Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Kura ya veto ya Marekani dhidi ya azimio la Baraza la Usalama kuhusu vita vya Gaza

    Kura ya veto ya Marekani dhidi ya azimio la Baraza la Usalama kuhusu vita vya Gaza

    Dec 09, 2023 07:57

    Marekani, ambayo ni mwanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, imepinga azimio lililopendekezwa na UAE la kuanzisha usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza.

  • HAMAS yalaani kitendo cha askari wa Israel cha kuwakashifu Wapalestina kwa kuwavua nguo hadharani

    HAMAS yalaani kitendo cha askari wa Israel cha kuwakashifu Wapalestina kwa kuwavua nguo hadharani

    Dec 09, 2023 02:49

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani kitendo cha wanajeshi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel cha kuwalazimisha kuvua nguo Wapalestina wapatao 100 waliowakamata; na kuwakashifu kwa kuwaweka hadharani katika barabara za Ukanda wa Gaza wakiwa wamebaki na nguo za ndani tu.

  • Hamas: Madai yasiyo na msingi ya Biden ni kielelezo cha kuporomoka kwake kimaadili

    Hamas: Madai yasiyo na msingi ya Biden ni kielelezo cha kuporomoka kwake kimaadili

    Dec 06, 2023 04:42

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza kuwa, madai yasiyo na msingi ya Rais wa Marekani kuhusu operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa yanaonyesha kuporomoka kwake kimaadili.

  • Askari 60 wa Kizayuni waangamizwa katika operesheni ya HAMAS

    Askari 60 wa Kizayuni waangamizwa katika operesheni ya HAMAS

    Dec 03, 2023 07:13

    Makumi ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wameangamizwa katika operesheni ya Brigedi za Izzuddin al Qassam, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu HAMAS.

  • WSJ: Mashirika ya ujasusi ya Israel yamepanga kuwaua viongozi wa HAMAS popote pale duniani

    WSJ: Mashirika ya ujasusi ya Israel yamepanga kuwaua viongozi wa HAMAS popote pale duniani

    Dec 02, 2023 02:31

    Mashirika makuu ya ujasusi ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel yanaripotiwa kuwa yamedhamiria "kuwaua" viongozi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS duniani kote baada ya kumalizika vita vyake vya kikatili na kinyama unavyoendeleza dhidi ya Ukanda wa Gaza, ambavyo tayari vimeshaua Wapalestina wanaokaribia 16,000 hadi sasa.

  • Abu Ubaida atangaza baadhi ya hasara za Israel katika Kimbunga cha al Aqsa

    Abu Ubaida atangaza baadhi ya hasara za Israel katika Kimbunga cha al Aqsa

    Nov 25, 2023 01:05

    Msemaji wa Brigedi za Izzuddin al-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS), ametangaza kwamba zana na ala 335 za jeshi la Israel zimeharibiwa kabisa tangu kuanza mashambulizi ya utawala huo haramu dhidi ya watu wa Gaza na kusisitiza kuwa, utawala vamizi umelazimika kukubali suluhu na kusitisha mapigano.

  • Kiongozi wa Hizbullah akutana na maafisa waandamizi wa HAMAS Beirut

    Kiongozi wa Hizbullah akutana na maafisa waandamizi wa HAMAS Beirut

    Nov 22, 2023 23:37

    Katibu Mkuu wa Hizbullah jana Jumatano alikutana na ujumbe wa maafisa wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS mjini Beirut kujadili matukio ya Gaza, huku idadi ya wananchi wa Palestina waliouawa shahidi kwenye mashambulizi ya kikatili ya Israel katika eneo hilo linalokaliwa kwa mabavu ikikaribia 15,000.

  • HAMAS yaipongeza Yemen; San'a yasema: Hatutosita kukamata meli yoyote ya Wazayuni

    HAMAS yaipongeza Yemen; San'a yasema: Hatutosita kukamata meli yoyote ya Wazayuni

    Nov 20, 2023 11:23

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeipongeza Yemen na jeshi lake kwa hatua yao ya kishujaa ya kukamata meli ya utawala wa Kizayuni na kusema kuwa hatua hiyo ni mafanikio ya aina yake yaliyopatikana kutokana na damu za watu wasio na hatia zinazomwagwa na Israel huko Ghaza.

  • Brigedia Jenerali Qaani: Israel ni dhaifu kuliko utando wa buibui

    Brigedia Jenerali Qaani: Israel ni dhaifu kuliko utando wa buibui

    Nov 18, 2023 00:20

    Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa imefichua kuwa utawala haramu wa Israel ni dhaifu kuliko hata nyumba ya buibui.

  • Azimio la Baraza la Usalama kuhusu vita vya Gaza: Makubaliano ya kiwango cha chini

    Azimio la Baraza la Usalama kuhusu vita vya Gaza: Makubaliano ya kiwango cha chini

    Nov 16, 2023 23:47

    Uzembe wa Umoja wa Mataifa na hasa mkwamo katika Baraza la Usalama la umoja huo ambao una jukumu muhimu la kulinda amani na usalama wa kimataifa, kuhusu vita vya Gaza, jinai za kivita na mauaji ya kimbari ya Wapalestina yanayofanywa na utawala wa Kizayuni, umekosolewa vikali kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS