-
Abdul-Salam: Damu ya wananchi wa Yemen ni 'nzito' kuliko mafuta ya Saudi Arabia
Sep 18, 2019 07:49Msemaji wa Harakati ya Wananchi wa Yemen ya Ansarullah ameitaka jamii ya kimataifa kulaani jinai za Saudia Arabia huko Yemen badala ya kuwalaumu Wayameni kwani damu za wananchi hao ni nzito na zenye thamani zaidi kuliko mafuta ya Saudia.
-
Answarullah: Ndege zisizo na rubani zinazoishambulia Saudia, zinatengenezwa Yemen
Sep 16, 2019 07:26Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa wa Harakati ya Wananchi ya Answarullah nchini Yemen, amesema kuwa ndege zisizo na rubani za jeshi la nchi hiyo, zinatengenezwa na Wayemen ndani ya ardhi ya nchi hiyo.
-
Moto wa Ansarullah waiteketeza ARAMCO; Saudia yatafuta njia ya kujigandua kwenye urimbo wa kinamasi cha Yemen
Sep 15, 2019 07:43Vituo vya mafuta vya shirika la mafuta la Aramco katika viwanda vya kusafisha mafuta vya Abqaiq na Khurais vilivyoko mashariki ya Saudi Arabia vimeteketezwa na moto mkubwa. Wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudia imetangaza kuwa chanzo cha moto huo ni shambulio lililofanywa na ndege zisizo na rubani za droni.
-
Drone za Yemen zashambulia vituo vya mafuta vya shirika la Aramco la Saudia
Sep 14, 2019 11:31Ndege zisizo na rubani za harakati ya Ansarullah ya Yemen zimeshambulia kampuni mbili za shirika kubwa zaidi la mafuta la Saudi Arabia, Aramco.
-
Ubunifu wa Ansarullah wa kuunda jopokazi la mapatano jumuishi ya kitaifa
Aug 30, 2019 03:38Mahdi al-Mashat, Mkuu wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen ametangaza kuwa, limeundwa jopokazi linalojumuisha shakhsia 20 wa nchi hiyo kwa madhumuni ya kuleta mapatano jumuishi ya kitaifa na kutatua kisiasa mgogoro unaoendelea nchini humo.
-
Al Mashat: Umoja wa Mataifa una nafasi katika vikwazo vya chakula dhidi ya taifa la Yemen
Aug 22, 2019 05:34Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amesema kuwa, Umoja wa Mataifa unachangia katika vikwazo vya kuingizwa chakula nchini Yemen kutokana na hatua yake ya kufungamanisha masuala ya kiuchumi ya nchi hiyo na kukaliwa kwa mabavu mji wa Aden.
-
Kiongozi wa Mapinduzi: Inalazimu kusimama na kukabiliana kwa nguvu zote na njama ya Saudia na Imarati ya kuigawanya Yemen
Aug 13, 2019 17:14Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, Saudi Arabia na Imarati zinataka kuigawanya Yemen; na akasisitiza kwamba: Inalazimu kusimama na kukabiliana kwa nguvu zote na njama hiyo na kuunga mkono Yemen moja, iliyoungana na yenye ardhi yake yote kamili.
-
Viongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na Answarullah ya Yemen wakutana Beirut
Jul 11, 2019 04:35Viongozi kadhaa wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na Answarullah ya Yemen wamekutana mjini Beirut, ambapo sambamba na kulaani kongamano la mjini Manama, Bahrain wamesisitizia umuhimu wa kudumishwa umoja na mshikamano wa Wapalestina kwa ajili ya kukabiliana na mradi huo wa Marekani na Israel.
-
Answarullah: Wasudan waondokane na ubeberu wa Saudia na Imarati
Jul 10, 2019 02:35Mjumbe wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya Wananchi ya Answarullah nchini Yemen amesema kuwa, raia wa Sudan na nchi yao wanatakiwa kuwa huru mbele ya udhibiti wa vibaraka wa Saudia na Imarati.
-
Ansarullah: Mkutano wa Bahrain ni uhaini dhidi ya Wapalestina
Jun 28, 2019 15:01Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, mkutano wa Marekani uliofanyika siku chache zilizopita katika mji mkuu wa Bahrain, Manama kwa shabaha ya kuzindua Muamala wa Karne ni hujuma ya moja kwa moja na uhaini dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina.