Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Trump akiri Marekani inatumia gharama kubwa isiyo na faida yoyote Asia Magharibi

    Trump akiri Marekani inatumia gharama kubwa isiyo na faida yoyote Asia Magharibi

    Apr 22, 2020 22:13

    Baada ya mashambulizi ya Septemba 11, 2001 Marekani kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi, ilielekeza majeshi yake katika eneo la Asia Magharibi.

  • Tuhuma nyingine za Trump dhidi ya China; jitihada za kuhalalisha kufeli kwake

    Tuhuma nyingine za Trump dhidi ya China; jitihada za kuhalalisha kufeli kwake

    Apr 18, 2020 06:27

    Maambukizi ya virusi vya corona na ugonjwa wa Covid-19 hivi sasa yameilenga zaidi Marekani na watu wa nchi hiyo. Pamoja na hayo yote, utendaji wa serikali ya Trump katika uwanja huo ambao umeambatana na upuuzaji, kuchelewa kuchukua hatua na rais huyo kuendelea kung'ang'ania makosa yake, yote hayo yamewakasirisha sana wananchi wa Marekani.

  • Umoja wa Afrika walaani kitendo cha Marekani cha kuikatia misaada WHO

    Umoja wa Afrika walaani kitendo cha Marekani cha kuikatia misaada WHO

    Apr 15, 2020 20:15

    Moussa Faki Mahamat, Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU) amelaani kitendo cha Marekani cha kulikatia misaada ya kifedha Shirika la Afya Duniani (WHO) la Umoja wa Mataifa tena wakati huu wa vita vya dunia nzima dhidi ya corona.

  • UN yakerwa na hatua ya Trump kuikatia ufadhili WHO wakati huu wa Corona

    UN yakerwa na hatua ya Trump kuikatia ufadhili WHO wakati huu wa Corona

    Apr 15, 2020 03:44

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitizia udharura wa kuungwa mkono Shirika la Afya Duniani (WHO), muda mfupi baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kutangaza kuwa nchi hiyo imelikatia misaada yake ya kifedha shirika hilo.

  • Trump akosolewa na magavana wa Marekani kwa kudai kuwa ana mamlaka mutlaki

    Trump akosolewa na magavana wa Marekani kwa kudai kuwa ana mamlaka mutlaki

    Apr 14, 2020 07:07

    Magavana wa majimbo ya Marekani wamemjia juu Rais Donald Trump wa nchi hiyo baada ya kiongozi huyo kudai kuwa ana uwezo na mamlaka kamili ya kutoa miongozo na maagizo ya kuchukuliwa ya kukabiliana na janga la Corona.

  • Joe Biden amtangulia Rais Donald Trump katika uchunguzi wa maoni

    Joe Biden amtangulia Rais Donald Trump katika uchunguzi wa maoni

    Apr 13, 2020 03:27

    Televisheni ya CNN nchini Marekani imetangaza kwamba, Joe Biden, mwakilishi wa chama cha Democrat katika uchaguzi wa rais nchini humo anamtangulia Rais Donald Trump katika uchunguzi wa maoni ya Wamarekani.

  • Gharama kubwa za safari za familia ya Trump zaathiri wananchi wa Marekani

    Gharama kubwa za safari za familia ya Trump zaathiri wananchi wa Marekani

    Apr 12, 2020 03:22

    Duru za habari zimefichua utumiaji mkubwa wa siri wa vyombo vya usalama vya Marekani kwa lengo kuwasindikiza watu wa familia ya Trump katika safari zao.

  • Katibu Mkuu wa UN asisitiza kuiunga mkono WHO baada ya matamshi ya Trump

    Katibu Mkuu wa UN asisitiza kuiunga mkono WHO baada ya matamshi ya Trump

    Apr 09, 2020 06:49

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema Shirika la Afya Duniani, WHO, ambalo ni taasisi ya umoja huo, linapasa kuungwa mkono duniani kote, akisema kuwa chombo hicho kimekuwa muhimu sana kikichukua msimamo wa kimataifa kukabiliana na mlipuko wa janga la ugonjwa wa COVID-19 au corona.

  • Kissinger: Virusi vya corona vitabadili mfumo wa dunia, serikali ya Trump haina mwelekeo wala sifa

    Kissinger: Virusi vya corona vitabadili mfumo wa dunia, serikali ya Trump haina mwelekeo wala sifa

    Apr 05, 2020 07:19

    Waziri wa zamani wa Marekani, Henry Kissinger, amesema katika makala yake iliyochapishwa kwenye gazeti la The Wall Street Journal kwamba, mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona utabadilisha mfumo wa dunia milele.

  • Trump awataka Wamarekani wajiandae kwa 'vifo vingi' vya corona

    Trump awataka Wamarekani wajiandae kwa 'vifo vingi' vya corona

    Apr 05, 2020 03:33

    Rais Donald Trump wa Marekani ameonya kuwa, taifa hilo litashuhudia vifo vingi vya ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya corona ndani ya wiki mbili zijazo, huku nchi hiyo ikiendelea kuongoza kwa idadi ya watu walioambukizwa virusi hivyo duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS