Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Makumi ya maelfu ya Waalgeria waandamana kutaka rais Bouteflika ang'atuke madarakani

    Makumi ya maelfu ya Waalgeria waandamana kutaka rais Bouteflika ang'atuke madarakani

    Mar 02, 2019 16:17

    Makumi ya maelfu ya watu wameandamana katika miji mbalimbali nchini Algeria kutaka rais wa nchi hiyo Abdelaziz Bouteflika aondoke madarakani. Maandamano hayo ya jana Ijumaa ni makubwa zaidi kufanywa dhidi ya serikali tangu yale ya miaka minane nyuma wakati wa vuguvugu la Machipuo ya Kiarabu yaliyojulikana pia kama Mwamko wa Kiislamu.

  • Kushadidi ghasia na machafuko nchini Algeria

    Kushadidi ghasia na machafuko nchini Algeria

    Mar 02, 2019 15:02

    Maandamano ya wananchi wa Algeria dhidi ya uamuzi wa Rais wa sasa wa nchi hiyo, Abdelaziz Bouteflika wa kutaka kugombea tena kiti cha urais katika uchaguzi ujao yameitumbukiza nchi hiyo katika mgogoro mkubwa wa kisiasa na hadi sasa watu wasiopungua 10 wameuliwa katika mapigano kati ya waandamanaji na polisi huko Algiers mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Mamia ya wanachuo waandamana nchini Algeria dhidi ya Bouteflika

    Mamia ya wanachuo waandamana nchini Algeria dhidi ya Bouteflika

    Feb 27, 2019 07:58

    Mamia ya wanafunzi wa vyuo vikuu wa Algeria wamefanya maandamano katika barabara za mji mkuu wa nchi hiyo Algiers, kupinga mpango wa rais wa nchi hiyo Abdulaziz Bouteflika, kugombea tena urais kwa muhula wa tano.

  • Makumi ya watu wakamatwa Algeria kwa kupinga rais Bouteflika kugombea tena urais kwa mara ya tano

    Makumi ya watu wakamatwa Algeria kwa kupinga rais Bouteflika kugombea tena urais kwa mara ya tano

    Feb 23, 2019 15:47

    Askari usalama wa Algeria wamewatia mbaroni watu 41 katika maandamano ya wananchi wenye hasira yaliyofanyika kwenye mji mkuu wa nchi hiyo Algiers, kupinga rais wa nchi hiyo Abdelaziz Bouteflika, ambaye ni mgonjwa, kugombea tena urais kwa muhula wa tano.

  • Waalgeria wapinga Bouteflika kugombea tena kiti cha rais

    Waalgeria wapinga Bouteflika kugombea tena kiti cha rais

    Feb 17, 2019 12:21

    Makundi mbalimbali ya wananchi wa Algeria wamefanya maandamano leo wakipinga uamuzi wa Rais wa sasa wa nchi hiyo, Abdelaziz Bouteflika kugombea kiti hicho kwa mara ya tano.

  • Rais wa Algeria (81) asema atagombea muhula wa tano wa urais

    Rais wa Algeria (81) asema atagombea muhula wa tano wa urais

    Feb 11, 2019 07:51

    Rais Abdulaziz Bouteflika wa Algeria ametangaza kuwa atagombea muhula wa tano wa kiti cha rais, katika uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mwezi Aprili mwaka huu.

  • Spika Larijani: Magaidi ni jeshi la Marekani Mashariki ya Kati

    Spika Larijani: Magaidi ni jeshi la Marekani Mashariki ya Kati

    Jan 31, 2019 04:32

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge la Iran) amesema kuwa Marekani sasa inawahamisha magaidi kuwatoa sehemu moja na kuwapeleka sehemu nyingine baada ya kuwatumia kama wenzo wa kutimiza malengo yake.

  • Ijumaa tarehe 11 Januari, 2019

    Ijumaa tarehe 11 Januari, 2019

    Jan 11, 2019 01:10

    Leo ni Ijumaa tarehe 4 Jamadil Awwal 1440 Hijria sawa na tarehe 11 Januari 2019.

  • Waalgeria wengi wanapinga safari ya bin Salman nchini mwao

    Waalgeria wengi wanapinga safari ya bin Salman nchini mwao

    Dec 02, 2018 07:53

    Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa na gazeti la al Shuruq la Algeria unaonesha kuwa asilimia 72.5 ya wananchi wa nchi hiyo wanapinga ziara ya Mohammed bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia nchini mwao.

  • Nchi za Afrika zasisitiza udharura wa kupambana na ugaidi

    Nchi za Afrika zasisitiza udharura wa kupambana na ugaidi

    Nov 28, 2018 01:14

    Nchi zinazoshiriki mkutano wa kimataifa wa kupambana na ugaidi nchini Algeria zimetangaza kwamba, ushirikiano wa nchi za magharibi mwa Afrika unaweza kuwa na mchango mkubwa katika mapambano dhidi ya ugaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS