-
Makumi ya maelfu waandamana Algiers, mji mkuu wa Algeria
Mar 23, 2019 00:31Makumi ya maelfu ya watu wameandamana katika mji mkuu wa Algeria, Algiers, kushinikiza kung'oka madarakani Rais Abdelaziz Bouteflika ambaye anatembelea kigari cha wagonjwa.
-
Russia yapinga madola ya nje kuingilia masuala ya ndani ya Algeria
Mar 20, 2019 02:32Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Seregei Lavrov amesisitiza kuwa nchi yake inapinga uingiliaji wa madola ya nje katika masuala na hali inayoendelea hivi sasa nchini Algeria.
-
Jeshi la Algeria lasisitiza kuyapatia ufumbuzi matatizo na kuwaunga mkono wananchi
Mar 19, 2019 07:05Mkuu wa vikosi vya jeshi la Algeria amesisitiza kuwa vikosi vya nchi hiyo vitaendelea kuwa pamoja na wananchi.
-
Waziri Mkuu wa Algeria aanza mazungumzo ya kuunda serikali mpya
Mar 18, 2019 01:26Waziri Mkuu wa Algeria ameanza mazungumzo ya kuunda serikali mpya kama hatua iliyochukuliwa ili kuwaridhisha wananchi wanaofanya maandamanao wakiomtaka Rais wa nchi hiyo, Abdelaziz Bouteflika na serikali yake wang'atuke madarakani.
-
Umoja wa Afrika wasisitiza ulazima wa kufanyika mazungumzo ya kitaifa Algeria
Mar 17, 2019 17:03Umoja wa Afrika (AU) umesisitiza kwamba kuna ulazima wa kufanyika mazungumzo ya kitaifa nchini Algeria.
-
Maafisa wa chama tawala Algeria wajitenga na Rais Bouteflika
Mar 16, 2019 04:42Maafisa waandamizi wa chama tawala nchini Algeria cha FNL wamemtaka Rais Abdelaziz Bouteflika wa nchi hiyo kuchukua hatua ya 'kihistoria', hatua nyingine ambayo inaashiria kuwa chama hicho kimeendelea kujiweka mbali na Bouteflika.
-
Algeria; kuendelea mgogoro au kufanya harakati katika njia ya demokrasia?
Mar 13, 2019 02:25Baada ya wiki kadhaa za malalamiko, maandamanao na kushadidi hali hiyo katika siku za hivi karibuni baada ya Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria kutangaza kugombea kiti cha urais kwa muhula wa tano mtawalia, hatimaye kiongozi huyo amefutilia mbali uamuzi wake huo.
-
Bouteflika alazimika kutengua azma yake ya kuwania urais Algeria
Mar 12, 2019 03:21Baada ya mashinikizo na maandamano ya karibu mwezi mmoja, hatimaye Rais Abdelaziz Bouteflka wa Algeria amefutilia mbali azma yake ya kugombea tena urais katika uchaguzi ujao nchini humo.
-
Mahakimu zaidi ya 1,000 wa Algeria: Hatutasimamia uchaguzi wa rais endapo Rais Bouteflika atagombea
Mar 11, 2019 16:49Mahakimu zaidi ya elfu moja nchini Algeria wamejiunga na wimbi la upinzani la kupinga rais wa nchi hiyo Abdelaziz Bouteflka kugombea tena katika uchaguzi wa urais unaotazamiwa kufanyika mwezi ujao na kusisitiza kuwa hawatasimamia uchaguzi huo endapo kiongozi huyo atakuwa mmoja wa wagombea.
-
Maulamaa nchini Algeria waonya juu ya uingiliaji wa kigeni katika mzozo wa sasa nchini humo
Mar 11, 2019 08:12Jumuiya ya Maulamaa wa Kiislamu nchini Algeria imetahadharisha kuhusu aina yoyote ya uingiliaji wa kigeni katika matukio ya ndani ya nchi hiyo.