Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • HAMAS yasisitiza kuendeleza uhusiano wa kistratejia na nchi zinazouhami Muqawama

    HAMAS yasisitiza kuendeleza uhusiano wa kistratejia na nchi zinazouhami Muqawama

    May 05, 2018 10:26

    Afisa mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitizia ulazima wa kuendelezwa uhusiano wa kistratejia na nchi zinazounga mkono na kuuhami muqawama wa Palestina.

  • Hamas: Utawala wa Kizayuni ndio uliomuuwa Fadi al Batsh

    Hamas: Utawala wa Kizayuni ndio uliomuuwa Fadi al Batsh

    Apr 27, 2018 03:19

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeutaja utawala wa kizayuni wa Israel kuwa ndio uliomuua Fadi al Batsh msomi na mwanasayansi wa Kipalestina huko Malaysia.

  • Ismail Haniya: Waliomuua mwanasayansi wa Kipalestina watalipa gharamu kubwa

    Ismail Haniya: Waliomuua mwanasayansi wa Kipalestina watalipa gharamu kubwa

    Apr 24, 2018 22:01

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema wahusika wa mauaji ya Fadi al Batsh, mwanachama msomi wa harakati hiyo, watalipa gharama kubwa kwa kumuua mwanasayansi huyo nchini Malaysia.

  • Radiamali ya Hamas kufuatia kuuliwa Fadi al Batsh nchini Malaysia

    Radiamali ya Hamas kufuatia kuuliwa Fadi al Batsh nchini Malaysia

    Apr 22, 2018 09:17

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeutuhumu utawala wa Kizayuni kuwa umehusika kumuua Fadi al Batsh mwanachama wa harakati hiyo na kutahadharisha kuwa italipiza kisasi damu ya raia huyo wa Palestina.

  • Hamas: Kutunguliwa ndege za Israel Gaza, ni ishara ya kuwa macho muqawama

    Hamas: Kutunguliwa ndege za Israel Gaza, ni ishara ya kuwa macho muqawama

    Apr 12, 2018 10:04

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesema kitendo cha harakati hiyo kufanikiwa kutungua ndege za kijeshi za utawala wa Kizayuni wa Israel zinazoshambulia Ukanda wa Gaza ni ithibati tosha kuwa harakati hiyo ya muqawama imesimama kidete na iko tayari kuzima chokochoko na uvamizi wa Tel Aviv.

  • Hamas yajibu vitisho vya Israel, yasema maandamano yataendelea

    Hamas yajibu vitisho vya Israel, yasema maandamano yataendelea

    Apr 10, 2018 03:00

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesema maandamano makubwa ya amani yataendelea hadi pale mzingiro wa kibaguzi katika Ukanda wa Gaza utakapoondolewa.

  • Hamas yaitaka Arab League iishtaki Israel katika mahakama ya ICC

    Hamas yaitaka Arab League iishtaki Israel katika mahakama ya ICC

    Apr 03, 2018 09:15

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imeitaka Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuwasilisha faili la mauaji yaliyofanywa na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

  • Sisitizo la Hamas la kukabiliana na mpango wa Marekani kuhusu M. ya Kati

    Sisitizo la Hamas la kukabiliana na mpango wa Marekani kuhusu M. ya Kati

    Mar 21, 2018 04:26

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kuwa chaguo la kwanza la harakati hiyo ni kuungana na kuwashirikisha Wapalestina wote katika mapambano dhidi ya mpango wa Marekani uliopewa jina la Mpango wa Karne.

  • Kauli kinzani za Mahmoud Abbas; tuhuma dhidi ya Hamas, matusi dhidi ya balozi wa Marekani

    Kauli kinzani za Mahmoud Abbas; tuhuma dhidi ya Hamas, matusi dhidi ya balozi wa Marekani

    Mar 20, 2018 12:54

    Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ametoa tuhuma dhidi ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS kwamba ilitaka kumuua Waziri Mkuu wa mamlaka hiyo Rami Hamdallah, lakini wakati huohuo ametoa matamshi ya kumfananisha balozi wa Marekani Israel na "kitoto cha mbwa" kwa sababu ya msimamo wake wa kuunga mkono ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • HAMAS yashangazwa na matamshi ya Abbas kwamba ilitaka kumuua Rami Hamdallah

    HAMAS yashangazwa na matamshi ya Abbas kwamba ilitaka kumuua Rami Hamdallah

    Mar 20, 2018 03:59

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeshangazwa na matamshi ya Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas aliyedai kwamba harakati hiyo ilijaribu kumuua Waziri Mkuu wa Serikali ya Ndani ya Palestina, Rami Hamdallah akiwa safarini katika Ukanda wa Ghaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS