-
Waziri Mkuu wa Uhispania ampongeza Lamine Yamal kwa kusherehekea ubingwa na bendera ya Palestina
May 14, 2026 03:29Waziri Mkuu wa Uhispania, Pedro Sanchez, amesisitiza uungaji mkono wa nchi yake kwa haki ya Wapalestina ya kuanzisha nchi yao wenyewe, akitoa maoni yake kuhusu utata uliosababishwa na hatua ya nyoka wa timu ya soka ya Barcelona, Lamine Yamal, wakati timu yake ilipokuwa ikisherehekea taji la ubingwa wa ligi ya Uhispania.
-
Wabunge wa Kenya wataka Waziri wa Mambo ya Ndani atimuliwe
Oct 08, 2021 13:11Baadhi ya Wabunge wa Kenya wanajianda kumuondoa mamlakani Waziri wa Masuala ya Ndani wa nchi hiyo, Fred Matiang'i.
-
Chama cha Ennahdha chamtaka Rais wa Tunisia atazame upya maamuzi yake ya kisiasa
Aug 18, 2021 08:45Kwa wiki kadhaa sasa nchi ya Tunisia imekumbwa na machafuko ya kisiasa na maandamano ya wananchi wanaopinga hali inayotawala nchini humo.
-
Ayatullah Shirazi: Siasa za leo duniani zimejaa uwongo na unafiki
Dec 28, 2016 23:10Ayatullah Makarim Shirazi ambaye ni miongoni mwa wanazuoni wakubwa wa kidini nchini Iran amekosoa anga ya kisiasa inayotawala dunia hivi sasa akisisitiza kuwa siasa hizo za kimataifa zimegubikwa na hadaa na unafiki.