-
Hamas yataka OIC ichukue hatua za kuzuia unyakuzi wa ardhi unaofanywa na Israel
Apr 13, 2020 22:00Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetaka Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) ichukue hatua za dharura za kuzuia hatua za utawala wa Kizayuni wa Israel kunyakua ardhi zaidi za Wapalestina katika mji wa Quds (Jerusalem) na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Hamas: Tutakubali kubadilishana wafungwa na Israel kwa masharti
Apr 09, 2020 03:51Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema harakati hiyo imeazimia kuhakikisha kuwa wafungwa wa Kipalestina walioko katika jela za Israel wanaachiwa huru katika mpango wa kubadilishana wafungwa na utawala huo wa Kizayuni.
-
Hamas yaziomba taasisi za kimataifa ziwasaidie mateka wa Kipalestina
Mar 18, 2020 23:14Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imeziomba taasisi za kisheria za kimataifa zichukua hatua za kuwanusuru mateka wa Kipalestina katika jela za utawala wa Kizayuni waq Israel kutokana na kukithiri maambukizo ya virusi vya corona katika jela hizo.
-
Hamas yalaani kuendelea kushikiliwa Wapalestina nchini Saudi Arabia
Mar 09, 2020 04:26Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amelaani kutiwa mbaroni viongozi wa Wapalestina na kupandishwa kizimbani huko Saudi Arabia.
-
Haniya: Shahidi Soleimani alikuwa na nafasi ya "msingi" katika kuiunga mkono Palestina
Mar 05, 2020 00:12Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema, Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) aliyeuliwa shahidi alikuwa na nafasi muhimu na ya msingi katika kuunga mkono muqawama.
-
HAMAS: Umoja wa Muqawama wa Palestina utaushinda 'Muamala wa Karne'
Feb 26, 2020 09:23Mjumbe wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ameashiria jibu la wanamapambano wa Palestina dhidi ya mashambulio ya karibuni ya Wazayuni na kusisitiza kuwa: Muqawama utaushinda pia mpango wa Muamala wa Karne.
-
Utawala wa Kizayuni wajiepusha kuingia tena vitani na wanamuqawama wa Palestina
Feb 18, 2020 10:18Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni amesema kuwa utawala huo umeamua kujiepusha na kujiingiza vitani kwa mara nyingine tena na wanamuqawama wa Palestina.
-
HAMAS: Takwa la Wapalestina kwa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ni kukata kikamilifu uhusiano na Marekani
Feb 17, 2020 22:09Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesisitiza kuwa, takwa la taifa la Palestina kwa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ni kukata kikamilifu uhusiano wake na serikali ya Marekani.
-
"Muamala wa Karne umewaunganisha Waislamu kote duniani"
Feb 13, 2020 08:29Mwakilishi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS mjini Tehran amesema mpango wa kibaguzi wa Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina uliopewa jina la Muamala wa Karne umekuwa chachu na sababu ya kuungana Waislamu kote duniani bila kujali tofauti zao za kimadhehebu.
-
Msemaji wa Hamas: Mumala wa Karne utafeli na kugonga mwamba
Feb 10, 2020 04:50Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, mipango ya Marekani na utawala ghasibu wa Israel na ushirikiano wao mkubwa wa kutekeleza mpango wa Muamala wa Karne na kuchora ramani mpya ya kuliunganisha eneo la Ukingo wa Magharibi na ardhi zinazokaliwa kwa mabavu, utafeli na kushindwa.