Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Waalgeria washadidisha maandamano baada ya kuteuliwa rais wa mpito

    Waalgeria washadidisha maandamano baada ya kuteuliwa rais wa mpito

    Apr 09, 2019 14:41

    Maelfu ya wananchi wa Algeria wakiwemo wanafunzi wa Vyuo Vikuu wamemiminika mabarabarani kushiriki maandamano ya kupinga kuteuliwa rais wa mpito wa nchi hiyo.

  • Bunge la Algeria kumteua rais wa mpito baada ya Bouteflika kujiuzulu

    Bunge la Algeria kumteua rais wa mpito baada ya Bouteflika kujiuzulu

    Apr 07, 2019 06:54

    Bunge la Algeria linatazamiwa kumteua rais wa mpito atakayeiongoza nchi hiyo baada ya Abdelaziz Bouteflika kujiuzulu.

  • Kujiuzulu Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria na mustakabali wa nchi hiyo

    Kujiuzulu Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria na mustakabali wa nchi hiyo

    Apr 03, 2019 14:58

    Hatimaye Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria amejiuzulu wadhifa wake baada ya miaka 20 kufuatia wiki kadhaa za maandamano na mashinikizo dhidi yake. Bouteflika alitangaza uamuzi huo jana Jumanne na kusema amelijulisha Baraza la Katiba kuhusu hatua yake ya kujiondoa madarakani.

  • Furaha, nderemo na vifijo vyatanda nchini Algeria baada ya Bouteflika kujiuzulu

    Furaha, nderemo na vifijo vyatanda nchini Algeria baada ya Bouteflika kujiuzulu

    Apr 03, 2019 07:56

    Miji mbalimbali ya Algeria imeendelea kushuhudia furaha, nderemo na vifijo baada ya Rais Abdelaziz Bouteflika kutangaza kujiuzulu.

  • Hatimaye Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria ajiuzulu

    Hatimaye Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria ajiuzulu

    Apr 03, 2019 03:27

    Hatimaye Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria amejiuzulu wadhifa wake baada ya miaka 20 kufuatia wiki kadhaa za maandamano na mashinikizo dhidi yake.

  • Kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Algeria

    Kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Algeria

    Apr 01, 2019 13:15

    Mgogoro wa kisiasa nchini Algeria ambao katika siku za hivi karibuni umeshadidi mno, sasa unaonekana kuchukua mkondo na wigo mpana zaidi.

  • Maandamano yapamba moto Algeria baada ya Bouteflika kung'ang'ania madaraka na kuunda serikali mpya

    Maandamano yapamba moto Algeria baada ya Bouteflika kung'ang'ania madaraka na kuunda serikali mpya

    Apr 01, 2019 07:05

    Maandamano makubwa ya wananchi wa Algeria yanaendelea baada ya rais mgonjwa wa nchi hiyo, Abdulaziz Bouteflika kukataa uamuzi wa kung'oka madarakani na kuamua kuunda serikali mpya.

  • Maandamano makubwa yafanyika Algeria, Bouteflika  akataa kung'atuka madarakani

    Maandamano makubwa yafanyika Algeria, Bouteflika akataa kung'atuka madarakani

    Mar 29, 2019 15:58

    Maandamano makubwa yamefanyika leo nchini Algeria huku wananchi wakiendelea kudai mabadiliko ya utawala wakati rais Abdelaziz Bouteflika amekataa kung'atuka madarakani hata baada ya kutengwa na jeshi.

  • Maandamano ya wananchi yamng'oa Bouteflika madarakani Algeria, kaimu wake atangazwa

    Maandamano ya wananchi yamng'oa Bouteflika madarakani Algeria, kaimu wake atangazwa

    Mar 27, 2019 03:19

    Televisheni ya al Nahar ya Algeria imetangaza kuwa, Spika wa Bunge la nchi hiyo, Abdelkader Bensalah ameteuliwa kukaimu nafasi ya Rais Abdulaziz Bouteflika kwa muda wa siku 45. Bouteflika ameeng'olewa madarakani kwa nguvu nchini humo baada ya kushadidi maandamano ya wananchi ya kumtaka ajiuzulu.

  • Ndege ya kijeshi ya Marekani yapeleka magaidi 29 wa Daesh (ISIS) nchini Algeria

    Ndege ya kijeshi ya Marekani yapeleka magaidi 29 wa Daesh (ISIS) nchini Algeria

    Mar 26, 2019 03:07

    Duru za usalama za Algeria zimetangaza kuwa, magaidi 29 wa Daesh wapelekwa nchini humo kwa ndege ya kijeshi ya Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS