Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghuba ya Uajemi

  • Meja Jenerali Baqeri: Jeshi la Iran linafuatilia nyendo za Marekani katika Ghuba ya Uajemi

    Meja Jenerali Baqeri: Jeshi la Iran linafuatilia nyendo za Marekani katika Ghuba ya Uajemi

    May 24, 2019 03:42

    Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema jeshi la Iran linafuatilia kwa karibu nyendo na harakati za Marekani katika Ghuba ya Uajemi.

  • Qatar yataka mazungumzo bila masharti kutatua mgogoro ulioanzishwa na Saudia dhidi yake

    Qatar yataka mazungumzo bila masharti kutatua mgogoro ulioanzishwa na Saudia dhidi yake

    Apr 14, 2019 02:30

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema kuwa, Doha inakaribisha mazungumzo yasiyo na masharti na yanayozingatia sheria za kimataifa bila ya kukanyaga haki ya kujitawala nchi yoyote ile.

  • Malengo ya safari ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia katika nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi

    Malengo ya safari ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia katika nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi

    Mar 05, 2019 14:15

    Sergei Lavrov, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia, Jumatatu ya tarehe 4 Machi alianza safari yake ya siku nne katika nchi nne za Qatar, Saudi Arabia, Kuwait na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati).

  • Qatar: Nchi za Kiarabu zina haja ya kuwa na uhusiano mzuri na Iran

    Qatar: Nchi za Kiarabu zina haja ya kuwa na uhusiano mzuri na Iran

    Feb 28, 2019 02:30

    Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema kuwa, nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi zina wajibu wa kuwa na uhusiano mzuri na Iran kwani zinaihitajia nchi hiyo.

  • Pembetatu ya kuzua mivutano katika Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi

    Pembetatu ya kuzua mivutano katika Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi

    Jan 19, 2019 03:06

    Katika ripoti yake ya hivi karibuni, shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kuwa hali ya haki za binadamu katika nchi tatu za Saudi Arabia, Imarati na Bahrain ni ya kutisha mno.

  • Iran yazindua manowari mpya ya kisasa katika Ghuba ya Uajemi

    Iran yazindua manowari mpya ya kisasa katika Ghuba ya Uajemi

    Dec 01, 2018 08:10

    Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limezindua manowari mpya ya kisasa yenye uwezo mkubwa wa kuvurumisha makombora.

  • Meja Jenerali Jaafari: Ujumbe wa Iran kwa nchi za Ghuba ya Uajemi ni wa amani na urafiki

    Meja Jenerali Jaafari: Ujumbe wa Iran kwa nchi za Ghuba ya Uajemi ni wa amani na urafiki

    Sep 05, 2018 13:51

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) amesema kuwa, ujumbe wa Iran kwa nchi za Ukanda wa Ghuba ya Uajemi ni wa amani na urafiki sambamba na kuleta hali ya ushirikiano kwa ajili ya kudhamini amani katika maji ya Ghuba ya Uajemi bila ya uwepo wa vikosi vya madola ajinabi.

  • Meja Jenerali Bagheri: Maadui ni walowezi Ghuba ya Uajemi

    Meja Jenerali Bagheri: Maadui ni walowezi Ghuba ya Uajemi

    Aug 30, 2018 02:26

    Mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kutokana na uimara wa kikosi cha majini cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH), nchi maadui huwa zina woga mkubwa kabla ya kuingia katika Lango Bahari la Hormoz (la kusini mwa Iran) na katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita, maadui hao wamelazimika kuheshimu sheria za kimataifa.

  • Marekani imebakia kuangalia kwa macho tu uwezo wa kijeshi wa Iran Ghuba ya Uajemi

    Marekani imebakia kuangalia kwa macho tu uwezo wa kijeshi wa Iran Ghuba ya Uajemi

    Aug 09, 2018 13:40

    Kamanda wa Komandi Kuu wa Jeshi la Marekani amezungumzia luteka mazoezi ya kijeshi yaliyoifanywa hivi karibuni na Jeshi la Majini la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Ghuba ya Uajemi na Lango Bahari la Hormoz na kukiri uwezo mkubwa wa kijeshi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Rais Rouhani: Wanaolitakia mabaya taifa la Iran muda si mrefu watasailimu amri

    Rais Rouhani: Wanaolitakia mabaya taifa la Iran muda si mrefu watasailimu amri

    Jun 28, 2018 13:36

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, kuna haja ya kukabiliana na vitisho vya adui na kuvibadilisha kuwa fursa, kwani wanaolitakia mabaya taifa hili muda si mrefu watasalimu amri.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS