Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Maambukizi ya corona na kutoweka kwa maadili ya kibinadamu katika nchi za Magharibi

    Maambukizi ya corona na kutoweka kwa maadili ya kibinadamu katika nchi za Magharibi

    Apr 04, 2020 06:56

    Baada ya mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona katika pembe mbalimbali za dunia hivi sasa Magharibi hususan nchi za Ulaya na Marekani zimekuwa kitovu kikuu cha maambukizi ya virusi hivyo.

  • Joe Biden akosoa uamuzi wa Trump wa kumfuta kazi kapteni wa jeshi la Marekani

    Joe Biden akosoa uamuzi wa Trump wa kumfuta kazi kapteni wa jeshi la Marekani

    Apr 04, 2020 00:09

    Mgombea wa uchaguzi wa rais wa 2020 nchini Marekani ametoa radiamali kufuatia hatua ya kufutwa kazi kapteni wa manowari moja ya nchi hiyo na kusema kuwa: "Trump amechukua uamuzi usio sahihi kuhusu jambo hilo."

  • Madai ya uongo ya Trump kuwa eti Iran haijaomba kupunguziwa vikwazo

    Madai ya uongo ya Trump kuwa eti Iran haijaomba kupunguziwa vikwazo

    Apr 03, 2020 23:43

    Baada ya kujitoa bila ya sababu katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei 2018 serikali ya Donald Trump huko Marekani iliirejeshea Iran vikwazo vyote vilivyokuwa vimeondolewa baada ya kufikiwa makubaliano hayo, bali iiiwekea Tehran vikwazo vya kiwango cha juu kabisa kama anavyojitapa mara kwa mara Donald Trump.

  • Uafriti wa Trump wa kuanzisha chokochoko na mivutano katika eneo kwa kuzusha tuhuma dhidi ya Iran

    Uafriti wa Trump wa kuanzisha chokochoko na mivutano katika eneo kwa kuzusha tuhuma dhidi ya Iran

    Apr 03, 2020 02:27

    Licha ya hali ya dharura na isiyo ya kawaida iliyopo kimataifa kutokana na mripuko wa janga la corona lililoikumba dunia nzima, Marekani ingali inaendelea kufuata muelekeo wa utumizi wa nguvu za kijeshi na kushikilia kuchukua hatua za kijeshi katika siasa zake za nje.

  • Zarif: Iran itawatia adabu wachocheao vita

    Zarif: Iran itawatia adabu wachocheao vita

    Apr 02, 2020 04:46

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amemwambia Rais Donald Trump wa Marekani kwamba Iran haitaanzisha vita lakini itawatia adabu wanaochechea vita.

  • Trump akariri tena ombi lake la kufanya mazungumzo na Iran

    Trump akariri tena ombi lake la kufanya mazungumzo na Iran

    Apr 02, 2020 10:23

    Rais Donald Trump wa Marekani amedai kwamba, 'Marekani haitaki uadui na Iran na kwamba italazimika kufanya nayo mazungumzo.'

  • Trump azikosoa Saudi Arabia na Russia kwa kuvuruga soko la mafuta

    Trump azikosoa Saudi Arabia na Russia kwa kuvuruga soko la mafuta

    Mar 31, 2020 02:29

    Rais Donald Trump wa Marekani sambamba na kuzikosoa Saudi Arabia na Russia kutokana na kuvuruga soko la mafuta, amesema kuwa Riyadh na Moscow zimepatwa na wendawazimu katika suala hilo.

  • Licha ya kujigamba, Trump aziomba msaada wa vifaa nchi za Asia na Ulaya ili kukabiliana na corona

    Licha ya kujigamba, Trump aziomba msaada wa vifaa nchi za Asia na Ulaya ili kukabiliana na corona

    Mar 26, 2020 03:38

    Gazeti la The Guardian limefichua kuwa, licha ya lugha ya mbwembwe na majigambo anayotumia Rais Donald Trump wa Marekani kwamba nchi yake haitahitaji msaada wa mataifa ya kigeni, serikali ya Washington imeomba msaada kwa waitifaki wake wa Ulaya na Asia kwa ajili ya kukabiliana na janga la corona.

  • Hitilafu za kisiasa zaongezeka nchini Marekani kuhusu makabiliano na Corona

    Hitilafu za kisiasa zaongezeka nchini Marekani kuhusu makabiliano na Corona

    Mar 26, 2020 00:58

    Kuenea virusi vya Corona na ugonjwa wa Covid-19 nchini Marekani si tu kwamba kumekuwa na taathira kubwa za kiuchumi na kijamii, bali pia kumegeuka na kuwa mjadala mkubwa ndani ya Bunge la Kongresi na ikulu ya White House.

  • Viongoza wa New York waonya juu ya maafa yanayotokana na uhaba wa vifaa vya tiba

    Viongoza wa New York waonya juu ya maafa yanayotokana na uhaba wa vifaa vya tiba

    Mar 23, 2020 22:06

    Meya wa mji wa New York nchini Marekani ametahadharisha kuhusu ongezeko la hasara inayotokana na uhaba wa vifaa vya tiba na ametabiri kwamba, katika kipindi cha miezi miwili ijayo mgogoro unaotokana na virusi vya corona utakuwa mkubwa zaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS