-
Serikali ya Algeria yalaani mauaji ya Khashoggi, upinzani dhidi ya safari ya bin Salman waongezeka
Nov 26, 2018 15:43Huku kukiwa na habari ya uwezekano wa mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia kutembelea Algeria na kuongezeka upinzani wa wananchi wa nchi hiyo dhidi ya ziara hiyo, serikali ya Algiers imelaani rasmi mauaji ya Jamal Ahmad Khashoggi, mwandishi wa habari aliyekuwa akiukosoa utawala wa Aal Saud.
-
Jumapili Novemba 18
Nov 18, 2018 02:46Leo ni Jumapili tarehe 10 Mfungo Sita Rabiul-Awwal 1440 Hijiria, sawa na tarehe 18 Novemba 2018 Miladia.
-
Gaidi mmoja Algeria aelezea namna Marekani inavyoshirikiana na magaidi wa ISIS
Nov 05, 2018 03:14Gaidi mmoja wa Algeria ambaye wakati fulani alijiunga na genge la kigaidi la Daesh (ISIS) nchini Syria ameiambia Mahakama ya al Dar al Baydhaa ya Algeria kuwa, wakati alipoingia Syria alipokewa na afisa mmoja wa jeshi la Marekani na kumpa mafunzo ya kutumia silaha yeye na wenzake kadhaa.
-
Ukosoaji wa Bunge la Afrika kwa muamala wa kindumakuwili wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na wahajiri haramu
Oct 29, 2018 09:50Bunge la Afrika (PAP) limekosoa undumakuwili wa Umoja wa Mataifa katika kuamiliana na nchi za Kiafrika na za Ulaya kwenye kadhia nzima ya kukabiliana na tatizo la wahajiri haramu.
-
Naibu Spika wa Bunge la Afrika: Libya na Algeria ni wahanga wa uhajiri haramu
Oct 29, 2018 08:14Naibu Spika wa Bunge la Afrika (PAP) amesema Libya na Algeria ni wahanga wa uhajiri haramu barani humo.
-
Algeria na Mauritania zakutana kuzungumzia Sahara Magharibi
Oct 23, 2018 03:02Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Algeria na Mauritania wameitisha kikao cha pamoja cha kujadili hatima ya Sahara Magharibi inayopigania uhuru wake kutoka kwa Morocco.
-
Maulamaa Algeria walalamikia marufuku ya vazi la Burqa makazini
Oct 21, 2018 14:47Jumuiya ya Maulamaa wa Kiislamu ya nchini Algeria imelalamikia uamuzi wa serikali ya nchi hiyo wa kupiga marufuku kuvaliwa na wanwake wa Kiislamu vazi la Burqa katika maeneo ya kazi.
-
Algeria: Afrika imedhulumika katika Umoja wa Mataifa
Sep 30, 2018 07:44Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amesema, Afrika imedhulumika katika Umoja wa Mataifa na kwenye Baraza la Usalama la umoja huo na kwa hivyo dhulma hiyo inapasa iondolewe.
-
Ubeberu wa Marekani haubakishi mtu, sasa ni zamu ya Algeria
Sep 29, 2018 14:44Msemaji wa ubalozi wa Marekani mjini Algiers amesema kuwa, Washington hivi sasa inachunguza uwezekano wa kuiwekea vikwazo Algeria kutokana na kununua silaha kutoka Russia.
-
Wanasheria wa Algeria: Ufaransa inapasa kuwalipa fidia wahanga wa ukoloni nchini Algeria
Sep 16, 2018 07:29Mwanasheria mmoja wa haki za binadamu nchini Algeria ametaka Paris ilipe gharama na fidia kufuatia kukiri serikali ya Ufaransa kuwatesa na kuwaua wale wote waliokuwa wakiunga mkono mapinduzi ya Algeria.