Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

habari

  • RSF yalaani kukamatwa waandishi habari nchini Ethiopia, yaamuru waachiwe huru

    RSF yalaani kukamatwa waandishi habari nchini Ethiopia, yaamuru waachiwe huru

    Jul 14, 2021 04:07

    Jumuiya ya Waandishi wa Habari Wasio na Mipaka (RSF) imelaani kile ilichokiita "kukamatwa kwa umati" kwa waandishi wa habari 12 wa Ethiopia ambao walitiwa nguvuni ili "kuwazuia kuchunguza kwa uhuru mzozo unaoendelea katika eneo la Tigray".

  • Waandishi habari wa Marekani wataka kuakisiwa jinai za Israel katika vyombo vya habari vya nchi hiyo

    Waandishi habari wa Marekani wataka kuakisiwa jinai za Israel katika vyombo vya habari vya nchi hiyo

    Jun 13, 2021 02:50

    Zaidi ya Waandishi wa habari 500 wa Marekani wamesaini barua ya pamoja wakitaka kuakisiwa na kutangazwa habari zinazohusiana na dhulma na siasa za kibaguzi za Israel huko Palestina.

  • Mashambulizi ya Israel dhidi ya waandishi na vyombo vya habari Ukanda wa Gaza

    Mashambulizi ya Israel dhidi ya waandishi na vyombo vya habari Ukanda wa Gaza

    May 20, 2021 08:17

    Zaidi ya Wapalestina 230 wameuawa shahidi katika mashambulizi ya kikatili ya Israel yaliyoanza yapata siku kumi zilizopita. Zaidi ya 63 kati ya waliouliwa shahidi ni watoto na karibu 40 ni wanawake.

  • Wafanyakazi wanne wa sekta ya habari watiwa mbaroni katika eneo  la Tigray, Ethiopia

    Wafanyakazi wanne wa sekta ya habari watiwa mbaroni katika eneo la Tigray, Ethiopia

    Mar 02, 2021 10:50

    Wafanyakazi wanne wa sekta ya habari katika eneo lililoathiriwa na machafuko la Tigray nchini Ethiopia wametiwa mbaroni na kushikiliwa korokoroni. Hayo yameelezwa na familia na wafanyakazi wenzao.

  • IFJ: Waandishi habari karibu mia moja wameuawa mwaka 2018 duniani

    IFJ: Waandishi habari karibu mia moja wameuawa mwaka 2018 duniani

    Jan 02, 2019 02:50

    Shirikisho la Kimataifa la Waandishi wa Habari (IFJ) limetangaza kuwa, waandishi habari 94 waliuawa mwaka uliomalizika wa 2018 katika maeneo mbalimbali ya dunia.

  • RSF: Wanahabari 65 wameuawa wakiwa kazini mwaka huu 2017

    RSF: Wanahabari 65 wameuawa wakiwa kazini mwaka huu 2017

    Dec 19, 2017 13:33

    Shirika la Maripota Wasio na Mipaka (RSF) limesema jumla ya waandishi wa habari na wafanyakazi wengine katika sekta ya upashanaji habari 65 wameuawa mwaka huu 2017 katika sehemu mbali mbali duniani.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS