Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • Utawala wa Kizayuni waendelea kupinga utoaji wa misaada kwa Wapalestina

    Utawala wa Kizayuni waendelea kupinga utoaji wa misaada kwa Wapalestina

    Mar 31, 2025 10:13

    Vitendo vya kikatili vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina wanaoishi Gaza vinaendelea, na bado utawala huo unazuia kufikishwa kwa misaada ya chakula na dawa kwa wakazi wa Gaza.

  • Iran, Lebanon, Iraq, Yemen zaanza luteka ya kuwaunga mkono Wapalestina Gaza

    Iran, Lebanon, Iraq, Yemen zaanza luteka ya kuwaunga mkono Wapalestina Gaza

    Mar 27, 2025 11:30

    Vikosi vya Baharini vya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) pamoja na vikosi kutoka Lebanon, Iraq na Yemen, vinafanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya majini katika 'maonyesho ya nguvu' dhidi ya Israel na kutangaza mshikamano na Wapalestina huko Gaza.

  • 'Mauaji makubwa zaidi ya watoto': Iran yalaani mauaji ya Israel na US dhidi ya watoto wa Gaza

    'Mauaji makubwa zaidi ya watoto': Iran yalaani mauaji ya Israel na US dhidi ya watoto wa Gaza

    Mar 26, 2025 03:29

    Jamhuri ya Kislamu ya Iran imelaani vikali mauaji ya halaiki ya utawala wa Israel dhidi ya watoto wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza, na kuyataja kuwa ni sehemu ya sera ya iliyopangwa ya mauaji ya kimbari yenye lengo la kufuta utambulisho wa Wapalestina.

  • Makumi ya wafanyakazi wa UN wanaondoka Gaza, Israel yazidisha mauaji

    Makumi ya wafanyakazi wa UN wanaondoka Gaza, Israel yazidisha mauaji

    Mar 26, 2025 02:41

    Kufuatia mashambulizi ya Israel dhidi ya kambi za Umoja wa Mataifa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kuuawa wafanyakazi watano wa shirika hilo la kimataifa, makumi ya wafanyakazi wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa katika Ukanda wa Gaza wanaondoka eneo hilo kutokana na wasiwasi wa mashambulizi ya Israel.

  • Mazungumzo ya kusitisha vita tena Ghaza yagonga mwamba kwa ukwamishaji wa Israel

    Mazungumzo ya kusitisha vita tena Ghaza yagonga mwamba kwa ukwamishaji wa Israel

    Mar 25, 2025 12:21

    Duru za kuaminika zimefichua kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umekataa mapendekezo yote yaliyotolewa na wapatanishi ya kusitisha mapigano kutokana na uungaji mkono kamili unaopata kwa Marekani na kwamba mazungumzo juu ya suala hilo yameishia kwenye mkwamo.

  • UN, EU zataka kusitishwa vita Gaza huku Israel ikifanya mashambulizi mapya

    UN, EU zataka kusitishwa vita Gaza huku Israel ikifanya mashambulizi mapya

    Mar 22, 2025 04:32

    Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya zimetoa wito wa kusitishwa mara moja mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza, huku Israel ikianzisha tena vita vya mauaji ya kimbari kwenye ukanda huo.

  • Waasi wa M23 wauteka mji wa Walikale mashariki mwa Kongo DR

    Waasi wa M23 wauteka mji wa Walikale mashariki mwa Kongo DR

    Mar 21, 2025 03:23

    Kundi la waasi la M23, linaloendesha mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, limeuteka mji wa Walikale unaopatikana katika eneo lenye utajiri mkubwa wa madini huko Kivu Kaskazini.

  • Waziri wa zamani wa vita wa Israel: Tunakabiliwa na 'mgogoro mkubwa zaidi katika historia yetu'

    Waziri wa zamani wa vita wa Israel: Tunakabiliwa na 'mgogoro mkubwa zaidi katika historia yetu'

    Mar 21, 2025 03:22

    Waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel Moshe Ya'alon ametoa mwito kwa waandamanaji kuendeleza maandamano yao ili kuiangusha serikali ya Benjamin Netanyahu na kuhitimisha alichokiita 'mgogoro mkubwa zaidi katika historia ya Israel'.

  • Baqaei alaani hujuma za kijeshi dhidi ya Yemen na mauaji ya kimbari Ukanda wa Gaza

    Baqaei alaani hujuma za kijeshi dhidi ya Yemen na mauaji ya kimbari Ukanda wa Gaza

    Mar 20, 2025 10:34

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani kuendelea mashambulizi ya anga ya Marekani dhidi ya Yemen na mauaji ya utawala wa Kizayuni dhidi ya wakazi wa Ukanda wa Gaza.

  • Misri, Saudia zalaani Israel kuzuia misaada ya kibinadamu kuingia Gaza

    Misri, Saudia zalaani Israel kuzuia misaada ya kibinadamu kuingia Gaza

    Mar 03, 2025 07:07

    Hatua ya Israel ya kuzuia kuingizwa misaada ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza imelaaniwa na Misri na Saudi Arabia, huku nchi mbili hizo zikisisitiza kuwa kitendo hicho ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS