-
Rais wa Algeria ajitokeza hadharani baada ya miaka mingi
Apr 10, 2018 16:37Rais Abdelazizi Bouteflika wa Algeria amejitokeza hadharani baada ya miaka mingi kutoonekana kadamnasi kutokana na hali yake mbaya ya kiafya.
-
Mwanasiasa mkubwa wa Algeria: Ni haki ya Wayemen kuwashambulia wavamizi kwa makombora
Mar 31, 2018 07:20Louisa Hanoune, mwanasiasa mkongwe na Katibu Mkuu wa Chama cha Leba nchini Algeria sambamba na kulaani mashambulizi ya muungano vamizi wa Wasaudia nchini Yemen na mauaji makubwa yanayofanywa na wavamizi hao dhidi ya raia wa taifa hilo masikini, amesema kuwa ni haki ya Wayemen kujibu hujuma hizo kwa kutumia makombora yao.
-
Algeria imewarejesha nyumbani wahajiri elfu 27 wa Kiafrika
Mar 23, 2018 07:19Serikali ya Algeria imewarejesha katika nchi zao makumi ya maelfu ya wahajiri wa Kiafrika waliokuwa wamemiminika katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Jumapili 18 Mach
Mar 18, 2018 02:35Leo ni Jumapili tarehe 29 Jamadi th-Thani 1439 Hijiria, mwafaka na tarehe 18 Machi 2018, Miladia.
-
Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika atembelea Algeria
Mar 11, 2018 16:20Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika yuko Algiers, mji mkuu wa Algeria kwa ajili ya kufanya mazungumzo na viongozi wa nchi hiyo kuhusu masuala ya bara la Afrika.
-
Morocco kuimarisha ulinzi mipakani kukabiliana na magendo ya binadamu na ugaidi
Feb 18, 2018 15:56Vyombo vya habari vya nchini Morocco vimetangaza kuwa, Rabat ina nia ya kuanzisha vituo 10 vipya vya kusimamia na kudhibiti maeneo ya mpakani mwa nchi hiyo na Algeria.
-
Ijumaa tarehe 9 Februari, 2018
Feb 09, 2018 02:41Leo ni Ijumaa tarehe 22 Jamadil Awwal 1439 Hijria sawa na Februari 9, 2018.
-
Algeria yatahadharisha kuhusu kurejea magaidi barani Afrika
Jan 29, 2018 13:46Waziri Mkuu wa Algeria ametahadharisha kuhusiana na hatari ya kurejea barani Afrika wanachama wa makundi ya kigaidi wakiwemo wa kundi la wakufurishaji la Daesh.
-
Israel ndiyo sababu kuu ya kujitenga Sudan Kusini
Jan 24, 2018 04:36Balozi wa Sudan nchini Algeria amesema kuwa utawala ghasibu wa Israel ndiyo sababu kuu ya kujitenga Sudan Kusini na ardhi ya Sudan.
-
Rais wa Iran alaani matamshi ya Rais wa Marekani dhidi ya watu wa Afrika
Jan 16, 2018 14:33Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali maneno ya matusi ambayo Rais Donald Trump wa Marekani aliyatumia dhidi ya mataifa ya Afrika.