Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Israel yaunda kikosi maalumu cha kumuua kigaidi Yahya Sinwar

    Israel yaunda kikosi maalumu cha kumuua kigaidi Yahya Sinwar

    Sep 15, 2024 04:01

    Shirika la kijasusi la ndani la Israel Shin Bet (Shabak) limeunda kitengo maalumu cha kumuua kigaidi Yahya Sinwar, Mkuu mpya wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina HAMAS.

  • Hamas yapinga makubaliano yanayotambua rasmi uwepo wa Israel huko Ghaza

    Hamas yapinga makubaliano yanayotambua rasmi uwepo wa Israel huko Ghaza

    Sep 06, 2024 03:56

    Mkuu wa timu ya mazungumzo ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amesema harakati hiyo ya muqawama haitaafiki makubaliano ambayo yanahalalisha uwepo wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza.

  • HAMAS: Marekani ni mshirika wa Israel katika uhalifu wa kivita huko Gaza

    HAMAS: Marekani ni mshirika wa Israel katika uhalifu wa kivita huko Gaza

    Sep 04, 2024 03:29

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema Marekani ni mshirika wa muda mrefu wa jinai za Israel katika Ukanda wa Gaza, na imeendelea kutoa uungaji mkono wake wa kisiasa, kijeshi na kiusalama kwa utawala huo ghasibu.

  • Netanyahu asema, atawatoa kafara mateka Waisraeli lakini jeshi la Kizayuni libaki Philadelphi

    Netanyahu asema, atawatoa kafara mateka Waisraeli lakini jeshi la Kizayuni libaki Philadelphi

    Sep 01, 2024 06:45

    Waziri Mkuu mshupalia vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu amemueleza waziri wake wa vita Yoav Gallant kwamba anafadhilisha jeshi la Israel libaki kwenye Ukanda wa Philadelphi (Mhimili wa Saladin) kuliko kuokoa maisha ya mateka ambao wangali wanashikiliwa katika Ukanda wa Ghaza.

  • Israel yatishia kumuua kigaidi Khalid Mashaal

    Israel yatishia kumuua kigaidi Khalid Mashaal

    Aug 31, 2024 04:32

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel ametoa vitisho kwamba utawala huo wa Kizayuni utamuua kigaidi Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Ughaibuni ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS), Khaled Mash'al.

  • Hamas: Mauaji ya raia wa Palestina katika shule ya Salahuddin ni muendelezo wa mauaji ya kimbari

    Hamas: Mauaji ya raia wa Palestina katika shule ya Salahuddin ni muendelezo wa mauaji ya kimbari

    Aug 22, 2024 08:20

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema mashambulizi ya jeshi la utawala wa Kizayuni katika shule ya Salahuddin magharibi mwa mji wa Gaza ni muendelezo wa oparesheni za mauaji ya kimbari zinazotekelezwa na utawala wa Israel dhidi ya wakazi wa Ukanda wa Gaza.

  • Hamas: Utawala wa Kizayuni haujui lolote isipokuwa kuuwa wanawake na watoto

    Hamas: Utawala wa Kizayuni haujui lolote isipokuwa kuuwa wanawake na watoto

    Aug 17, 2024 22:59

    Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiisamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza kuwa utawala wa Israel unaotekeleza mauaji ya kimbari haujui lolote jingine isipokuwa kuwashambulia na kuwauwa wanawake na watoto wasio na hatia.

  • HAMAS: Hatutashiriki mazungumzo ya usitishaji vita Doha

    HAMAS: Hatutashiriki mazungumzo ya usitishaji vita Doha

    Aug 14, 2024 23:15

    Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema wawakilishi wa harakati hiyo ya muqawama hawatashiriki mazungumzo ya leo ya usitishaji vita yanayotazamiwa kufanyika Doha, mji mkuu wa Qatar.

  • HAMAS: Badala ya mazungumzo mapya, Wazayuni walazimishwe kutekeleza usitishaji vita

    HAMAS: Badala ya mazungumzo mapya, Wazayuni walazimishwe kutekeleza usitishaji vita

    Aug 13, 2024 02:10

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema utawala ghasibu wa Kizayuni umethibitisha kuwa hautaki kufikia makubaliano; na kwa sababu hiyo, harakati hiyo imewataka wapatanishi wa Misri na Qatar wawalazimishe Wazayuni watekeleze pendekezo la hivi karibuni la usitishaji vita badala ya kutaka yaanzishwe mazungumzo mengine mapya.

  • Iran: Tumeshaandaa mazingira ya kutoa jibu kali dhidi ya Israel

    Iran: Tumeshaandaa mazingira ya kutoa jibu kali dhidi ya Israel

    Aug 10, 2024 10:13

    Mshauri wa masuala ya kisiasa wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei amesema mazingira yameshaandaliwa kwa ajili ya Iran kutoa jibu kali na la kuumiza dhidi ya Israel, kutokana na hatua ya utawala huo wa Kizayuni kumuua shahidi Ismail Haniyah, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS