Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Wakati Trump anapojifanya daktari bingwa na kujigamba anatibu corona kwa dawa za Malaria

    Wakati Trump anapojifanya daktari bingwa na kujigamba anatibu corona kwa dawa za Malaria

    Mar 22, 2020 02:57

    Katika hatua ya kushangaza ambayo haijawahi kutokea, rais wa Marekani, Donald Trump amejigamba kuwa yeye ni daktari bingwa anayeweza kutibu ugonjwa wa COVID-19 kwa dawa za Malaria.

  • Kuthibitika kuwa uchumi wa Marekani umeingia katika mdororo mkubwa

    Kuthibitika kuwa uchumi wa Marekani umeingia katika mdororo mkubwa

    Mar 21, 2020 01:38

    Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akitumai kutumia madai yake ya mafanikio ya kiuchumi katika kampeni zake za uchaguzi wa rais nchini humo mwaka huu wa 2020, lakini hakuwa ametabiri kuhusu kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona ambao umepelekea kuporomoka masoko ya hisa Marekani na hivyo kuingiza uchumi huo mkubwa zaidi duniani katika mdororo.

  • Balozi wa Uswisi anayesimamia maslahi ya Marekani mjini Tehran aonywa kuhusu madai yasiyo na msingi ya Trump

    Balozi wa Uswisi anayesimamia maslahi ya Marekani mjini Tehran aonywa kuhusu madai yasiyo na msingi ya Trump

    Mar 14, 2020 07:37

    Balozi wa Uswisi mjini Tehran ambaye ndiye anayesimamia malahi ya Marekani nchini Iran ameitwa katika Wizara ya Mambo ya Nje kufuatia madai yasiyo na msingi yaliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani aliyeihusisha Iran na shambulizi la maroketi lililolenga kambi ya majeshi eti ya kimataifa ya al Taji nchini Iraq.

  • Bunge la Marekani lapitisha sheria ya kumuwekea Trump vizingiti vya kuanzisha vita dhidi ya Iran

    Bunge la Marekani lapitisha sheria ya kumuwekea Trump vizingiti vya kuanzisha vita dhidi ya Iran

    Mar 12, 2020 07:38

    Hatua za rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya Iran katika fremu ya mashinikizo ya juu kabisa, na pia hatua za jinai zake za kigaidi kama ile amri aliyotoa ya kuuawa Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu mnamo Januari 2020 ni hatua ambazo zimeibua wasiwasi mkubwa katika Bunge la Marekani (Congress).

  • Wamarekani hawaridhishwi na utendaji wa serikali ya Trump katika kupambana na virusi vya corona

    Wamarekani hawaridhishwi na utendaji wa serikali ya Trump katika kupambana na virusi vya corona

    Mar 10, 2020 08:35

    Uchunguzi mpya wa maoni unaonyesha kuwa wananchi nchini Marekani wameutathmini utendaji wa serikali ya Trump katika kuzuia maambukizo ya virusi vya corona nchini humo kuwa hasi huku karibu nusu ya watu wakisema kuwa hawaafiki utendaji wa serikali ya Trump.

  • Aliyehudhuria hotuba ya Trump aambukizwa Corona

    Aliyehudhuria hotuba ya Trump aambukizwa Corona

    Mar 08, 2020 08:38

    Matokeo ya vipimo vya virusi vya Corona alivyofanyiwa mmoja watu waliohudhuria kikao cha 'Umoja wa Wahafidhina wa Marekani' ambacho Trump na makamu wake walihutubia, yameonyesha kuwa mtu huyo ameathirika na virusi vya Corona.

  • Njama za Trump za kuficha sera za Marekani dhidi ya Iran

    Njama za Trump za kuficha sera za Marekani dhidi ya Iran

    Mar 02, 2020 07:29

    Baada ya utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Iran maarufu kama JCPOA mwezi Mei 2018, ilianzisha sera za mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran; na katika fremu hiyo ikaiwekea Iran vikwazo vikali kabisa hata katika uga wa masuala ya kibinadamu. Pamoja na kuwepo sera hiyo ya White House, hivi sasa rais afriti wa Marekani anajifanya mtu mwenye kuwahurumia wananchi wa Iran na kudai eti yuko tayari kuisaidia Iran.

  • Trump asema virusi vya Corona ni hadaa na njama chafu za Wademocrats

    Trump asema virusi vya Corona ni hadaa na njama chafu za Wademocrats

    Feb 29, 2020 10:13

    Rais Donald Trump wa Marekani amewashambulia viongozi wa chama cha Democratic ambao wametilia shaka uwezo na utayarifu wa serikali yake katika kukabiliana na maambukizi ya virusi hatari vya Corona nchini humo.

  • Sanders: Msimamo wa Trump kuhusu virusi vya Corona ni hatari sana, unapotosha

    Sanders: Msimamo wa Trump kuhusu virusi vya Corona ni hatari sana, unapotosha

    Feb 28, 2020 23:13

    Seneta maarufu wa Marekani na mgombea mtarajiwa wa kiti cha rais wa nchi hiyo, Bernie Sanders amekosoa vikali msimamo wa serikali ya Rais wa nchi hiyo, Donald Trump kuhusiana na maambukizi ya virusi vya Corona nchini humo akisema kuwa haufai, unapotosha ni hatari sana.

  • Trump na Netanyahu wafunguliwa mashtaka ya kuhusika na jinai dhidi ya binadamu

    Trump na Netanyahu wafunguliwa mashtaka ya kuhusika na jinai dhidi ya binadamu

    Feb 28, 2020 04:24

    Raia kadhaa wa Marekani na Palestina wamefungua mashtaka dhidi ya viongozi wa Marekani na Israel ya 'kuunga mkono na kuhamasisha utendaji jinai za kivita na jinai dhidi ya binadamu' katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS