Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • HAMAS: Achaneni na ndoto za kujenga imani na matumaini kwa serikali mpya ya Marekani

    HAMAS: Achaneni na ndoto za kujenga imani na matumaini kwa serikali mpya ya Marekani

    Jan 25, 2021 09:09

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amekosoa mtazamo wa baadhi ya viongozi wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina wa kuwa na imani na matumaini na serikali mpya Marekani.

  • HAMAS: Baadhi ya mataifa ya Kiarabu ni marafiki wa utawala haramu wa Israel

    HAMAS: Baadhi ya mataifa ya Kiarabu ni marafiki wa utawala haramu wa Israel

    Jan 09, 2021 03:53

    Mjumbe wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, baadhi ya mataifa ya Kiarabu ambayo yamekuwa yakifanya urafiki na Wazayuni yanapinga jihadi na harakati za muqawama dhidi ya utawala vamizi wa Israel.

  • Hamas yasisitizia mapambano ya silaha dhidi ya Wazayuni

    Hamas yasisitizia mapambano ya silaha dhidi ya Wazayuni

    Dec 28, 2020 04:43

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa, mapambano ya silaha dhidi ya utawala wa Kizayuni ambao ndiye adui mkubwa wa ubinadamu, Waislamu na Wapalestina, ndiyo njia pekee ya kupambana na kumshinda adui huyo mtenda jinai.

  • Haniya: Kuanzisha uhusiano na Israel ni kuupiga jambia umma wa Kiislamu

    Haniya: Kuanzisha uhusiano na Israel ni kuupiga jambia umma wa Kiislamu

    Dec 24, 2020 04:34

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kitendo cha baadhi ya nchi za Kiarabu cha kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel ni sawa na kuwapiga jambia kwa nyuma wananchi wa Palestina na umma wa Kiislamu kwa ujumla.

  • Hamas yaikosoa Imarati kwa kuunga mkono sera za Israel

    Hamas yaikosoa Imarati kwa kuunga mkono sera za Israel

    Dec 21, 2020 04:46

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu unaunga mkono sera za utawala wa Kizayuni wa Israel kwa madhara na ukiukaji wa haki za Wapalestina.

  • Hamas yailaani Israel kwa kumuua kijana Mpalestina

    Hamas yailaani Israel kwa kumuua kijana Mpalestina

    Dec 06, 2020 21:50

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas), imelaani vikali kitendo cha utawala haramu wa Israel kumuua shahidi kijana Mpalestina aliyekuwa na umri wa miaka 14.

  • HAMAS yalaani msimamo wa waziri wa Biashara wa Bahrain dhidi ya Palestina

    HAMAS yalaani msimamo wa waziri wa Biashara wa Bahrain dhidi ya Palestina

    Dec 04, 2020 04:13

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani matamshi aliyotoa waziri wa biashara, viwanda na utalii wa Bahrain kuhusu azma ya nchi yake ya kununua bidhaa zinazozalishwa katika vitongoji vya walowezi wa Kizayuni kwenye Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • HAMAS: Mamlaka ya Ndani ya Palestina haina utashi wowote wa kukabiliana na utawala wa Kizayuni

    HAMAS: Mamlaka ya Ndani ya Palestina haina utashi wowote wa kukabiliana na utawala wa Kizayuni

    Nov 30, 2020 09:28

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, Mamlaka ya Ndani ya Palestina kila mara imekuwa ikionyesha ulegevu na ulainifu linapokuja suala la mashirikiano na makubaliano na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Hamas: Ushirikiano wa Serikali ya Ndani ya Palestina na utawala wa Kizayuni ni kinyume na mapatano ya kitaifa

    Hamas: Ushirikiano wa Serikali ya Ndani ya Palestina na utawala wa Kizayuni ni kinyume na mapatano ya kitaifa

    Nov 19, 2020 07:38

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameitaja hatua ya kuanza tena uhusiano baina ya Serikali ya Ndani ya Palestina na utawala wa Kizayuni kuwa ni kinyume na mapatano ya kitaifa.

  • Hamas na Jihad Islami zalaani hatua ya Serikali ya Ndani ya Palestina ya kushirikiana na utawala wa Kizayuni

    Hamas na Jihad Islami zalaani hatua ya Serikali ya Ndani ya Palestina ya kushirikiana na utawala wa Kizayuni

    Nov 18, 2020 04:30

    Harakati za Hamas na Jihad Islami za Palestina zimetoa taarifa kwa nyakati tofauti na kulaani hatua ya Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina ya kutoa dhamana ya kuanzisha uratibu wa masuala ya usalama na utawala wa Kizayuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS