Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

corona

  • Fauci: Marekani itaendelea kusumbuliwa na corona hadi msimu wa vuli

    Fauci: Marekani itaendelea kusumbuliwa na corona hadi msimu wa vuli

    Jan 01, 2021 13:19

    Mkurugenzi wa Taasisi ya Taifa ya Mzio na Magonjwa ya Kuambukiza ya Marekani (NIAID) ametangaza kuwa, nchi hiyo itaendelea kusumbuliwa na virusi vya corona hadi msimu wa vuli wa mwaka huu mpya wa 2021.

  • Raisi: Chanjo ya corona ya Iran hadi sasa haijaonesha athari yoyote hasi + Video

    Raisi: Chanjo ya corona ya Iran hadi sasa haijaonesha athari yoyote hasi + Video

    Dec 30, 2020 15:55

    Naibu Waziri wa Afya na Mafunzo ya Tiba wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hadi hivi sasa hakuna athari zozote hasi zilizooneshwa na watu waliofanyiwa majaribio hayo, licha ya kupita zaidi ya masaa 24 ya tangu kudungwa chanjo hiyo.

  • Watu 340,000 wamepoteza maisha kutokana na corona Marekani

    Watu 340,000 wamepoteza maisha kutokana na corona Marekani

    Dec 27, 2020 15:25

    Takwimu zinaoneysha kuwa watu karibu milioni 19 na nusu wameambukizwa COVID-19 au corona nchini Marekani huku wengine zaidi ya 339,992 wakipoteza maisha kutokana na ugonjwa huo.

  • Watu wengine 134 waaga dunia kwa Covod-19 nchini Iran

    Watu wengine 134 waaga dunia kwa Covod-19 nchini Iran

    Dec 26, 2020 14:31

    Msemaji wa Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu ya Iran amesema kuwa, watu wengine zaidi ya elfu 5 wameambukizwa virusi vya corona na wengine 134 wamefariki dunia kwa Covid-19 katika kipindi cha saa 24 zilizopita.

  • Kongo DR yatangaza masharti mapya ya kudhibiti msambao wa corona

    Kongo DR yatangaza masharti mapya ya kudhibiti msambao wa corona

    Dec 17, 2020 04:40

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza maagizo mapya kadhaa ya kudhibiti kuenea kwa ugonjwa wa Covid-19, huku idadi ya kesi za maambukizo ya virusi vya corona ikiongezeka.

  • Ghanei: Iran ina uwezo wa utafiti wa kisayansi na kitiba  wa kiwango cha juu katika eneo

    Ghanei: Iran ina uwezo wa utafiti wa kisayansi na kitiba wa kiwango cha juu katika eneo

    Nov 26, 2020 07:55

    Mkuu wa Kamati ya Kielimu ya Idara ya Kitaifa ya Kupambana na Virusi vya Corona nchini Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina uwezo wa kiutafiti wa kiwango cha juu katika uwanja wa sayansi na tiba khususan baina ya nchi za eneo.

  • Watu wengine 431 wameaga dunia kwa corona nchini Iran

    Watu wengine 431 wameaga dunia kwa corona nchini Iran

    Nov 21, 2020 12:12

    Msemaji wa Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu ya Iran amesema kuwa, watu wengine zaidi ya elfu 12 wameambukizwa virusi vya corona na wengine 431 wamefariki dunia katika kipindi cha saa 24 zilizopita.

  • Takwimu za AU: Kesi za corona barani Afrika zapindukia milioni mbili

    Takwimu za AU: Kesi za corona barani Afrika zapindukia milioni mbili

    Nov 19, 2020 11:21

    Vituo vya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Barani Afrika leo vimeripoti kuwa, kesi za maambukizi ya corona barani humo zimepindukia milioni mbili licha ya kuwepo ongezeko dogo la maambukizi yanayoripotiwa ikilinganishwa na mabara mengine duniani.

  • Naibu Waziri wa Afya: Chanjo ya corona ya Iran iko kwenye awamu ya utengenezaji

    Naibu Waziri wa Afya: Chanjo ya corona ya Iran iko kwenye awamu ya utengenezaji

    Nov 13, 2020 08:04

    Naibu Waziri wa Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu wa Iran anayehusika na teknolojia na utafiti amesema, chanjo ya ugonjwa wa Covid-19 iliyobuniwa hapa nchini iko kwenye awamu ya utengenezaji.

  • Utafiti: 20% ya wagonjwa wa corona wanapatwa na matatizo ya akili

    Utafiti: 20% ya wagonjwa wa corona wanapatwa na matatizo ya akili

    Nov 10, 2020 07:18

    Utafiti mpya unaonyesha kuwa, mgonjwa mmoja kati ya watano wa maradhi ya Covid-19 anakumbwa na magonjwa ya kisaikolojia, ndani ya miezi mitatu baada ya kugundulika kuwa ameambukizwa ugonjwa huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS