-
Hamas: Serikali za Marekani daima huukingia kifua utawala haramu wa Israel.
Nov 09, 2020 04:52Mjumbe wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa siasa za mambo ya nje za serikali zote zilizotawala Marekani daima zimekuwa zikiunga mkono na kuukingia kifua utawala haramu wa Israel
-
Hamas yasisitiza kuharakisha kufikiwa ramani ya njia ya kitaifa ya Palestina
Nov 02, 2020 04:08Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametaka kuharakishwa kufikiwa ramani ya njia ya kitaifa ya Palestina.
-
HAMAS: Chokochoko za Ufaransa zimeumiza hisia za Waislamu duniani
Oct 26, 2020 08:14Afisa mmoja wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema hatua za kichochezi na kichokozi za maafisa wa serikali ya Ufaransa za kuunga mkono kuvunjiwa heshima Mtume Muhammad SAW na matukufu ya Kiislamu zimeumiza hisia na nyoyo za Waislamu kote duniani.
-
Hamas: Imarati na Bahran ziipe Israel baadhi ya ardhi zao....
Oct 15, 2020 07:57Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetangaza kuwa kama watawala wa Imarati na Bahrain wanaliona suala la kuanzisha uhusiano na utawala ghasibu wa Israel ni jambo la kawaida basi watoe baadhi ya ardhi za nchi zao kwa utawala huo haramu.
-
Hamas: Waandishi wa habari wasiupe jukwaa utawala wa Kizayuni wa Israel
Oct 06, 2020 04:13Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amewakosoa waandishi wa habari hususan katika nchi za Kiarabu kwa kumpa waziri wa vita wa Israel jukwaa la kuhubiri siasa na sera za utawala huo haramu.
-
Amnesty: Mwakilishi wa HAMAS aliyeko jela Saudia amewekwa kwenye mazingira yasiyo ya kibinadamu
Oct 06, 2020 00:11Shirika la Msamaha Duniani, Amnesty International limesema, mwakilishi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS aliyeko jela nchini Saudi Arabia anaishi kwenye mazingira yasiyo ya kibinadamu.
-
Hamas: Mazungumzo na harakati ya Fat-h ni uwanja kwa ajili ya kufanyika mazungumzo ya kitaifa
Sep 29, 2020 09:02Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameyataja mazungumzo yaliyofanyika kati ya harakati hiyo na ile ya Fat-h kuwa ni uwanja muhimu sasa kwa ajili ya kufanyika mazungumzo mapana ya kitaifa.
-
Hamas: Maghasibu watafukuzwa katika ardhi ya Palestina
Sep 27, 2020 01:11Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetangaza kuwa, utawala haramu wa Israel utafukuzwa katika ardhi inayokaliwa kwa mabavu ya Palestina.
-
HAMAS: Kuendelea ujenzi haramu wa vitongoji kumekashifu uongo wa Waarabu wafanyamapatano
Sep 26, 2020 04:38Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuidhinisha mradi wa ujenzi wa maelfu ya nyumba mpya katika vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika eneo la Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan ni ithibati ya uongo wa madai uliyotoa utawala huo ya kusitisha mpango wake wa kulimega eneo hilo.
-
Hamas: Muamala wa Karne umekuwa chachu ya kuimarika harakati za mapambano za Palestina
Sep 25, 2020 03:25Mjumbe wa Idara ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa njama ya Muamala wa Karne na uhasama unaofanywa dhidi ya Palestina vimekuwa chachu ya kukurubiana zaidi harakati na makundi ya kupigania ukombozi ya Palestina.