-
Dakta Zarif akutana na Naibu Sultani wa Oman na msemaji wa Ansarullah Muscat
Dec 25, 2019 02:55Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Mohammad Abdul Salam, msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen nchini Oman.
-
Harakati ya Answarullah ya Yemen: Marekani ndio inazuia kusimamishwa vita
Dec 15, 2019 01:13Mohammed Ali al-Houthi, Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi nchini Yemen ameitaja Marekani kuwa ndio kizuizi kikuu cha kutosimamishwa uvamizi na mzingiro dhidi ya taifa hilo la Kiarabu.
-
Harakati ya Ansarullah yakaribisha kuondoka wanajeshi wa Sudan huko Yemen
Dec 09, 2019 02:38Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen ameunga mkono uamuzi wa Waziri Mkuu wa Sudan wa kuondoa wanajeshi wa nchi hiyo walioko Yemen.
-
Yemen yaikosoa China kwa kuwa na msimamo wa undumilakuwili kuhusiana na nchi hiyo
Dec 01, 2019 13:01Mwenyekiti wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen ameikosoa China kwa kuwa na msimamo unaogongana na wa undumilakuwili kuhusiana na nchi hiyo, baada ya ndege moja isiyo na rubani iliyotengezwa China kutunguliwa kaskazini magharibi mwa Yemen.
-
Yemen: Saudia inafanya juhudi za kuanzisha mawasiliano na Answarullah
Nov 07, 2019 12:50Mshauri wa Baraza Kuu la Kisiasa nchini Yemen anayehusika na masuala ya kidiplomasia ameelezea juhudi zinazofanywa na Saudia kwa ajili ya kuanzisha uhusiano na harakati ya wananchi ya Answarullah ya nchi hiyo.
-
Ansarullah: Chaguo la kijeshi haliwezi kuleta amani Yemen na katika eneo
Oct 29, 2019 07:21Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameonya kuhusu uvamizi na mashambulizi yanayofanywa na muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo na kusisitiza kuwa, chaguo la kijeshi katu haliwezi kurejesha amani nchini Yemen na katika eneo.
-
Ansarullah yaonya askari wa Marekani walioko Saudia; jifunzeni kwa Vietnam
Oct 13, 2019 08:02Mwenyekiti wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen, Muhammad Ali al-Houthi ameitaka Marekani ijifunze kutokana na vita vilivyojiri huko Vietnam kuanzia mwaka 1954-1975 na kuisababisha Marekani maafa na hasara kubwa.
-
Harakati ya Ansarullah yawaachia huru mateka 350 wa vita vya Yemen
Sep 30, 2019 12:54Kamati ya mateka ya harakati ya Ansarullah ya Yemen imetangaza kuwa, harakati hiyo imewaachia huru mateka 350 wakiwemo mateka watatu raia wa Saudi Arabia ikiwa ni katika kutekeleza makubaliano ya amani ya Stockholm.
-
Nchi nane za dunia zaunga mkono tangazo la usitishaji vita la Answarullah ya Yemen
Sep 28, 2019 08:04Wajumbe wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa pamoja na Ujerumani, Kuwait na Sweden, zimeunga mkono tangazo la usitishaji vita la Harakati ya Kiislamu ya Answarullah nchini Yemen.
-
Ansarullah: Mashambulizi yajayo dhidi ya Saudia yatakuwa makali zaidi
Sep 22, 2019 07:38Harakati ya Ansarullah ya Yemen imeapa kutoa majibu makali zaidi na yanayoumiza dhidi ya Saudi Arabia iwapo muungano vamizi unaoongozwa na utawala wa Aal-Saud hautasitisha uvamizi wake, mzingiro na mauaji dhidi ya wananchi wa Yemen.