Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Rais Rouhani: Serikali ijayo ya Marekani ifidie makosa yaliyotangulia

    Rais Rouhani: Serikali ijayo ya Marekani ifidie makosa yaliyotangulia

    Nov 25, 2020 08:49

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria ushindi wa wananchi wa Iran na kushindwa adui katika vita vyake vya kiuchumi dhidi ya taifa hili na kueleza kwamba, serikali ijayo ya Marekani inapaswa kulaani waziwazi sera na hatua zisizo za kibinadamu na kigaidi za Donald Trump na ifidie siasa hizo zisizo sahihi.

  • Hatimaye Trump amekubali kumkabidhi madaraka Joe Biden

    Hatimaye Trump amekubali kumkabidhi madaraka Joe Biden

    Nov 24, 2020 03:46

    Baada ya kukataa kwa muda mrefu, hatimaye rais wa Marekani, Donald Trump amekubali kukabidhi madaraka kwa rais mteule wa nchi hiyo Joe Biden, suala ambalo linahesabiwa ni kukiri kushindwa Trump katika uchaguzi wa rais wa Novemba 3, 2020.

  • Sharti la kumfanya Trump akubali kuwa ameshindwa katika uchaguzi lawekwa hadharani

    Sharti la kumfanya Trump akubali kuwa ameshindwa katika uchaguzi lawekwa hadharani

    Nov 22, 2020 00:42

    Mjumbe wa jopo la washauri wa rais wa Marekani ametangaza kuwa, Donald Trump atakubali ameshindwa katika uchaguzi wa rais endapo matokeo ya uchaguzi huo yataidhinishwa na Mahakama Kuu ya Serikali Kuu ya nchi hiyo.

  • Juhudi za Trump za kutaka kubadilisha matokeo ya uchaguzi wa Marekani

    Juhudi za Trump za kutaka kubadilisha matokeo ya uchaguzi wa Marekani

    Nov 21, 2020 23:12

    Hata baada ya kupita wiki mbili tokea ufanyike uchaguzi mkuu wa rais wa Marekani na matokeo yake kutangazwa, lakini bado Rais Donald Trump wa nchi hiyo anafanya juhudi kubwa za kubadilisha matokeo hayo.

  • Kuongezeka nguvu ya kiulinzi ya Iran katika kivuli cha mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani

    Kuongezeka nguvu ya kiulinzi ya Iran katika kivuli cha mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani

    Nov 21, 2020 07:06

    Siasa imara na za busara za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mkabala na Marekani zimepelekea siasa laini na ngumu za Washington kukabiliwa na changamoto kubwa.

  • Trump amfuta kazi afisa wa ngazi za juu aliyesema uchaguzi haukua na doa

    Trump amfuta kazi afisa wa ngazi za juu aliyesema uchaguzi haukua na doa

    Nov 18, 2020 07:03

    Rais Donald Trump aliyebwagwa katika uchaguzi wa rais wa Marekani uliofanyika mapema mwezi huu amempiga kalamu nyekundu Mkurugenzi wa Wakala wa Usalama wa Mitandao na Miundomsingi wa nchi hiyo, kwa kutoa kauli iliyomghadhabisha kiongozi huyo kuhusu uchaguzi.

  • Hitilafu katika kambi ya Warepublican kuhusu kuondolewa askari wa Marekani Asia Magharibi

    Hitilafu katika kambi ya Warepublican kuhusu kuondolewa askari wa Marekani Asia Magharibi

    Nov 17, 2020 22:53

    Uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kuondolewa askari wa nchi hiyo katika eneo la Asia Magharibi hususan Afghanistan na Iraq ambao unatarajiwa kutangazwa katika siku za usoni na iliyokuwa moja ya ahadi muhimu za Trump umekabiliwa na upinzani mkali wa chama chake cha Repulican katika Kongresi ya nchi hiyo.

  • Uamuzi wa Trump wa kuitaja Ansarullah ya Yemen kuwa kundi la kigaidi

    Uamuzi wa Trump wa kuitaja Ansarullah ya Yemen kuwa kundi la kigaidi

    Nov 17, 2020 08:49

    Kinyume na maoni ya mashirika ya kimataifa ya misaada ya kibinadamu, Rais Donald Trump wa Marekani ameazimia kuliweka kundi la Kiislamu la Ansarullah ya Yemen katika orodha ya nchi hiyo ya makundi ya kigaidi.

  • Kukiri Obama kwamba jamii ya Marekani ina mpasuko na mgawanyiko wa kambi mbili

    Kukiri Obama kwamba jamii ya Marekani ina mpasuko na mgawanyiko wa kambi mbili

    Nov 17, 2020 04:00

    Mgogoro wa kisiasa ambao haujawahi kushuhudiwa, unaoendelea hivi sasa ndani ya Marekani, ambao umetokana na rais wa nchi hiyo Donald Trump aliyegombea urais kwa tiketi ya chama cha Republican kukataa kwamba ameshindwa katika kinyang'anyiro hicho cha 2020 na Joe Biden aliyegombea kwa tiketi ya chama cha Democratic, umepelekea kutolewa tahadhari na indhari kubwa juu ya hatari ya kugawanyika nchi hiyo.

  • CNN: Donald Trump ni sawa na Adolf Hitler

    CNN: Donald Trump ni sawa na Adolf Hitler

    Nov 15, 2020 23:04

    Televisheni ya CNN ya Marekani imeripoti kuwa, hatua na mienendo ya rais wa sasa wa nchi hiyo, Donald Trump katika kipindi cha miaka minne iliyopita inafanana na ya watawala wa zamani wa Ujerumani ya Manazi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS