-
Makumi ya maelfu ya Waalgeria waandamana kutaka rais Bouteflika ang'atuke madarakani
Mar 02, 2019 16:17Makumi ya maelfu ya watu wameandamana katika miji mbalimbali nchini Algeria kutaka rais wa nchi hiyo Abdelaziz Bouteflika aondoke madarakani. Maandamano hayo ya jana Ijumaa ni makubwa zaidi kufanywa dhidi ya serikali tangu yale ya miaka minane nyuma wakati wa vuguvugu la Machipuo ya Kiarabu yaliyojulikana pia kama Mwamko wa Kiislamu.
-
Kushadidi ghasia na machafuko nchini Algeria
Mar 02, 2019 15:02Maandamano ya wananchi wa Algeria dhidi ya uamuzi wa Rais wa sasa wa nchi hiyo, Abdelaziz Bouteflika wa kutaka kugombea tena kiti cha urais katika uchaguzi ujao yameitumbukiza nchi hiyo katika mgogoro mkubwa wa kisiasa na hadi sasa watu wasiopungua 10 wameuliwa katika mapigano kati ya waandamanaji na polisi huko Algiers mji mkuu wa nchi hiyo.
-
Mamia ya wanachuo waandamana nchini Algeria dhidi ya Bouteflika
Feb 27, 2019 07:58Mamia ya wanafunzi wa vyuo vikuu wa Algeria wamefanya maandamano katika barabara za mji mkuu wa nchi hiyo Algiers, kupinga mpango wa rais wa nchi hiyo Abdulaziz Bouteflika, kugombea tena urais kwa muhula wa tano.
-
Makumi ya watu wakamatwa Algeria kwa kupinga rais Bouteflika kugombea tena urais kwa mara ya tano
Feb 23, 2019 15:47Askari usalama wa Algeria wamewatia mbaroni watu 41 katika maandamano ya wananchi wenye hasira yaliyofanyika kwenye mji mkuu wa nchi hiyo Algiers, kupinga rais wa nchi hiyo Abdelaziz Bouteflika, ambaye ni mgonjwa, kugombea tena urais kwa muhula wa tano.
-
Waalgeria wapinga Bouteflika kugombea tena kiti cha rais
Feb 17, 2019 12:21Makundi mbalimbali ya wananchi wa Algeria wamefanya maandamano leo wakipinga uamuzi wa Rais wa sasa wa nchi hiyo, Abdelaziz Bouteflika kugombea kiti hicho kwa mara ya tano.
-
Rais wa Algeria (81) asema atagombea muhula wa tano wa urais
Feb 11, 2019 07:51Rais Abdulaziz Bouteflika wa Algeria ametangaza kuwa atagombea muhula wa tano wa kiti cha rais, katika uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mwezi Aprili mwaka huu.
-
Spika Larijani: Magaidi ni jeshi la Marekani Mashariki ya Kati
Jan 31, 2019 04:32Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge la Iran) amesema kuwa Marekani sasa inawahamisha magaidi kuwatoa sehemu moja na kuwapeleka sehemu nyingine baada ya kuwatumia kama wenzo wa kutimiza malengo yake.
-
Ijumaa tarehe 11 Januari, 2019
Jan 11, 2019 01:10Leo ni Ijumaa tarehe 4 Jamadil Awwal 1440 Hijria sawa na tarehe 11 Januari 2019.
-
Waalgeria wengi wanapinga safari ya bin Salman nchini mwao
Dec 02, 2018 07:53Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa na gazeti la al Shuruq la Algeria unaonesha kuwa asilimia 72.5 ya wananchi wa nchi hiyo wanapinga ziara ya Mohammed bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia nchini mwao.
-
Nchi za Afrika zasisitiza udharura wa kupambana na ugaidi
Nov 28, 2018 01:14Nchi zinazoshiriki mkutano wa kimataifa wa kupambana na ugaidi nchini Algeria zimetangaza kwamba, ushirikiano wa nchi za magharibi mwa Afrika unaweza kuwa na mchango mkubwa katika mapambano dhidi ya ugaidi.