelfu ya wananchi wa Algeria jana Ijumaa waliendelea kuandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo Algiers na katika miji mingine ya nchi hiyo wakitaka kukabidhiwa kwa amani madaraka nchini.
-
Mkuu wa Majeshi Algeria: Uchaguzi ni njia bora ya kujinasua na mgogoro
May 21, 2019 00:15Mkuu wa Majeshi wa Algeria alisema jana Jumatatu katika taarifa aliyotoa kupitia televisheni ya nchi hiyo kuwa kufanyika uchaguzi ni njia bora itakayoiwezesha Algeria kuondoka na mgogoro wa kisiasa na kuepuka ombwe la kikatiba.
-
Algeria yawakamata wahamiaji haramu 95
May 13, 2019 23:46Vikosi vya usalama Algeria vimewakamata wahamiaji haramu 95 kwenye operesheni mbalimbali.
-
Uchaguzi; changamoto kubwa katika matukio ya Algeria
May 07, 2019 20:56Mgogoro wa kisiasa nchini Algeria unaendelea kushuhudiwa huku suala la kufanyika uchaguzi wa Rais limegeuka na kuwa changamoto kubwa kabisa nchini humo.
-
Rais wa muda wa Algeria ataka kuweko mazungumzo ya kitaifa
May 06, 2019 23:41Abdelkader Bensalah, Rais wa Muda wa Algeria ametoa wito wa kuweko mazungumzo ya kitaifa katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika kwa shabaha ya kufikia mwafaka katika masuala ambayo yamezusha hitilafu nchini humo.
-
Maandamano ya wananchi yaendelea Algeria kupinga serikali ya mpito
May 04, 2019 03:43Wananchi wa Algeria wameendelea na maandamano yao ya kupinga serikali ya mpito ya nchi hiyo na kuishutumu kuwa inapoteza muda.
-
Waandamanaji Algeria wataka kupandishwa kizimbani ndugu ya Bouteflika
Apr 26, 2019 22:11Wananchi wa Algeria jana waliandamana tena ikiwa ni Ijumaa ya 10 mtawalia ya maandamano yao ambapo mbali na kusisitiza juu ya kuachia ngazi viongozi na maafisa wote wa serikali waliokuwa katika kipindi cha utawala wa Abdelaziz Bouteflika, Rais wa nchi hiyo aliyelazimika kujiuzulu, wametoa mwito wa kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria Said Bouteflika, ndugu ya rais huyo mkongwe aliyejiuzulu kufuatia maandamano ya wananchi.
-
Mwenyekiti wa Baraza la Katiba Algeria ajiuzulu huku maandamano yakiendelea
Apr 16, 2019 21:56Mwenyekiti wa Baraza la Katiba nchini Algeria amejiuzulu huku maandamano ya wananchi yakiendelea katika miji mbalimbali ya nchi hiyo.