-
Umoja wa Afrika walaani kitendo cha Marekani cha kuikatia misaada WHO
Apr 15, 2020 20:15Moussa Faki Mahamat, Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU) amelaani kitendo cha Marekani cha kulikatia misaada ya kifedha Shirika la Afya Duniani (WHO) la Umoja wa Mataifa tena wakati huu wa vita vya dunia nzima dhidi ya corona.
-
UN yakerwa na hatua ya Trump kuikatia ufadhili WHO wakati huu wa Corona
Apr 15, 2020 03:44Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitizia udharura wa kuungwa mkono Shirika la Afya Duniani (WHO), muda mfupi baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kutangaza kuwa nchi hiyo imelikatia misaada yake ya kifedha shirika hilo.
-
Trump akosolewa na magavana wa Marekani kwa kudai kuwa ana mamlaka mutlaki
Apr 14, 2020 07:07Magavana wa majimbo ya Marekani wamemjia juu Rais Donald Trump wa nchi hiyo baada ya kiongozi huyo kudai kuwa ana uwezo na mamlaka kamili ya kutoa miongozo na maagizo ya kuchukuliwa ya kukabiliana na janga la Corona.
-
Joe Biden amtangulia Rais Donald Trump katika uchunguzi wa maoni
Apr 13, 2020 03:27Televisheni ya CNN nchini Marekani imetangaza kwamba, Joe Biden, mwakilishi wa chama cha Democrat katika uchaguzi wa rais nchini humo anamtangulia Rais Donald Trump katika uchunguzi wa maoni ya Wamarekani.
-
Gharama kubwa za safari za familia ya Trump zaathiri wananchi wa Marekani
Apr 12, 2020 03:22Duru za habari zimefichua utumiaji mkubwa wa siri wa vyombo vya usalama vya Marekani kwa lengo kuwasindikiza watu wa familia ya Trump katika safari zao.
-
Katibu Mkuu wa UN asisitiza kuiunga mkono WHO baada ya matamshi ya Trump
Apr 09, 2020 06:49Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema Shirika la Afya Duniani, WHO, ambalo ni taasisi ya umoja huo, linapasa kuungwa mkono duniani kote, akisema kuwa chombo hicho kimekuwa muhimu sana kikichukua msimamo wa kimataifa kukabiliana na mlipuko wa janga la ugonjwa wa COVID-19 au corona.
-
Kissinger: Virusi vya corona vitabadili mfumo wa dunia, serikali ya Trump haina mwelekeo wala sifa
Apr 05, 2020 07:19Waziri wa zamani wa Marekani, Henry Kissinger, amesema katika makala yake iliyochapishwa kwenye gazeti la The Wall Street Journal kwamba, mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona utabadilisha mfumo wa dunia milele.
-
Trump awataka Wamarekani wajiandae kwa 'vifo vingi' vya corona
Apr 05, 2020 03:33Rais Donald Trump wa Marekani ameonya kuwa, taifa hilo litashuhudia vifo vingi vya ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya corona ndani ya wiki mbili zijazo, huku nchi hiyo ikiendelea kuongoza kwa idadi ya watu walioambukizwa virusi hivyo duniani.
-
Maambukizi ya corona na kutoweka kwa maadili ya kibinadamu katika nchi za Magharibi
Apr 04, 2020 06:56Baada ya mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona katika pembe mbalimbali za dunia hivi sasa Magharibi hususan nchi za Ulaya na Marekani zimekuwa kitovu kikuu cha maambukizi ya virusi hivyo.
-
Joe Biden akosoa uamuzi wa Trump wa kumfuta kazi kapteni wa jeshi la Marekani
Apr 04, 2020 00:09Mgombea wa uchaguzi wa rais wa 2020 nchini Marekani ametoa radiamali kufuatia hatua ya kufutwa kazi kapteni wa manowari moja ya nchi hiyo na kusema kuwa: "Trump amechukua uamuzi usio sahihi kuhusu jambo hilo."