Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghuba ya Uajemi

  • Waislamu duniani wanaswali Swala ya Iddi Ijumaa ya leo

    Waislamu duniani wanaswali Swala ya Iddi Ijumaa ya leo

    Jun 15, 2018 04:51

    Waislamu katika nchi mbalimbali duniani leo wanaswali Swala ya Iddil-Fitri baada ya kutangazwa kuonekana kwa mwezi mwandamo na kukamilika mwezi wa Ramadhan.

  • Mwanaharakati wa Kisiasa Kuwait: Saudia ndio muharibifu wa usalama Mashariki ya Kati

    Mwanaharakati wa Kisiasa Kuwait: Saudia ndio muharibifu wa usalama Mashariki ya Kati

    May 01, 2018 14:14

    Mwanaharakati mashuhuri wa kisiasa nchini Kuwait amesambaza video inayoonyesha kuwa Saudia ndiye muhusika mkuu wa machafuko eneo la Ghuba ya Uajemi na Mashariki ya Kati kwa ujumla.

  • "Ghuba ya Uajemi" (Persian Gulf); Jina Litakalobaki Milele Katika Kurasa za Historia

    May 01, 2018 08:35

    Ni matumaini yangu kuwa hujambo mpenzi msikilizaji popote pale ulipo. Jumatatu ya tarehe 30 Aprili ilisadifiana na siku ya mwisho ya kuondoka Wareno baada ya kutimuliwa kwenye eneo la maji ya kusini mwa Iran. Kwa mnasaba wa tukio hilo, siku hii inajulikana katika kalenda rasmi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama "Siku ya Taifa ya Ghuba ya Uajemi". Baada ya utangulizi huo mfupi nakuomba sasa ujiweke tayari kusikiliza yale niliyokuandalia kwa mnasaba wa siku hiyo.

  • Jumatatu, tarehe 30 Aprili, 2018

    Jumatatu, tarehe 30 Aprili, 2018

    Apr 30, 2018 03:47

    Leo ni Jumatatu tarehe 13 Shaaban, 1439 Hijria sawa na Aprili 30, 2018 Miladia.

  • Qatar: Saudia inayakandamiza 'mataifa madogo' kwa lengo la kuyapigisha magoti

    Qatar: Saudia inayakandamiza 'mataifa madogo' kwa lengo la kuyapigisha magoti

    Nov 18, 2017 07:35

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema utawala wa Saudi Arabia unachochea migogoro na mivutano katika eneo la Mashariki ya Kati sambamba na kuzikandamiza na kuzinyanyasa nchi ndogo katika eneo ili kuzishinikiza zipige magoti mbele yake.

  • Sayyari: Tamko la kipumbavu la Trump haliwezi kubadilisha

    Sayyari: Tamko la kipumbavu la Trump haliwezi kubadilisha "Ghuba ya Uajemi"

    Oct 18, 2017 02:49

    Kamanda Mkuu wa Kikosi cha Majini cha Iran amesema kauli ya kupotosha na ya kipumbavu iliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani alipokuwa akitoa hutuba dhidi ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hivi karibuni haiwezi kubadilisha jina la asili la "Ghuba ya Uajemi".

  • Safavi: Kuna hatari ya kutokea fitna mpya Ghuba ya Uajemi

    Safavi: Kuna hatari ya kutokea fitna mpya Ghuba ya Uajemi

    Jul 04, 2017 03:42

    Mshauri Mkuu wa Amirijeshi Mkuu wa Vikosi vyote vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, baada ya Marekani, Saudi Arabia na Wazayuni kushindwa vibaya katika nchi za Iraq na Syria, hivi sasa kuna uwezekano kundi hilo likaanzisha fitna mpya katika eneo la Ghuba ya Uajemi.

  • Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi lakabiliwa na tishio kuu, huku muda wa masharti ya Saudia ukimalizika leo

    Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi lakabiliwa na tishio kuu, huku muda wa masharti ya Saudia ukimalizika leo

    Jul 03, 2017 04:45

    Katika hali ambayo muhula wa siku kumi Uliotolewa na Saudia na waitifaki wake kwa Qatar ili Ikubali masharti ya Riyadh unamalizika leo Jumatatu tarehe tatu Julai, mgogoro katika nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi sasa umeingia katika marhala mpya.

  • Ijumaa, Mei 26, 2017

    Ijumaa, Mei 26, 2017

    May 26, 2017 08:08

    Leo ni Ijumaa tarehe 29 Shaaban 1438 Hijria Qamaria sawa 26 Mei 2017 Miladia.

  • Iran yataka ushirikiano baina ya nchi za Ghuba ya Uajemi

    Iran yataka ushirikiano baina ya nchi za Ghuba ya Uajemi

    May 01, 2017 03:46

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif ametoa wito wa kuwepo urafiki miongoni mwa nchi za eneo la Ghuba ya Uajemi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS