-
Brazil yaweka rekodi mpya ya vifo vya Corona, zaidi ya 4,000 waaga dunia
Apr 07, 2021 07:35Kwa mara ya kwanza tangu janga la Corona liikabili dunia mapema mwaka jana, zaidi ya watu 4,000 wamefariki dunia kwa ugonjwa wa Covid-19 nchini Brazil katika kipindi cha siku moja.
-
Rais wa Tanzania kuunda kamati ya Corona, ataka vyombo vya habari vifunguliwe
Apr 06, 2021 13:49Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema ataunda kamati ya wataalamu watakaochambua kwa kina ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya Corona na kuishauri Serikali hatua za kuchukua.
-
Iran yaipa Kenya msaada wa vifaa vya kupambana na Corona
Apr 03, 2021 02:46Kenya imepokea msaada wa suhula za matibabu na vifaa vya kukabiliana na ugonjwa wa Covid-19 kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Utafiti: Ni salama kufunga Saumu katika janga la Corona
Apr 03, 2021 02:43Utafiti mpya uliofanywa nchini Uingereza umebainisha kuwa, funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani ya mwaka jana 2020 haikusababisha kuongezeka idadi ya vifo vya ugonjwa wa Covid-19 miongoni mwa Waislamu nchini humo, kama ilivyodaiwa na baadhi ya viongozi na wanasiasa wahafidhina katika nchi hiyo ya Ulaya.
-
Utawala wa Aal Khalifa wapuuza maambukizi ya corona katika jela wanamoshikiliwa wanamapinduzi wa Bahrain
Mar 30, 2021 02:32Harakati ya Al Wifaq ya Bahrain imesema ina wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa kiwango cha maambukizi ya corona kwa wafungwa wanamapinduzi na jinsi utawala wa nchi hiyo wa Aal Khalifa unavyolipuuza suala hilo.
-
WHO: Kunahitajika ushirikiano wa nchi mbalimbali ili kutokomeza corona
Mar 25, 2021 07:57Afisa wa ngazi ya juu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ametoa wito kwa nchi mbalimbali kutekeleza juhudi na ushirikiano wa pamoja katika mapambano dhidi ya corona.
-
Wazungu wazidi kukatishwa tamaa na chanjo wa corona ya Uingereza
Mar 24, 2021 07:04Matokeo ya uchunguzi wa hivi karibuni wa maoni yanaonesha kuwa, idadi kubwa ya Wazungu wa Ulaya hawana imani na wamekatishwa tamaa na chanjo ya corona ya Uingereza ijulikanayo kwa jina la AstraZeneca.
-
Maandamano ya kupinga kufungwa nchi yafanyika katika nchi za Ulaya
Mar 21, 2021 07:40Maafisa wa polisi katika nchi kadhaa za Ulaya wamekosolewa kwa kutumia nguvu kupita kiasi kuzima maandamano ya wananchi wanaopinga maagizo mapya ya serikali za nchi hizo yaliyotangazwa kwa ajili kuzuia msambao wa wimbi la tatu la virusi vya Corona.
-
Somalia yazindua kampeni ya kitaifa ya utoaji chanjo ya Corona
Mar 17, 2021 04:40Rais Mohamed Abdullahi Farmaajo wa Somalia hapo jana alipokea chanjo ya Corona ya shirika la AstraZeneca la Uingereza, kuashiria kuanza kwa kampeni ya kitaifa ya utoaji wa chanjo ya Corona katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Spishi mpya ya kirusi cha corona yagunduliwa nchini Ufaransa
Mar 16, 2021 12:22Idara Kuu ya Afya na Tiba ya Ufaransa imetangaza kugunduliwa spishi mpya ya kirusi cha corona nchini humo.