Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ansarullah

  • Dakta Zarif akutana na Naibu Sultani wa Oman na msemaji wa Ansarullah Muscat

    Dakta Zarif akutana na Naibu Sultani wa Oman na msemaji wa Ansarullah Muscat

    Dec 25, 2019 02:55

    Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Mohammad Abdul Salam, msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen nchini Oman.

  • Harakati ya Answarullah ya Yemen: Marekani ndio inazuia kusimamishwa vita

    Harakati ya Answarullah ya Yemen: Marekani ndio inazuia kusimamishwa vita

    Dec 15, 2019 01:13

    Mohammed Ali al-Houthi, Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi nchini Yemen ameitaja Marekani kuwa ndio kizuizi kikuu cha kutosimamishwa uvamizi na mzingiro dhidi ya taifa hilo la Kiarabu.

  • Harakati ya Ansarullah yakaribisha kuondoka wanajeshi wa Sudan huko Yemen

    Harakati ya Ansarullah yakaribisha kuondoka wanajeshi wa Sudan huko Yemen

    Dec 09, 2019 02:38

    Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen ameunga mkono uamuzi wa Waziri Mkuu wa Sudan wa kuondoa wanajeshi wa nchi hiyo walioko Yemen.

  • Yemen yaikosoa China kwa kuwa na msimamo wa undumilakuwili kuhusiana na nchi hiyo

    Yemen yaikosoa China kwa kuwa na msimamo wa undumilakuwili kuhusiana na nchi hiyo

    Dec 01, 2019 13:01

    Mwenyekiti wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen ameikosoa China kwa kuwa na msimamo unaogongana na wa undumilakuwili kuhusiana na nchi hiyo, baada ya ndege moja isiyo na rubani iliyotengezwa China kutunguliwa kaskazini magharibi mwa Yemen.

  • Yemen: Saudia inafanya juhudi za kuanzisha mawasiliano na Answarullah

    Yemen: Saudia inafanya juhudi za kuanzisha mawasiliano na Answarullah

    Nov 07, 2019 12:50

    Mshauri wa Baraza Kuu la Kisiasa nchini Yemen anayehusika na masuala ya kidiplomasia ameelezea juhudi zinazofanywa na Saudia kwa ajili ya kuanzisha uhusiano na harakati ya wananchi ya Answarullah ya nchi hiyo.

  • Ansarullah: Chaguo la kijeshi haliwezi kuleta amani Yemen na katika eneo

    Ansarullah: Chaguo la kijeshi haliwezi kuleta amani Yemen na katika eneo

    Oct 29, 2019 07:21

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameonya kuhusu uvamizi na mashambulizi yanayofanywa na muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo na kusisitiza kuwa, chaguo la kijeshi katu haliwezi kurejesha amani nchini Yemen na katika eneo.

  • Ansarullah yaonya askari wa Marekani walioko Saudia; jifunzeni kwa Vietnam

    Ansarullah yaonya askari wa Marekani walioko Saudia; jifunzeni kwa Vietnam

    Oct 13, 2019 08:02

    Mwenyekiti wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen, Muhammad Ali al-Houthi ameitaka Marekani ijifunze kutokana na vita vilivyojiri huko Vietnam kuanzia mwaka 1954-1975 na kuisababisha Marekani maafa na hasara kubwa.

  • Harakati ya Ansarullah yawaachia huru mateka 350 wa vita vya Yemen

    Harakati ya Ansarullah yawaachia huru mateka 350 wa vita vya Yemen

    Sep 30, 2019 12:54

    Kamati ya mateka ya harakati ya Ansarullah ya Yemen imetangaza kuwa, harakati hiyo imewaachia huru mateka 350 wakiwemo mateka watatu raia wa Saudi Arabia ikiwa ni katika kutekeleza makubaliano ya amani ya Stockholm.

  • Nchi nane za dunia zaunga mkono tangazo la usitishaji vita la Answarullah ya Yemen

    Nchi nane za dunia zaunga mkono tangazo la usitishaji vita la Answarullah ya Yemen

    Sep 28, 2019 08:04

    Wajumbe wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa pamoja na Ujerumani, Kuwait na Sweden, zimeunga mkono tangazo la usitishaji vita la Harakati ya Kiislamu ya Answarullah nchini Yemen.

  • Ansarullah: Mashambulizi yajayo dhidi ya Saudia yatakuwa makali zaidi

    Ansarullah: Mashambulizi yajayo dhidi ya Saudia yatakuwa makali zaidi

    Sep 22, 2019 07:38

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imeapa kutoa majibu makali zaidi na yanayoumiza dhidi ya Saudi Arabia iwapo muungano vamizi unaoongozwa na utawala wa Aal-Saud hautasitisha uvamizi wake, mzingiro na mauaji dhidi ya wananchi wa Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS