• Aoun: Lebanon inahitaji Hizbullah kulinda mipaka yake

    Aoun: Lebanon inahitaji Hizbullah kulinda mipaka yake

    Feb 07, 2016 22:18

    Kiongozi wa chama cha Harakati Huru ya Kizalendo nchini Lebanon (FPM) amepongeza juhudi za Harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah za kupambana na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh nchini Syria na kusisitiza kuwa, Lebanon inaiihitaji Hizbullah kulinda mipaka yake.

  • Hizbullah: Madai kuwa Iran inaingilia masuala ya ndani ya Lebanon hayana msingi

    Hizbullah: Madai kuwa Iran inaingilia masuala ya ndani ya Lebanon hayana msingi

    Jan 30, 2016 04:23

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah amepuuzilia mbali madai kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaingilia masuala ya ndani ya Lebanon, akisisitiza kuwa hakuna ushahidi wowote juu ya tuhuma hizo.