Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Hamas na Mamlaka ya Ndani: Israel ilitaka kumuua Waziri Mkuu wa Palestina

    Hamas na Mamlaka ya Ndani: Israel ilitaka kumuua Waziri Mkuu wa Palestina

    Mar 13, 2018 23:15

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na ofisi ya Waziri Mkuu wa Serikali ya Ndani ya Palestina wameutuhumu utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ndio uliopanga shambuliizi lililolenga msafara wa Waziri huyo Mkuu, Rami Hamdallah akiwa safarini katika Ukanda wa Gaza.

  • Hamas: Kuwa na uhusiano wa kawaida na Israel ni dhambi isiyosameheka

    Hamas: Kuwa na uhusiano wa kawaida na Israel ni dhambi isiyosameheka

    Mar 07, 2018 04:03

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kwamba, kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kinyume na matakwa ya mataifa ya Kiislamu na ni kosa lisilosameheka.

  • Israel: Tumepoteza uwezo wetu mkubwa mbele ya harakati ya Hizbullah na Hamas

    Israel: Tumepoteza uwezo wetu mkubwa mbele ya harakati ya Hizbullah na Hamas

    Mar 03, 2018 01:38

    Kamanda wa vikosi vya ardhini vya utawala haramu wa lsrael amekiri kwamba, jeshi la utawala huo limepoteza uwezo wake mkubwa mkabala wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon na Harakati ya muqawama wa Palestina HAMAS.

  • Hamas yatoa wito wa maandamano ya kupinga kuhamishiwa Quds ubalozi wa Marekani

    Hamas yatoa wito wa maandamano ya kupinga kuhamishiwa Quds ubalozi wa Marekani

    Feb 25, 2018 23:11

    Harakati ya Mapambanao ya Kiislamu ya Palestina Hamas imetoa mwito wa kufanyika maandamano ya kupinga nia ya Marekani ya kutaka kuuhamishia Quds ubalozi wake ulioko Tel Aviv, karibuni hivi.

  • Hamas: Wapalestina hawaogopi vitisho vya utawala haramu wa Israel

    Hamas: Wapalestina hawaogopi vitisho vya utawala haramu wa Israel

    Feb 20, 2018 00:32

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, wananchi wa Palestina hawaogopeshwi na vitisho vya utawala dhalimu wa Israel.

  • Radiamali ya Hamas kwa hatua ya Marekani ya kupasisha vikwazo vipya dhidi yake

    Radiamali ya Hamas kwa hatua ya Marekani ya kupasisha vikwazo vipya dhidi yake

    Feb 15, 2018 12:34

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeitaja hatua ya Bunge la Wawakilishi la Marekani ya kupasisha sheria ya kuiwekea vikwazo vipya harakati hiyo kwa kisingizio kuwa Hamas inawatumia raia kama ngao ya binadamu, kuwa ni kitendo kinachokwenda sambamba na matakwa ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Hamas: Iran baada ya Mapinduzi ya Kiislamu imekuwa muungaji mkono mkuu wa Palestina

    Hamas: Iran baada ya Mapinduzi ya Kiislamu imekuwa muungaji mkono mkuu wa Palestina

    Feb 10, 2018 12:55

    Mwanachama wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amesema baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ya mwaka 1979, nchi hii imekuwa muungaji mkono mkuu wa Palestina na pia ni nchi yenye taathira chanya zaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Ismail Haniya: Mapambano dhidi ya Wazayuni yataendelea

    Ismail Haniya: Mapambano dhidi ya Wazayuni yataendelea

    Feb 03, 2018 23:11

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, maamuzi ya Marekani katu hayatabadilisha msimamo wa harakati hiyo.

  • Alkhamisi, Januari 25, 2018

    Alkhamisi, Januari 25, 2018

    Jan 24, 2018 23:41

    Leo ni Alkhamisi 7 Jamadil Awwal 1439 Hijria sawa na Januari 25, 2018.

  • Mwakilishi wa Hamas Iran: Madai ya kuwa na uhusiano na Israel yanapasa kusitishwa

    Mwakilishi wa Hamas Iran: Madai ya kuwa na uhusiano na Israel yanapasa kusitishwa

    Jan 23, 2018 04:51

    Mwakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas nchini Iran amelaani jinai na hatua za kujitanua za utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wa Palestina na kueleza kuwa madai ya kuwa na mahusiano na Israel yanapasa kusitishwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS