Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Rais Bouteflika kurejea nchini Algeria leo, maandamano yachachamaa

    Rais Bouteflika kurejea nchini Algeria leo, maandamano yachachamaa

    Mar 10, 2019 14:21

    Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria anatazamiwa kurejea katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika leo Jumapili, baada ya kuwa nje ya nchi kwa muda wa wiki mbili kwa ajili ya matibabu.

  • Algeria yafunga vyuo vikuu, wanafunzi walaumiwa kuchochea maandamano

    Algeria yafunga vyuo vikuu, wanafunzi walaumiwa kuchochea maandamano

    Mar 10, 2019 07:18

    Serikali ya Algeria Jumamosi imeamuru vyuo vikuu vyote nchini humo vifungwe mapema kabla ya kuanza likizo ya msimu wa machipuo ili kujaribu kuzima kasi ya maandamano yanayoongozwa na wanachuo dhidi ya Rais Abdelaziz Bouteflika.

  • Waalgeria waandamana hadi hospitali alikolazwa Bouteflika nchini Uswisi

    Waalgeria waandamana hadi hospitali alikolazwa Bouteflika nchini Uswisi

    Mar 09, 2019 04:22

    Waalgeria wanaoishi nchini Uswisi wamefanya maandamano ya kupinga msimamo wa Rais Abdelaziz Bouteflika wa kugombea tena urais kwa muhula wa tano.

  • Rais Bouteflika azidi kubanwa;  awaonya wafanya maandamano dhidi yake

    Rais Bouteflika azidi kubanwa; awaonya wafanya maandamano dhidi yake

    Mar 08, 2019 15:31

    Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria ametoa onyo lake la kwanza kwa maelfu ya raia wanaoandamana katika mitaa mbalimbali ya nchi hiyo wakitaka ahitimishe utawala wake wa miaka 20. Amesema kuwa ghasia na machafuko yatayumbisha nchi.

  • Nchi za Magharibi zavunja kimya, zaitaka Algeria iheshimu haki za raia

    Nchi za Magharibi zavunja kimya, zaitaka Algeria iheshimu haki za raia

    Mar 06, 2019 08:16

    Nchi za Magharibi zimevunja kimya chao cha muda sasa mbele ya ukandamizaji mkubwa unaofanywa na vyombo vya dola nchini Algeria dhidi ya raia wanaopinga uamuzi wa rais mgonjwa wa nchi hiyo wa kutaka kugombea tena kiti hicho na kuitaka serikali ya Algiers iheshimu haki za raia ikiwemo haki ya kufanya maandamano ya amani.

  • Maandamano yashika kasi Algeria, jeshi laapa kuzuia umwagikaji damu

    Maandamano yashika kasi Algeria, jeshi laapa kuzuia umwagikaji damu

    Mar 06, 2019 02:53

    Maelfu ya wananchi wa Algeria Jumanne waliendeleza maandamano katika mji mkuu Algiers, wakimtaka Rais Abdelaziz Bouteflika aondoke madarakani huku jeshi nalo likiapa kuzuia umwagikaji damu nchini humo.

  • Wanafunzi Algeria wagoma kuingia madarasani kupinga msimamo mpya wa Bouteflika

    Wanafunzi Algeria wagoma kuingia madarasani kupinga msimamo mpya wa Bouteflika

    Mar 05, 2019 08:01

    Wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Algeria ambao wameonyesha kuwa na dhamira ya kuongoza maandamano makubwa zaidi dhidi ya serikali kuwahi kushuhudiwa nchini humo kwa miaka kadhaa sasa, jana waligoma kuingia madarasani ili kuonyesha upinzani wao kwa pendekezo la Rais Abdelaziz Bouteflika la kugombea tena urais katika uchaguzi utakaofanyika mwezi ujao, lakini kutobaki madarakani kwa muhula wote endapo atachaguliwa tena.

  • Rais wa Algeria asisitiza kugomeba urais huku maandamano dhidi yake yakishadidi

    Rais wa Algeria asisitiza kugomeba urais huku maandamano dhidi yake yakishadidi

    Mar 05, 2019 02:44

    Hatimaye muhula wa mwisho wa kujiandikisha kisheria kugombea urais wa Algeria ulipowadia, Rais Abdelaziz Bouteflika, alijiandikisha rasmi kugombea tena katika uchaguzi huo. Katika barua yake kwa watu wa Algeria, ameahidi kuwa akichaguliwa atahakikisha kuna katiba mpya ambayo itapigiwa kura ya maoni na wananchi ili kuwepo mfumo mpya wa utawala nchini humo.

  • Rais wa Algeria aahidi kung'atuka madarakani ndani ya mwaka mmoja endapo atachaguliwa tena

    Rais wa Algeria aahidi kung'atuka madarakani ndani ya mwaka mmoja endapo atachaguliwa tena

    Mar 04, 2019 03:25

    Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria anayekabiliwa na upinzani wa umma baada ya kuweko madarakani kwa muda wa miaka 20, amesema atagombea tena urais kwa mara ya tano katika uchaguzi uliopangwa kufanyika mwezi Aprili, lakini ameahidi kung'atuka madarakani na kuitisha uchaguzi wa mapema ndani ya muda wa mwaka mmoja endapo atachaguliwa tena.

  • Chama cha Wafanyakazi kususia uchaguzi wa urais Algeria

    Chama cha Wafanyakazi kususia uchaguzi wa urais Algeria

    Mar 03, 2019 07:59

    Chama cha Wafanyakazi nchini Algeria kimetangaza kuwa hakitashiriki katika uchaguzi wa urais unaotazamiwa kufanyika Aprili 18 mwaka huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS