Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • HAMAS: Hatujafanya mazungumzo na yeyote kuhusu

    HAMAS: Hatujafanya mazungumzo na yeyote kuhusu "Muamala wa Karne"

    Jul 09, 2018 21:54

    Mjumbe wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amekanusha vikali baadhi ya madai kuhusiana na kukubali kujadili viongozi wa harakati hiyo mpango wa "Muamala wa Karne".

  • Udharura wa dunia kuzingatia kadhia ya wakimbizi wa Palestina

    Udharura wa dunia kuzingatia kadhia ya wakimbizi wa Palestina

    Jun 20, 2018 09:06

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, HAMAS, imesisitiza kuwa, jukumu la kutetea haki zote za kisiasa na kifedha za wakimbizi Wapalestina ni la jamii ya kimataifa na hasa Umoja wa Mataifa.

  • Haniya: Azimio la UN dhidi ya Israel, ishara namna Marekani na Israel zinavyozidi kutengwa

    Haniya: Azimio la UN dhidi ya Israel, ishara namna Marekani na Israel zinavyozidi kutengwa

    Jun 16, 2018 03:08

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema hatua ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupasisha azimio linaloulaumu na kuulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kufanya mauaji dhidi raia wa Kipalestina katika Ukanda wa Ghaza ni ithibati nyingine inayoonesha namna na utawala huo haramu na Marekani zinazidi kutengwa kimataifa.

  • HAMAS yapongeza azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu wananchi wa Palestina

    HAMAS yapongeza azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu wananchi wa Palestina

    Jun 14, 2018 10:34

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imepongeza azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifra la kuwahami na kuwatetea wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina.

  • Kiongozi wa HAMAS: Iran ni nchi muhimu na mhimili wa msingi katika eneo

    Kiongozi wa HAMAS: Iran ni nchi muhimu na mhimili wa msingi katika eneo

    Jun 11, 2018 10:30

    Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameuenzi na kuusifu mchango wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuihami na kuiunga mkono Palestina na kusisitiza kwamba: Hamas haiungi mkono mhimili wowote wa Kiarabu au wa kieneo dhidi ya mhimili mwengine.

  • Hamas yasisitiza maandamano ya Haki ya Kurejea yataendelea hadi kufikiwa malengo yaliyokusudiwa

    Hamas yasisitiza maandamano ya Haki ya Kurejea yataendelea hadi kufikiwa malengo yaliyokusudiwa

    Jun 10, 2018 22:12

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuendelezwa maandamano ya Haki ya Kurejea hadi kufikiwa malengo ya Wapalestina, la kwanza likiwa ni kuondolewa mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza.

  • HAMAS: Maandamano ya Wapalestina katika mpaka wa Gaza yataendelea

    HAMAS: Maandamano ya Wapalestina katika mpaka wa Gaza yataendelea

    May 15, 2018 03:32

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetangaza kuwa maandamano ya amani ya Wapalestina katika mpaka wa Ukanda wa Gaza ya kupinga ubalozi wa Marekani Tel Aviv kuhamishiwa Baitul Muqaddas yataendelea.

  • Wito wa Hamas katika kukaribia mwaka wa 70 wa kukaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina

    Wito wa Hamas katika kukaribia mwaka wa 70 wa kukaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina

    May 13, 2018 22:37

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imetoa taarifa katika kukaribia maadhimisho ya kutimia mwaka wa 70 tangu kukaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina yaani tarehe 15 Mei na kuwatolea mwito wananchi wa Palestina kushiriki kwa wingi katika maandamano ya "Haki ya Kurejea" huko Quds, katika Ukingo wa Magharibi mwa Mto Jordan, Ukanda wa Ghaza na ardhi za Palestina zilizoanza kukaliwa kwa mabavu mwaka 1948.

  • HAMAS: Kuvamiwa msikiti wa Al Aqsa na walowezi wa Kizayuni kumefanywa kwa uungaji mkono wa Marekani

    HAMAS: Kuvamiwa msikiti wa Al Aqsa na walowezi wa Kizayuni kumefanywa kwa uungaji mkono wa Marekani

    May 13, 2018 22:36

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema, uvamizi uliofanywa walowezi wa Kizayuni katika msikiti wa Al Aqsa hapo jana ni namna fulani ya utoaji vitisho unaofanywa na utawala wa Kizayuni kwa uungaji mkono wa Marekani.

  • Mlipuko waua Wapalestina 6 Ukanda wa Gaza, Israel yalaumiwa

    Mlipuko waua Wapalestina 6 Ukanda wa Gaza, Israel yalaumiwa

    May 06, 2018 02:55

    Wapalestina wasiopungua sita wanachama wa harakakati ya muqawama ya Palestina Hamas wameuawa katika mripuko wa bomu ulioukumba Ukanda wa Gaza jana Jumamosi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS