Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

corona

  • Rais Macron ashambuliwa kwa kutilia shaka chanjo ya corona

    Rais Macron ashambuliwa kwa kutilia shaka chanjo ya corona

    Jan 30, 2021 07:59

    Wabunge wahafidhina na wanasayansi wa Ulaya wamemjia juu Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kwa kusema kuwa chanjo ya kukabiliana na corona ya shirika la AstraZeneca la Uingereza 'haifanyi kazi' kama ilivyotarajiwa.

  • Rouhani: Iran kuanza kutoa chanjo ya Covid-19 ndani ya siku chache zijazo

    Rouhani: Iran kuanza kutoa chanjo ya Covid-19 ndani ya siku chache zijazo

    Jan 23, 2021 12:12

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itaanza kutoa chanjo ya kukabiliana na ugonjwa wa Covid-19 hapa nchini katika kipindi cha siku chache zijazo.

  • Corona yaua waziri wa tatu ndani ya wiki moja nchini Zimbabwe

    Corona yaua waziri wa tatu ndani ya wiki moja nchini Zimbabwe

    Jan 23, 2021 11:44

    Joel Matiza, Waziri wa Uchukuzi na Ustawi wa Miundombinu wa Zimbabwe ameaga dunia kutokana na ugonjwa wa Covid-19, na hivyo kuwa waziri wa tatu kuaga dunia kwa maradhi hayo katika kipindi cha siku saba.

  • Uchunguzi na karantini ya haraka, silaha bora ya kuikabili corona ya Uingereza

    Uchunguzi na karantini ya haraka, silaha bora ya kuikabili corona ya Uingereza

    Jan 17, 2021 13:23

    Katibu wa Tume ya Kielimu ya Kamati ya Kupambana na Corona nchini Iran amesema kuwa, inawezekana kuzuia maambukizo ya corona ya Uingereza kwa kutumia vizuri uwezo wa mashirika ya Iran yanayozalisha vifaa vya kupimia COVID-19 pamoja na kuwaweka karantini haraka wanaopatikana na ugonjwa huo.

  • Bara la Afrika kuagiza dozi milioni 300 za COVID-19, maambukizi yaongezeka

    Bara la Afrika kuagiza dozi milioni 300 za COVID-19, maambukizi yaongezeka

    Jan 13, 2021 14:35

    Umoja wa Afrika umeazimia kuagiza dozi milioni 300 za chanjo ya COVID-19 , huku maambukizi ya ugonjwa huo yakiongezeka barani humo.

  • Rouhani: Wananchi wa Iran hawawi wenzo wa kufanyia majaribio ya chanjo za nchi za kigeni

    Rouhani: Wananchi wa Iran hawawi wenzo wa kufanyia majaribio ya chanjo za nchi za kigeni

    Jan 09, 2021 13:01

    Rais Hassan Rouhani amesema, wananchi wa Iran hawatakuwa wenzo wa kufanyia majaribio chanjo za nchi za kigeni.

  • Corona yapamba moto tena Uingereza

    Corona yapamba moto tena Uingereza

    Jan 07, 2021 07:13

    Maafisa wa serikali ya Uingereza wametoa takwimu mpya zinazoonyesha kuwa zaidi ya watu elfu moja wameaga dunia kutokana na virusi vya corona katika siku 28 za hivi karibuni.

  • Amnesty yataka Israel ihakikishe chanjo za corona zinawafikia Wapalestina

    Amnesty yataka Israel ihakikishe chanjo za corona zinawafikia Wapalestina

    Jan 07, 2021 02:36

    Shirika la Msamaha Duniani (Amnesty International) limeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel utekeleze wajibu wake wa kimataifa na kuhakikisha kuwa chanjo za kupambana na ugonjwa wa Covid-19 zinawafikia wananchi wa Palestina.

  • Muuguzi aaga dunia siku 2 baada ya kupewa chanjo ya Covid-19 Ureno

    Muuguzi aaga dunia siku 2 baada ya kupewa chanjo ya Covid-19 Ureno

    Jan 06, 2021 04:42

    Maafisa wa afya nchini Ureno wanachunguza kisa cha kufariki dunia ghafla muuguzi mmoja, saa 48 baada ya kupigwa chanjo ya kumkinga dhidi ya virusi vya corona.

  • Mateka 15 Wapalestina walioko kwenye gereza la Israel la An-Naqb wameambukizwa corona

    Mateka 15 Wapalestina walioko kwenye gereza la Israel la An-Naqb wameambukizwa corona

    Jan 03, 2021 02:53

    Ofisi ya habari inayoshughulikia masuala ya mateka Wapalestina imetangaza kuwa mateka 15 Wapalestina wanaoshikiliwa kwenye jela ya Kizayuni ya An-Naqb wameambukizwa virusi vya corona.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS