Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Ijumaa tarehe 11 Januari, 2019

    Ijumaa tarehe 11 Januari, 2019

    Jan 10, 2019 21:40

    Leo ni Ijumaa tarehe 4 Jamadil Awwal 1440 Hijria sawa na tarehe 11 Januari 2019.

  • Waalgeria wengi wanapinga safari ya bin Salman nchini mwao

    Waalgeria wengi wanapinga safari ya bin Salman nchini mwao

    Dec 02, 2018 04:23

    Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa na gazeti la al Shuruq la Algeria unaonesha kuwa asilimia 72.5 ya wananchi wa nchi hiyo wanapinga ziara ya Mohammed bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia nchini mwao.

  • Nchi za Afrika zasisitiza udharura wa kupambana na ugaidi

    Nchi za Afrika zasisitiza udharura wa kupambana na ugaidi

    Nov 27, 2018 21:44

    Nchi zinazoshiriki mkutano wa kimataifa wa kupambana na ugaidi nchini Algeria zimetangaza kwamba, ushirikiano wa nchi za magharibi mwa Afrika unaweza kuwa na mchango mkubwa katika mapambano dhidi ya ugaidi.

  • Serikali ya Algeria yalaani mauaji ya Khashoggi, upinzani dhidi ya safari ya bin Salman waongezeka

    Serikali ya Algeria yalaani mauaji ya Khashoggi, upinzani dhidi ya safari ya bin Salman waongezeka

    Nov 26, 2018 12:13

    Huku kukiwa na habari ya uwezekano wa mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia kutembelea Algeria na kuongezeka upinzani wa wananchi wa nchi hiyo dhidi ya ziara hiyo, serikali ya Algiers imelaani rasmi mauaji ya Jamal Ahmad Khashoggi, mwandishi wa habari aliyekuwa akiukosoa utawala wa Aal Saud.

  • Jumapili Novemba 18

    Jumapili Novemba 18

    Nov 17, 2018 23:16

    Leo ni Jumapili tarehe 10 Mfungo Sita Rabiul-Awwal 1440 Hijiria, sawa na tarehe 18 Novemba 2018 Miladia.

  • Gaidi mmoja Algeria aelezea namna Marekani inavyoshirikiana na magaidi wa ISIS

    Gaidi mmoja Algeria aelezea namna Marekani inavyoshirikiana na magaidi wa ISIS

    Nov 04, 2018 23:44

    Gaidi mmoja wa Algeria ambaye wakati fulani alijiunga na genge la kigaidi la Daesh (ISIS) nchini Syria ameiambia Mahakama ya al Dar al Baydhaa ya Algeria kuwa, wakati alipoingia Syria alipokewa na afisa mmoja wa jeshi la Marekani na kumpa mafunzo ya kutumia silaha yeye na wenzake kadhaa.

  • Ukosoaji wa Bunge la Afrika kwa muamala wa kindumakuwili wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na wahajiri haramu

    Ukosoaji wa Bunge la Afrika kwa muamala wa kindumakuwili wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na wahajiri haramu

    Oct 29, 2018 06:20

    Bunge la Afrika (PAP) limekosoa undumakuwili wa Umoja wa Mataifa katika kuamiliana na nchi za Kiafrika na za Ulaya kwenye kadhia nzima ya kukabiliana na tatizo la wahajiri haramu.

  • Naibu Spika wa Bunge la Afrika: Libya na Algeria ni wahanga wa uhajiri haramu

    Naibu Spika wa Bunge la Afrika: Libya na Algeria ni wahanga wa uhajiri haramu

    Oct 29, 2018 04:44

    Naibu Spika wa Bunge la Afrika (PAP) amesema Libya na Algeria ni wahanga wa uhajiri haramu barani humo.

  • Algeria na Mauritania zakutana kuzungumzia Sahara Magharibi

    Algeria na Mauritania zakutana kuzungumzia Sahara Magharibi

    Oct 22, 2018 23:32

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Algeria na Mauritania wameitisha kikao cha pamoja cha kujadili hatima ya Sahara Magharibi inayopigania uhuru wake kutoka kwa Morocco.

  • Maulamaa Algeria walalamikia marufuku ya vazi la Burqa makazini

    Maulamaa Algeria walalamikia marufuku ya vazi la Burqa makazini

    Oct 21, 2018 11:17

    Jumuiya ya Maulamaa wa Kiislamu ya nchini Algeria imelalamikia uamuzi wa serikali ya nchi hiyo wa kupiga marufuku kuvaliwa na wanwake wa Kiislamu vazi la Burqa katika maeneo ya kazi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS