Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Hamas: Serikali za Marekani daima huukingia kifua utawala haramu wa Israel.

    Hamas: Serikali za Marekani daima huukingia kifua utawala haramu wa Israel.

    Nov 09, 2020 04:52

    Mjumbe wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa siasa za mambo ya nje za serikali zote zilizotawala Marekani daima zimekuwa zikiunga mkono na kuukingia kifua utawala haramu wa Israel

  • Hamas yasisitiza kuharakisha kufikiwa ramani ya njia ya kitaifa ya Palestina

    Hamas yasisitiza kuharakisha kufikiwa ramani ya njia ya kitaifa ya Palestina

    Nov 02, 2020 04:08

    Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametaka kuharakishwa kufikiwa ramani ya njia ya kitaifa ya Palestina.

  • HAMAS: Chokochoko za Ufaransa zimeumiza hisia za Waislamu duniani

    HAMAS: Chokochoko za Ufaransa zimeumiza hisia za Waislamu duniani

    Oct 26, 2020 08:14

    Afisa mmoja wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema hatua za kichochezi na kichokozi za maafisa wa serikali ya Ufaransa za kuunga mkono kuvunjiwa heshima Mtume Muhammad SAW na matukufu ya Kiislamu zimeumiza hisia na nyoyo za Waislamu kote duniani.

  • Hamas: Imarati na Bahran ziipe Israel baadhi ya ardhi zao....

    Hamas: Imarati na Bahran ziipe Israel baadhi ya ardhi zao....

    Oct 15, 2020 07:57

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetangaza kuwa kama watawala wa Imarati na Bahrain wanaliona suala la kuanzisha uhusiano na utawala ghasibu wa Israel ni jambo la kawaida basi watoe baadhi ya ardhi za nchi zao kwa utawala huo haramu.

  • Hamas: Waandishi wa habari wasiupe jukwaa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Hamas: Waandishi wa habari wasiupe jukwaa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Oct 06, 2020 04:13

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amewakosoa waandishi wa habari hususan katika nchi za Kiarabu kwa kumpa waziri wa vita wa Israel jukwaa la kuhubiri siasa na sera za utawala huo haramu.

  • Amnesty: Mwakilishi wa HAMAS aliyeko jela Saudia amewekwa kwenye mazingira yasiyo ya kibinadamu

    Amnesty: Mwakilishi wa HAMAS aliyeko jela Saudia amewekwa kwenye mazingira yasiyo ya kibinadamu

    Oct 06, 2020 00:11

    Shirika la Msamaha Duniani, Amnesty International limesema, mwakilishi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS aliyeko jela nchini Saudi Arabia anaishi kwenye mazingira yasiyo ya kibinadamu.

  • Hamas: Mazungumzo na harakati ya Fat-h ni uwanja kwa ajili ya kufanyika mazungumzo ya kitaifa

    Hamas: Mazungumzo na harakati ya Fat-h ni uwanja kwa ajili ya kufanyika mazungumzo ya kitaifa

    Sep 29, 2020 09:02

    Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameyataja mazungumzo yaliyofanyika kati ya harakati hiyo na ile ya Fat-h kuwa ni uwanja muhimu sasa kwa ajili ya kufanyika mazungumzo mapana ya kitaifa.

  • Hamas: Maghasibu watafukuzwa katika ardhi ya Palestina

    Hamas: Maghasibu watafukuzwa katika ardhi ya Palestina

    Sep 27, 2020 01:11

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetangaza kuwa, utawala haramu wa Israel utafukuzwa katika ardhi inayokaliwa kwa mabavu ya Palestina.

  • HAMAS: Kuendelea ujenzi haramu wa vitongoji kumekashifu uongo wa Waarabu wafanyamapatano

    HAMAS: Kuendelea ujenzi haramu wa vitongoji kumekashifu uongo wa Waarabu wafanyamapatano

    Sep 26, 2020 04:38

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuidhinisha mradi wa ujenzi wa maelfu ya nyumba mpya katika vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika eneo la Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan ni ithibati ya uongo wa madai uliyotoa utawala huo ya kusitisha mpango wake wa kulimega eneo hilo.

  • Hamas: Muamala wa Karne umekuwa chachu ya kuimarika harakati za mapambano za Palestina

    Hamas: Muamala wa Karne umekuwa chachu ya kuimarika harakati za mapambano za Palestina

    Sep 25, 2020 03:25

    Mjumbe wa Idara ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa njama ya Muamala wa Karne na uhasama unaofanywa dhidi ya Palestina vimekuwa chachu ya kukurubiana zaidi harakati na makundi ya kupigania ukombozi ya Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS