Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Rais wa Algeria ajitokeza hadharani baada ya miaka mingi

    Rais wa Algeria ajitokeza hadharani baada ya miaka mingi

    Apr 10, 2018 16:37

    Rais Abdelazizi Bouteflika wa Algeria amejitokeza hadharani baada ya miaka mingi kutoonekana kadamnasi kutokana na hali yake mbaya ya kiafya.

  • Mwanasiasa mkubwa wa Algeria: Ni haki ya Wayemen kuwashambulia wavamizi kwa makombora

    Mwanasiasa mkubwa wa Algeria: Ni haki ya Wayemen kuwashambulia wavamizi kwa makombora

    Mar 31, 2018 07:20

    Louisa Hanoune, mwanasiasa mkongwe na Katibu Mkuu wa Chama cha Leba nchini Algeria sambamba na kulaani mashambulizi ya muungano vamizi wa Wasaudia nchini Yemen na mauaji makubwa yanayofanywa na wavamizi hao dhidi ya raia wa taifa hilo masikini, amesema kuwa ni haki ya Wayemen kujibu hujuma hizo kwa kutumia makombora yao.

  • Algeria imewarejesha nyumbani wahajiri elfu 27 wa Kiafrika

    Algeria imewarejesha nyumbani wahajiri elfu 27 wa Kiafrika

    Mar 23, 2018 07:19

    Serikali ya Algeria imewarejesha katika nchi zao makumi ya maelfu ya wahajiri wa Kiafrika waliokuwa wamemiminika katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Jumapili 18 Mach

    Jumapili 18 Mach

    Mar 18, 2018 02:35

    Leo ni Jumapili tarehe 29 Jamadi th-Thani 1439 Hijiria, mwafaka na tarehe 18 Machi 2018, Miladia.

  • Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika atembelea Algeria

    Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika atembelea Algeria

    Mar 11, 2018 16:20

    Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika yuko Algiers, mji mkuu wa Algeria kwa ajili ya kufanya mazungumzo na viongozi wa nchi hiyo kuhusu masuala ya bara la Afrika.

  • Morocco kuimarisha ulinzi mipakani kukabiliana na magendo ya binadamu na ugaidi

    Morocco kuimarisha ulinzi mipakani kukabiliana na magendo ya binadamu na ugaidi

    Feb 18, 2018 15:56

    Vyombo vya habari vya nchini Morocco vimetangaza kuwa, Rabat ina nia ya kuanzisha vituo 10 vipya vya kusimamia na kudhibiti maeneo ya mpakani mwa nchi hiyo na Algeria.

  • Ijumaa tarehe 9 Februari, 2018

    Ijumaa tarehe 9 Februari, 2018

    Feb 09, 2018 02:41

    Leo ni Ijumaa tarehe 22 Jamadil Awwal 1439 Hijria sawa na Februari 9, 2018.

  • Algeria yatahadharisha kuhusu kurejea magaidi barani Afrika

    Algeria yatahadharisha kuhusu kurejea magaidi barani Afrika

    Jan 29, 2018 13:46

    Waziri Mkuu wa Algeria ametahadharisha kuhusiana na hatari ya kurejea barani Afrika wanachama wa makundi ya kigaidi wakiwemo wa kundi la wakufurishaji la Daesh.

  • Israel ndiyo sababu kuu ya kujitenga Sudan Kusini

    Israel ndiyo sababu kuu ya kujitenga Sudan Kusini

    Jan 24, 2018 04:36

    Balozi wa Sudan nchini Algeria amesema kuwa utawala ghasibu wa Israel ndiyo sababu kuu ya kujitenga Sudan Kusini na ardhi ya Sudan.

  • Rais wa Iran alaani matamshi ya Rais wa Marekani dhidi ya watu wa Afrika

    Rais wa Iran alaani matamshi ya Rais wa Marekani dhidi ya watu wa Afrika

    Jan 16, 2018 14:33

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali maneno ya matusi ambayo Rais Donald Trump wa Marekani aliyatumia dhidi ya mataifa ya Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS