Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Algeria: Afrika imedhulumika katika Umoja wa Mataifa

    Algeria: Afrika imedhulumika katika Umoja wa Mataifa

    Sep 30, 2018 04:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amesema, Afrika imedhulumika katika Umoja wa Mataifa na kwenye Baraza la Usalama la umoja huo na kwa hivyo dhulma hiyo inapasa iondolewe.

  • Ubeberu wa Marekani haubakishi mtu, sasa ni zamu ya Algeria

    Ubeberu wa Marekani haubakishi mtu, sasa ni zamu ya Algeria

    Sep 29, 2018 11:14

    Msemaji wa ubalozi wa Marekani mjini Algiers amesema kuwa, Washington hivi sasa inachunguza uwezekano wa kuiwekea vikwazo Algeria kutokana na kununua silaha kutoka Russia.

  • Wanasheria wa Algeria: Ufaransa inapasa kuwalipa fidia wahanga wa ukoloni nchini Algeria

    Wanasheria wa Algeria: Ufaransa inapasa kuwalipa fidia wahanga wa ukoloni nchini Algeria

    Sep 16, 2018 02:59

    Mwanasheria mmoja wa haki za binadamu nchini Algeria ametaka Paris ilipe gharama na fidia kufuatia kukiri serikali ya Ufaransa kuwatesa na kuwaua wale wote waliokuwa wakiunga mkono mapinduzi ya Algeria.

  • Kamanda wa Jeshi la Libya adai, jeshi la Algeria limeivamia Libya

    Kamanda wa Jeshi la Libya adai, jeshi la Algeria limeivamia Libya

    Sep 09, 2018 11:33

    Kamanda wa jeshi la taifa la Libya amedai kuwa Algeria imeingiza wanajeshi wake katika ardhi ya nchi hiyo.

  • Libya yajiweka katika hali ya tahadhari kufuatia mripuko wa kipindupindu nchini Algeria

    Libya yajiweka katika hali ya tahadhari kufuatia mripuko wa kipindupindu nchini Algeria

    Aug 27, 2018 03:30

    Wizara ya Afya ya Libya imetangaza kuwa hali ya tahadhari imetangazwa nchini humo kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu kufuatia mripuko wa ugonjwa huo uliotokea katika nchi jirani ya Algeria.

  • Watoto wawili wauawa kwa mripuko wa bomu nchini Algeria

    Watoto wawili wauawa kwa mripuko wa bomu nchini Algeria

    Aug 19, 2018 10:21

    Mripuko wa bomu moja lililotengenezwa kienyeji umepelekea watoto wadogo wawili kuuawa na kujeruhiwa watu wengine wanne nchini Algeria.

  • Wahajiri haramu zaidi ya 100 waokolewa katika eneo la mpaka wa pamoja wa Niger na Algeria

    Wahajiri haramu zaidi ya 100 waokolewa katika eneo la mpaka wa pamoja wa Niger na Algeria

    Aug 12, 2018 03:01

    Shirika la Kimataifa la Uhajiri limetangaza kuwa wahajiri zaidi ya 100 kutoka nchi za Afrika wameokolewa katika eneo la mpaka wa pamoja wa Niger na Algeria.

  • Algeria yalaani jinai za wanajeshi wa Israel katika Ukanda wa Ghaza

    Algeria yalaani jinai za wanajeshi wa Israel katika Ukanda wa Ghaza

    Aug 11, 2018 22:39

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Algeria amelaani vikali jinai za wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza.

  • Algeria yasitisha kuwafukuzia katika jangwa la Sahara wakimbizi

    Algeria yasitisha kuwafukuzia katika jangwa la Sahara wakimbizi

    Jul 15, 2018 09:23

    Algeria karibuni imesimamisha kuwafukuza wakimbizi kuelekea katika jangwa la Sahara baada ya hatua hiyo kupingwa vikali na maafisa kadhaa wa usalama wa ngazi ya juu.

  • Jeshi la Algeria laanza oparesheni kubwa karibu na mpaka wa Tunisia

    Jeshi la Algeria laanza oparesheni kubwa karibu na mpaka wa Tunisia

    Jul 12, 2018 03:01

    Jeshi la Algeria limeanzisha oparesheni kubwa katika maeneo ya mpaka wa pamoja na nchi jirani ya Tunisia kufuatia kutekelezwa shambulio la kigaidi Jumapili iliyopita katika mkoa mmoja ulioko mpakani wa Jendouba. Wanajeshi sita waliuawa na watatu kujeruhiwa katika shambulio hilo la kigaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS