• Washiriki wa Matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein AS watoa ujumbe kwa walimwengu

    Washiriki wa Matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein AS watoa ujumbe kwa walimwengu

    Nov 19, 2016 15:47

    Mamilioni ya watu wanashiriki katika matembezi ya kumbukumbu ya Siku ya Arubaini ya Imam Hussein AS ambapo pia wanatia saini waraka wenye ujumbe unaofafanua kuhusu mjumuiko huu mkubwa zaidi duniani.

  • Arubaini Katika Maneno ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu (5)

    Arubaini Katika Maneno ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu (5)

    Nov 17, 2016 10:13

    Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Karibuni wapenzi wasikilizaji katika kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa Arubaini ya Imam Hussein (AS) ambapo leo tutazungumzia kauli na maneno ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran Ayatullah Sayyid Ali Khamenei kuhusu tukio hilo adhimu. Endeleeni kuwa nami hadi mwisho wa kipindi kusikiliza niliyokuandalieni.

  • Arubaini, Safari ya Nyoyo za Maashiki (1)

    Arubaini, Safari ya Nyoyo za Maashiki (1)

    Nov 15, 2016 12:16

    Kwa kawaida safari ya kutembea kwa miguu kutoka mji wa Najaf al Ashraf kuelea Karbala inayofanywa kila mwaka na maashiki na wapenzi wa mjukuu wa Mtume (saw), Imam Hussein (as) huambatana na vuguvugu na msisimko wa aina yake. Mwanzoni mwa safari hiyo mazuwari huanza safari hiyo ya mahaba na upendo katika mji wa Najaf wakiwa na shanta dogo, viatu vyepesi na masurufu kiduchu ya kutumia njiani.

  • Arubaini, Mjumbe wa Umoja wa Kiislamu Duniani (4)

    Arubaini, Mjumbe wa Umoja wa Kiislamu Duniani (4)

    Nov 15, 2016 07:13

    Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Karibuni katika makala hii maalumu tuliyokuandalieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya Arubaini ya Imam Husain AS. Ni mfululizo wa makala maalumu ambazo zinakujieni katika kipindi cha siku hizi kadhaa za kuelekea kwenye kilele cha kumbukumbu hizo zinazofanyika Karbala nchini Iraq ambapo kwa mwaka huu itakuwa ni Jumatatu ya tarehe 21 Novemba kulingana na mwandamo wa mwezi nchini Iraq. Karibuni.

  • Arubaini, Kuenea Utamaduni wa Ashura (2)

    Arubaini, Kuenea Utamaduni wa Ashura (2)

    Nov 14, 2016 07:46

    Assalaamu alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nasi tena katika sehemu nyingine ya mfululizo wa makala hizi zinazokujieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya Arubaini ya Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib as.

  • Arubaini ya Sheikh Nimr yaadhimishwa kwa maandamano

    Arubaini ya Sheikh Nimr yaadhimishwa kwa maandamano

    Feb 12, 2016 08:16

    Arubaini ya Sheikh Nimr Baqir al-Nimr, mwanachuoni wa Kiislamu aliyeuawa shahidi na utawala wa Aal-Saud imeadhimishwa kwa maandamano ya maelfu ya watu nchini Saudi Arabia na Bahrain.