-
Majaji wa Algeria kususia uchaguzi mkuu ujao wa Julai
Apr 14, 2019 03:14Majaji wa Algeria wametangaza kuwa watasusia uchaguzi mkuu ujao ulioratibiwa kufanyika mwezi Julai mwaka huu.
-
Uchaguzi wa rais wa Algeria kufanyika tarehe 4 Julai
Apr 10, 2019 22:45Ofisi ya rais wa Algeria imetangaza kuwa, uchaguzi wa rais wa nchi hiyo utafanyika tarehe 4 Julai mwaka huu.
-
Maandamano yanaendelea Algeria licha ya ahadi za kufanyika uchaguzi huru
Apr 10, 2019 11:40Polisi katika mji mkuu wa Algeria, Algiers wamewafyatulia mabomu ya kutoa machozi maelfu ya wanafunzi waliokuwa wanaandamana kumpinga Spika wa Bunge Abdelkader Bensalah anayekaimu nafasi ya Abdulaziz Bouteflika, rais wa Algeria aliyelazimishwa kujiuzulu na maandamano makubwa ya wananchi.
-
Waalgeria washadidisha maandamano baada ya kuteuliwa rais wa mpito
Apr 09, 2019 10:11Maelfu ya wananchi wa Algeria wakiwemo wanafunzi wa Vyuo Vikuu wamemiminika mabarabarani kushiriki maandamano ya kupinga kuteuliwa rais wa mpito wa nchi hiyo.
-
Bunge la Algeria kumteua rais wa mpito baada ya Bouteflika kujiuzulu
Apr 07, 2019 02:24Bunge la Algeria linatazamiwa kumteua rais wa mpito atakayeiongoza nchi hiyo baada ya Abdelaziz Bouteflika kujiuzulu.
-
Kujiuzulu Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria na mustakabali wa nchi hiyo
Apr 03, 2019 10:28Hatimaye Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria amejiuzulu wadhifa wake baada ya miaka 20 kufuatia wiki kadhaa za maandamano na mashinikizo dhidi yake. Bouteflika alitangaza uamuzi huo jana Jumanne na kusema amelijulisha Baraza la Katiba kuhusu hatua yake ya kujiondoa madarakani.
-
Furaha, nderemo na vifijo vyatanda nchini Algeria baada ya Bouteflika kujiuzulu
Apr 03, 2019 03:26Miji mbalimbali ya Algeria imeendelea kushuhudia furaha, nderemo na vifijo baada ya Rais Abdelaziz Bouteflika kutangaza kujiuzulu.
-
Hatimaye Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria ajiuzulu
Apr 02, 2019 22:57Hatimaye Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria amejiuzulu wadhifa wake baada ya miaka 20 kufuatia wiki kadhaa za maandamano na mashinikizo dhidi yake.
-
Kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Algeria
Apr 01, 2019 08:45Mgogoro wa kisiasa nchini Algeria ambao katika siku za hivi karibuni umeshadidi mno, sasa unaonekana kuchukua mkondo na wigo mpana zaidi.
-
Maandamano yapamba moto Algeria baada ya Bouteflika kung'ang'ania madaraka na kuunda serikali mpya
Apr 01, 2019 02:35Maandamano makubwa ya wananchi wa Algeria yanaendelea baada ya rais mgonjwa wa nchi hiyo, Abdulaziz Bouteflika kukataa uamuzi wa kung'oka madarakani na kuamua kuunda serikali mpya.