-
Taasisi za kidini Algeria zapongeza fatuwa ya Ayatullah Khamenei kuhusu masahaba wa Mtume (saw)
Jun 27, 2018 02:13Baraza Kuu la Kiislamu la Algeria limepongeza fatuwa iliyotolewa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei inayoharamisha kuwavunjia heshima masahaba wa Mtume (saw) na ulazima wa kulinda heshima ya wake wa mtukufu huyo.
-
Algeria yalaani jinai za Israel huko Palestina na uungaji mkono wa Marekani
Jun 22, 2018 04:03Waziri Mkuu wa Algeria amesema Algiers inapinga vikali jinai na mauaji yanayoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel huko Palestina licha ya uungaji mkono wa Marekani kwa utawala huo.
-
Jumanne, Juni 19, 2018
Jun 19, 2018 02:20Leo ni Jumanne tarehe 5 Mfunguo Mosi Shawwal 1439 Hijria sawa na 19 Juni, 2018 Milaadia.
-
Tahadhari kuhusu njama zinazofanyika dhidi ya Uislamu na Iran
Jun 14, 2018 02:25Mwanafikra na kiongozi wa ngazi za juu wa kidini nchini Algeria ametahadharisha kuhusu njama zinazofanywa dhidi ya Uislamu na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Akthari ya Walgeria wanataka nchi yao ijitoe kwenye Jumuiya ya Nchi za Kiarabu
Jun 04, 2018 04:13Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa nchini Algeria yanaonyesha kuwa akthari ya raia wa nchi hiyo wanataka nchi yao ijiondoe kwenye Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League).
-
Morocco yaelekeza tuhuma zake kwa Algeria kwamba inaiunga mkono Polisario
May 22, 2018 13:53Kwa mara nyingine serikali ya Morocco kupitia Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo imeinyooshea kidole cha lawama serikali ya Algeria kwamba inaiunga mkono harakati ya Polisario, hasa katika kuendesha maneva ya kijeshi na wapiganaji wa harakati hiyo katika eneo Sahara Magharibi.
-
Ijumaa, Mei 18, 2018
May 18, 2018 02:39Leo ni Ijumaa, tarehe Pili Ramadhani mwaka 1439 Hijria, inayosadifiana na tarehe 18 Mei, mwaka 2018 Miladia.
-
Msomi wa Algeria: Uwahabi ndicho chanzo cha uharibifu wa fikra katika nchi za Kiislamu
Apr 24, 2018 07:54Mkuu wa Baraza Kuu la Kiislamu nchini Algeria amesema kuwa, makundi ya Kisalafi ndicho chanzo cha uharibifu wa kifikra katika nchi za Kiislamu ikiwemo Algeria.
-
Jumapili, Aprili 22, 2018
Apr 22, 2018 04:12Leo ni Jumapili tarehe tano Sha'abn 1439, Hijria sawa na tarehe 22 Aprili, 2018, Miladia.
-
Watu 257 wapoteza maisha katika ajali ya ndege nchini Algeria + Video
Apr 11, 2018 13:48Televisheni ya serikali ya Algeria imetangaza kuwa, watu wasiopungua 257 wamepoteza maisha baada ya ndege ya kijeshi kuanguka katika uwanja wa ndege wa Boufarik, nje ya mji mkuu wa nchi hiyo, Algiers.