Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ansarullah

  • Abdul-Salam: Damu ya wananchi wa Yemen ni 'nzito' kuliko mafuta ya Saudi Arabia

    Abdul-Salam: Damu ya wananchi wa Yemen ni 'nzito' kuliko mafuta ya Saudi Arabia

    Sep 18, 2019 07:49

    Msemaji wa Harakati ya Wananchi wa Yemen ya Ansarullah ameitaka jamii ya kimataifa kulaani jinai za Saudia Arabia huko Yemen badala ya kuwalaumu Wayameni kwani damu za wananchi hao ni nzito na zenye thamani zaidi kuliko mafuta ya Saudia.

  • Answarullah: Ndege zisizo na rubani zinazoishambulia Saudia, zinatengenezwa Yemen

    Answarullah: Ndege zisizo na rubani zinazoishambulia Saudia, zinatengenezwa Yemen

    Sep 16, 2019 07:26

    Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa wa Harakati ya Wananchi ya Answarullah nchini Yemen, amesema kuwa ndege zisizo na rubani za jeshi la nchi hiyo, zinatengenezwa na Wayemen ndani ya ardhi ya nchi hiyo.

  • Moto wa Ansarullah waiteketeza ARAMCO; Saudia yatafuta njia ya kujigandua kwenye urimbo wa kinamasi cha  Yemen

    Moto wa Ansarullah waiteketeza ARAMCO; Saudia yatafuta njia ya kujigandua kwenye urimbo wa kinamasi cha Yemen

    Sep 15, 2019 07:43

    Vituo vya mafuta vya shirika la mafuta la Aramco katika viwanda vya kusafisha mafuta vya Abqaiq na Khurais vilivyoko mashariki ya Saudi Arabia vimeteketezwa na moto mkubwa. Wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudia imetangaza kuwa chanzo cha moto huo ni shambulio lililofanywa na ndege zisizo na rubani za droni.

  • Drone za Yemen zashambulia vituo vya mafuta vya shirika la Aramco la Saudia

    Drone za Yemen zashambulia vituo vya mafuta vya shirika la Aramco la Saudia

    Sep 14, 2019 11:31

    Ndege zisizo na rubani za harakati ya Ansarullah ya Yemen zimeshambulia kampuni mbili za shirika kubwa zaidi la mafuta la Saudi Arabia, Aramco.

  • Ubunifu wa Ansarullah wa kuunda jopokazi la mapatano jumuishi ya kitaifa

    Ubunifu wa Ansarullah wa kuunda jopokazi la mapatano jumuishi ya kitaifa

    Aug 30, 2019 03:38

    Mahdi al-Mashat, Mkuu wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen ametangaza kuwa, limeundwa jopokazi linalojumuisha shakhsia 20 wa nchi hiyo kwa madhumuni ya kuleta mapatano jumuishi ya kitaifa na kutatua kisiasa mgogoro unaoendelea nchini humo.

  • Al Mashat: Umoja wa Mataifa una nafasi katika vikwazo vya chakula dhidi ya taifa la Yemen

    Al Mashat: Umoja wa Mataifa una nafasi katika vikwazo vya chakula dhidi ya taifa la Yemen

    Aug 22, 2019 05:34

    Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amesema kuwa, Umoja wa Mataifa unachangia katika vikwazo vya kuingizwa chakula nchini Yemen kutokana na hatua yake ya kufungamanisha masuala ya kiuchumi ya nchi hiyo na kukaliwa kwa mabavu mji wa Aden.

  • Kiongozi wa Mapinduzi: Inalazimu kusimama na kukabiliana kwa nguvu zote na njama ya Saudia na Imarati ya kuigawanya Yemen

    Kiongozi wa Mapinduzi: Inalazimu kusimama na kukabiliana kwa nguvu zote na njama ya Saudia na Imarati ya kuigawanya Yemen

    Aug 13, 2019 17:14

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, Saudi Arabia na Imarati zinataka kuigawanya Yemen; na akasisitiza kwamba: Inalazimu kusimama na kukabiliana kwa nguvu zote na njama hiyo na kuunga mkono Yemen moja, iliyoungana na yenye ardhi yake yote kamili.

  • Viongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na Answarullah ya Yemen wakutana Beirut

    Viongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na Answarullah ya Yemen wakutana Beirut

    Jul 11, 2019 04:35

    Viongozi kadhaa wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na Answarullah ya Yemen wamekutana mjini Beirut, ambapo sambamba na kulaani kongamano la mjini Manama, Bahrain wamesisitizia umuhimu wa kudumishwa umoja na mshikamano wa Wapalestina kwa ajili ya kukabiliana na mradi huo wa Marekani na Israel.

  • Answarullah: Wasudan waondokane na ubeberu wa Saudia na Imarati

    Answarullah: Wasudan waondokane na ubeberu wa Saudia na Imarati

    Jul 10, 2019 02:35

    Mjumbe wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya Wananchi ya Answarullah nchini Yemen amesema kuwa, raia wa Sudan na nchi yao wanatakiwa kuwa huru mbele ya udhibiti wa vibaraka wa Saudia na Imarati.

  • Ansarullah: Mkutano wa Bahrain ni uhaini dhidi ya Wapalestina

    Ansarullah: Mkutano wa Bahrain ni uhaini dhidi ya Wapalestina

    Jun 28, 2019 15:01

    Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, mkutano wa Marekani uliofanyika siku chache zilizopita katika mji mkuu wa Bahrain, Manama kwa shabaha ya kuzindua Muamala wa Karne ni hujuma ya moja kwa moja na uhaini dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS