-
Khalid Mash'al achaguliwa kuwa kiongozi wa HAMAS nje ya Palestina
Apr 12, 2021 22:22Duru zenye mfungamano na Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema, Khalid Mash'al amechaguliwa kuwa kiongozi wa harakati hiyo nje ya Palestina.
-
Hamas: Kukataa kushirikiana na ICC kunaonesha upeo wa kiburi cha Israel
Apr 10, 2021 03:15Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kukataa kutoa ushirikiano kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kinaonesha wazi upeo wa jeuri na kiburi cha utawala huo haramu kwa taasisi za kimataifa.
-
Hamas: Kutiwa nguvuni Wapalestina huko Saudia kunawanufaisha Wazayuni
Apr 05, 2021 22:17Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametilia mkazo udharura wa kuachiwa huru makumi ya Wapalestina wanaoshikiliwa mahabusu nchini Saudi Arabia na kusema kuwa, kufungwa kwa Wapalestina hao huko Saudia kunawanufaisha Wazayuni wa Israel.
-
HAMAS: Tuna uhusiano mzuri sana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Mar 05, 2021 23:25Osama Hamdan, mjumbe wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, harakati hiyo ina uhusiano mzuri na imara na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Hamas: Uvamizi dhidi ya Syria ni ishara ya vitendo vya dhulma vya Israel
Mar 01, 2021 09:20Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza kuwa, uvamizi wa kijeshi wa utawala wa Kizayuni katika mji mkuu wa Syria Damascus ni ishara ya vitendo vya dhulma na uonevu vya Wazayuni.
-
Israel yawakamata viongozi kadhaa wa HAMAS na mateka Wapalestina walioachiwa huru
Feb 23, 2021 03:11Utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umewatia nguvuni viongozi kadhaa wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS katika maeneo ya Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan na Baitul Muqaddas pamoja na mateka Wapalestina waliochiwa huru.
-
Wapalestina Walaani Israel kwa kuzuia chanjo ya Corona kufikishwa Ghaza
Feb 16, 2021 22:56Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imelaani kitendo cha utawala haramu wa Israel kuzuia dozi 2,000 za chanjo ya Corona kuwafikia wafanyakazi wa sekta ya afya katika Ukanda wa Ghaza.
-
HAMAS yalaani njama ya kuasisi jumuiya ya jamii za Mayahudi katika nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi
Feb 16, 2021 09:09Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani mpango wa kuasisi jumuiya ya jamii za Mayahudi katika nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi.
-
Hamas, Arab League zakaribisha uamuzi wa ICC dhidi ya Israel
Feb 07, 2021 03:48Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imepongeza hukumu ya hivi karibuni ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC yenye maslahi kwa wananchi wa Palestina na iliyoughadhabisha mno utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
HAMAS yatoa onyo dhidi ya uingiliaji wowote wa kuvuruga uchaguzi wa Palestina
Feb 05, 2021 04:03Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa onyo dhidi ya hatua yoyote ya kujaribu kuvuruga mchakato wa uchaguzi ujao wa Palestina.