Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

corona

  • Indhari kuhusu ubaguzi katika utoaji chanjo ya COVID-19 duniani

    Indhari kuhusu ubaguzi katika utoaji chanjo ya COVID-19 duniani

    Mar 16, 2021 02:37

    Ingawa kugunduliwa chanjo ya kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19 au corona ni jambo ambalo liliibua matumaini duniani kote, lakini ugavi usio wa kiudilifu wala usawa wa chanjo hiyo ni jambo ambalo limewakasirisha wengi na hata kuibua kelele katika baadhi ya nchi za Umoja wa Ulaya. Kuhusiana na nukta hiyo Kansela Sebastian Kurz wa Austira amesema hakuna uadilifu katika usambazwaji chanjo ya COVID-19 barani Ulaya.

  • Nchi 6 za Ulaya zisimamisha matumizi ya chanjo ya AstraZeneca

    Nchi 6 za Ulaya zisimamisha matumizi ya chanjo ya AstraZeneca

    Mar 12, 2021 02:41

    Denmark imekuwa nchi ya sita ya Ulaya kusimamisha matumizi ya chanjo ya kukabiliana na ugonjwa wa Covid-19 ya AstraZeneca kutokana na madhara yake kwa damu za watu waliopigwa chanjo hiyo.

  • Kenya yazindua kampeni ya kitaifa ya chanjo ya kupambana na corona

    Kenya yazindua kampeni ya kitaifa ya chanjo ya kupambana na corona

    Mar 05, 2021 12:24

    Kenya hii leo imezindua kampeni ya kitaifa ya chanjo ya kukabiliana na ugonjwa wa Covid-19, huku Patrick Amoth, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Afya akiwa Mkenya wa kwanza kuchanjwa katika ardhi ya nchi hiyo.

  • DRC: Chanjo milioni 1.7 za  Covid 19 za AstraZeneca zawasili nchini

    DRC: Chanjo milioni 1.7 za Covid 19 za AstraZeneca zawasili nchini

    Mar 03, 2021 08:10

    Zaidi ya dozi milioni moja na laki saba za chanjo ya Covid-19 zilizotengenezwa na Kampuni ya AstraZeneca jana Jumanne zilitua katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa N'djili huko Kinshasa mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kupitia mpango wa COVAX.

  • Iran yapokea dozi robo milioni za chanjo ya Corona kutoka China

    Iran yapokea dozi robo milioni za chanjo ya Corona kutoka China

    Feb 28, 2021 13:21

    Shehena ya kwanza ya dozi za chanjo ya kubaliana na ugonjwa wa Covid-19 kutoka China imewasili hapa nchini Iran leo Jumapili.

  • Wahanga nusu milioni wa virusi vya corona nchini Marekani, sababu na taathira zake

    Wahanga nusu milioni wa virusi vya corona nchini Marekani, sababu na taathira zake

    Feb 24, 2021 02:41

    Baada ya kupita mwaka mmoja sasa tangu kulipotokea mlipukowa ugonjwa wa Covid-19 nchini Marekani na kufeli kwa serikali ya nchi hiyo katika kukabiliana na janga hilo, sasa idadi ya wahanga wa corona imepindukia watu nusu milioni kwa kadiri kwamba, Rais Joe Biden amemuru bendera za nchi hiyo zipepee nusu mlingoti.

  • Mawaziri watatu wakumbwa na ugonjwa wa corona nchini Misri

    Mawaziri watatu wakumbwa na ugonjwa wa corona nchini Misri

    Feb 22, 2021 14:03

    Mawaziri watatu wa Misri yaani waziri wa biashara na viwanda, waziri wa mahakama na waziri wa fedha wamekumbwa na ugonjwa wa COVID-19.

  • Mkuu mpya wa WTO ataka usawa katika ugavi wa chanjo za Corona

    Mkuu mpya wa WTO ataka usawa katika ugavi wa chanjo za Corona

    Feb 16, 2021 07:59

    Mkuu mpya wa Shirika la Biashara Duniani (WTO) ametahadharisha dhidi ya 'utaifa' katika ugawaji wa chanjo za kukabiliana na ugonjwa wa Covid-19 na kusisitiza kuwa, janga la Corona linaweza kudumaza ukuaji wa uchumi wa nchi zote duniani, maskini na hata tajiri.

  • Watu zaidi ya 95,000 wamepoteza maisha kutokana na corona Afrika

    Watu zaidi ya 95,000 wamepoteza maisha kutokana na corona Afrika

    Feb 09, 2021 10:55

    Watu waliopoteza maisha barani Afrika kutokana na ugonjwa wa corona au COVID-19 sasa wamepindukia 95,000 huku idadi hiyo ikitarajiwa kuongezeka zaidi katika wiki zijazo.

  • Shehena ya kwanza ya chanjo ya Covid-19 ya Russia yawasili Iran

    Shehena ya kwanza ya chanjo ya Covid-19 ya Russia yawasili Iran

    Feb 04, 2021 14:15

    Shehena ya kwanza ya chanjo ya kukabiliana na virusi vya corona ya Sputnik V ya Russia imewasili hapa nchini Iran leo Alkhamisi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS