-
Sera ghalati za Bin Salman zawafanya Waislamu wasusie Hijja mwaka huu
Jul 08, 2019 22:33Sera ghalati na haribifu za Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia zimepelekea idadi kubwa ya Waislamu katika kona mbalimbali za dunia kutangaza kuwa hawatashiriki ibada tukufu ya Hijja mwaka huu.
-
Waislamu Kenya watakiwa kutofuata mwezi wa Saudia bali kufuata mwandamo wa kwao + Sauti
Aug 22, 2018 13:28Waislamu nchini Kenya wametakiwa kuzingatia mwezi mwandamo katika ukanda wa Afrika Mashariki ili kufanikisha maamuzi ya kiibada kama vile funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani, Idul Fitr na Idul Adh'ha na kuacha kufuata Saudi Arabia au mwezi wa kimataifa. Seifullah Murtadha ametuandalia ripoti maalumu kuhusu suala hilo...
-
Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu kwa Mahujaji wa Nyumba ya Mwenyezi Mungu 1439 Hijria + Sauti
Aug 20, 2018 04:15Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema katika ujumbe wake uliosomwa leo kwa Mahujaji wa Nyumba ya Mwenyezi Mungu kwamba sera za Marekani ni kuchochea vita baina ya Waislamu na akasisitiza kwamba: inapasa kuzizima sera hizo za kishetani kwa umakini na kuwa macho na kwamba Hija na kujibari na washirikina vinawezesha kupatikana umakini huo.
-
Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi kwa Mahujaji: Sera za Marekani ni kuchochea vita na kuwaulisha Waislamu wenyewe kwa wenyewe
Aug 20, 2018 03:45Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema katika ujumbe wake kwa Mahujaji kwamba sera za Marekani ni kuchochea vita baina ya Waislamu na akasisitiza kwamba: inapasa kuzizima sera hizo za kishetani kwa umakini na kuwa macho na kwamba Hija na kujibari na washirikina vinawezesha kupatikana umakini huo.
-
Hija na Visa Vyenye Ibra
Aug 19, 2018 07:44Assalamu Alaykum wasikilizaji wapenzi popote pale mlipo. Tuko kwenye msimu wa ibada tukufu ya Hija. Kwa mnasaba huo Radio Tehran imekuandalieni kipindi hiki maalumu cha Hija na Visa Vyenye Ibra. Kisa chetu cha kwanza kitahusu Hija ya Kudumu Daima Dawamu.
-
Mkuu wa Mahujaji wa Iran awataka Waislamu kutumia fursa ya Hija kuweka pembeni tofauti zao
Aug 13, 2018 10:23Mkuu wa mahujaji wa Iran amesema kuwa, ibada ya Hija ni fursa nzuri sana kwa Waislamu katika nyuga tofauti na amezitaka nchi za eneo hili kutumia vizuri fursa ya Hija kuweka pembeni hitilafu zao ndogodongo na kuungana katika kuurejeshea heshima na utukufu wake umma mzima wa Kiislamu.
-
Waislamu wa Canada waandamana kupinga hatua ya Saudia ya kuwazuia kwenda kuhiji Makka
Aug 12, 2018 10:18Waislamu nchini Canada wamefanya maandamano wakipinga siasa za utawala wa kifalme wa Saudi Arabia za kuwazuia kwenda kutekeleza ibada ya Hija katika miji mitakatifu ya Makka na Madina.
-
Saudia yashitakiwa UN kwa kuingiza siasa katika ibada ya Hija
Jul 17, 2018 22:01Kamati ya Kimataifa ya Kusimamia Haram Mbili za Makka na Madina imewasilisha barua mbili tofauti kwa Baraza la Haki za Binaadamu la Umoja wa Mataifa na Kamisheni ya Kidini na Uhuru wa Kujieleza ya Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Bunge la Ulaya, ikiishitaki Saudi Arabia kwa kuingiza masuala ya siasa katika ibada ya Hija sambamba na kuweka mipaka ya uhuru wa kidini.
-
Ibada ya Kimaanawi na kisiasa ya Hija kwa mtazamo wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Jul 17, 2018 03:19Wasimamiaji na wafanyakazi wa Idara ya Masuala ya Ibada ya Hija jana asubuhi walikutana na Ayatullah Khamenei Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika kukaribia ibada hiyo na kuanza mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu kuelekea katika ardhi ya wahyi.
-
Qatar kuiburuza Saudia mahakamani kwa tuhuma za kuingiza siasa katika ibada ya Hijah
Jul 03, 2018 23:54Serikali ya Qatar na katika mfululizo wa kufuatilia masuala ya kisheria na kimataifa dhidi ya nchi za Saudi Arabia, Imarati, Bahrain na Misri, imetangaza kwamba imefungua mashitaka dhidi ya Riyadh kutokana na serikali ya nchi hiyo kuingiza siasa katika ibada ya Hijjah.