Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

corona

  • Afrika CDC: Janga la Corona bado ni tishio kwa bara la Afrika

    Afrika CDC: Janga la Corona bado ni tishio kwa bara la Afrika

    Sep 16, 2022 04:00

    Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Afrika (Africa CDC) amesema ugonjwa wa COVID-19 bado ni tishio kwa nchi za Afrika, kwa kuzingatia idadi ndogo ya watu waliopiga chanjo za kukabiliana na maradhi hayo barani humo.

  • WHO: Corona haijamalizika, nchi zichukue hatua madhubuti kukabiliana nayo

    WHO: Corona haijamalizika, nchi zichukue hatua madhubuti kukabiliana nayo

    Aug 19, 2022 10:57

    Shirika la Afya Duniani WHO limesema kuhusiana na msambao wa kirusi cha corona kuwa, usambaaji wa kirusi hicho haujamalizika na kwamba nchi duniani zinapaswa kuchukua hatua madhubuti za kukabiliana nacho.

  • Lancet: Yumkini virusi vya Covid-19 vilitokea katika maabara Marekani

    Lancet: Yumkini virusi vya Covid-19 vilitokea katika maabara Marekani

    Jul 02, 2022 03:00

    Jarida mashuhuri la masuala ya tiba na afya la The Lancet limesema virusi hatari vya Corona ambavyo vimeshaua mamilioni ya watu kote duniani vilizalishwa kwenye maabara, na wala havikuanza tu peke yake.

  • Rais wa Somalia apatwa na COVID-19 baada ya kuitembelea Imarati

    Rais wa Somalia apatwa na COVID-19 baada ya kuitembelea Imarati

    Jun 25, 2022 11:51

    Rais wa Somalia amesema amejiweka karantini baada ya kugundua kuwa ameambukizwa ugonjwa wa COVID-19.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani apata corona

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani apata corona

    May 05, 2022 06:47

    Matokeo ya vipimo vya corona yanaonyesha kuwa Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ameambukizwa maradhi ya Covid-19.

  • Watoto 270,000 wameambukizwa Corona ndani ya mwezi mmoja Marekani

    Watoto 270,000 wameambukizwa Corona ndani ya mwezi mmoja Marekani

    Mar 23, 2022 02:42

    Watoto 270,000 wameambukizwa virusi vya Corona nchini Marekani katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita.

  • Utafiti: Vifo vya Corona duniani ni mara tatu zaidi ya ilivyoripotiwa

    Utafiti: Vifo vya Corona duniani ni mara tatu zaidi ya ilivyoripotiwa

    Mar 11, 2022 08:05

    Utafiti mpya umefichua kuwa, vifo vilivyosababishwa na ugonjwa wa Covid-19 kote duniani ni mara tatu zaidi vifo vilivyoripotiwa rasmi.

  • Iran ni moja ya nchi zilizofanikiwa sana kupambana na corona

    Iran ni moja ya nchi zilizofanikiwa sana kupambana na corona

    Mar 05, 2022 07:36

    Waziri wa Afya wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ni moja ya nchi kumi zilizofanikiwa sana kupambana na janga la corona ulimwenguni na hayo yanaweza kuhesabiwa kuwa ni mafanikio makubwa.

  • WHO: Kesi za Corona Afrika ni mara saba zaidi ya ilivyoripotiwa

    WHO: Kesi za Corona Afrika ni mara saba zaidi ya ilivyoripotiwa

    Feb 11, 2022 02:31

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kesi za maambukizi ya virusi vya Corona barani Afrika ni mara saba zaidi ya kesi zilizoripotiwa rasmi kufikia sasa katika nchi za bara hilo.

  • Simba waambukizwa Corona na wahudumu wa mbuga Afrika Kusini

    Simba waambukizwa Corona na wahudumu wa mbuga Afrika Kusini

    Jan 20, 2022 04:26

    Wanasayansi wa Chuo Kikuu cha Pretoria nchini Afrika Kusini wamesema simba watatu na puma wawili waliopatikana na maambukizi ya virusi vya Corona waliambukizwa na wafanyakazi wa mbuga moja ya wanyamapori nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS